Pre GE2025 Arusha Saccos yamshukuru Rais Samia kwa kuwapa Makonda, Mkuu wa Mkoa mchapakazi na Mbunifu

Pre GE2025 Arusha Saccos yamshukuru Rais Samia kwa kuwapa Makonda, Mkuu wa Mkoa mchapakazi na Mbunifu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Klabu ya Arusha Saccos imemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumteua Mhe. Paul Christian Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, wakisema amekuwa chachu ya maendeleo ya Mkoa huo hasa katika masuala ya kiuchumi na ustawi wa mwananchi mmoja mmoja.

Mwenyekiti wa Arusha Club Saccos ndugu Ludovick Mbasha ametoa kauli hiyo kwaniaba ya klabu hiyo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho ya miaka 20 ya kuundwa kwa Klabu hiyo, akimshukuru pia Mhe. Makonda kwa kuridhia kwake kuwa Mgeni rasmi kwenye maadhimisho hayo yaliyifanyika Februari 28, 2025 yakiambatana na siku ya Familia kwa wanachama wao.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mbasha ameeleza kuwa katika sherehe hizo za miaka 20 ya Klabu ya Arusha Saccos, Mhe. Makonda alifanikisha klabu hiyo kupata zaidi ya Shilingi Milioni 400 ambazo zilitokana na Klabu hiyo kupata wanachama wapya baada ya kuhamasishwa na Mhe. Makonda.

Klabu hiyo pia imemshukuru Mhe. Makonda kwa kujiunga na Klabu hiyo, akiungana na Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mhe. Maximilian Iranghe ambaye amekuwa Mwanachama wa Klabu hiyo kabla hata ya kuchaguliwa kuongoza Baraza la madiwani Jiji la Arusha, wito pia ukitolewa kwa wananchi wengine kuweza kujiunga na klabu hiyo ili kunufaika na fursa mbalimbali.

 
Klabu ya Arusha Saccos imemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumteua Mhe. Paul Christian Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, wakisema amekuwa chachu ya maendeleo ya Mkoa huo hasa katika masuala ya kiuchumi na ustawi wa mwananchi mmoja mmoja.

Mwenyekiti wa Arusha Club Saccos ndugu Ludovick Mbasha ametoa kauli hiyo kwaniaba ya klabu hiyo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho ya miaka 20 ya kuundwa kwa Klabu hiyo, akimshukuru pia Mhe. Makonda kwa kuridhia kwake kuwa Mgeni rasmi kwenye maadhimisho hayo yaliyifanyika Februari 28, 2025 yakiambatana na siku ya Familia kwa wanachama wao.

Mbasha ameeleza kuwa katika sherehe hizo za miaka 20 ya Klabu ya Arusha Saccos, Mhe. Makonda alifanikisha klabu hiyo kupata zaidi ya Shilingi Milioni 400 ambazo zilitokana na Klabu hiyo kupata wanachama wapya baada ya kuhamasishwa na Mhe. Makonda.

Klabu hiyo pia imemshukuru Mhe. Makonda kwa kujiunga na Klabu hiyo, akiungana na Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mhe. Maximilian Iranghe ambaye amekuwa Mwanachama wa Klabu hiyo kabla hata ya kuchaguliwa kuongoza Baraza la madiwani Jiji la Arusha, wito pia ukitolewa kwa wananchi wengine kuweza kujiunga na klabu hiyo ili kunufaika na fursa mbalimbali.

Tako Boy akikopeshwa huwa halipi mtaanza kupiga kelele chini chini....wateule hao mtashangaaaaa
 
Makonda kwa baadhi ya watumwa wa siasa, hawataki kabisa kusikia lolote lile jema likitajwa juu yake

Ngoja niwape dawa ya kumzima Makonda asikubalike tena! Ni kwenda kwa anayempa kibali kuzungumza naye ili anyimwe kibali hicho

Anayempa kibali Makonda katikati ya watumwa wa siasa na roho mbaya, ni Mungu!

Bila Mungu, kwa sikendo zote zile, Makonda angekuwa kama mdudu fulani hivi asiyefaa chochote

Kwa kuwa nyuma yake yuko Mungu, mnashughuli nzito sana nyinyi viumbe kumfanya adharaulike na kila mnayetaka amdharau

Naomba nieleweke, mimi ni Chadema, Na tatizo langu ni kwamba, mimi ni chadema kwa watu maalumu, na ccm pia wapo watu maalumu!

Hapa tatizo siyo vyama, ni watu ndani ya vyama

Hata chadema kuna watu wa hovyo kushinda hata ccm

Licha kwamba ccm ndio kumeoza zaidi, lakini, bado kuna wachache wachapa kazi wa kweli
 
Jamaa liko tayari kutoa hata ule mtrako wake kuhonga watu ili kuaminisha umma kwamba anakubalika saana na wananchi!.
Angekuwa anakubalika kweli siungekuta leo yeye ni mbunge wa Kigamboni, nn kilimkuta mbele ya marehemu Ndugulile?!.
 
Back
Top Bottom