Arusha: Serikalini kuanza Ujenzi wa Ukumbi Mkubwa wa Mikutano wa MK-ICC Uliokwama Kwa miaka 18. Wadau, Hii renders Mnaionaje?

Arusha: Serikalini kuanza Ujenzi wa Ukumbi Mkubwa wa Mikutano wa MK-ICC Uliokwama Kwa miaka 18. Wadau, Hii renders Mnaionaje?

A
Wakati anakanidhi Ofisi Kwa Mteule Mpya,Efraim Mafuru amesema Mda wowote kutoka Sasa , Serikali ya Mama itaanza ujenzi wa Ukumbi Mkubwa wa Mikutano ya Kimataifa Maarufu kama Mount Kilimanjaro International Convention Centre(MK-ICC) jijini Arusha.

Ikumbukwe Hadi ya ujenzi wa Ukumbi Mkubwa zaidi wa Mikutano Tanzania imekuwepo Kwa zaidi ya miaka 18 bila kutekelezwa lakini awamu hii ya 6 chini ya Rais mbunifu na fundi wa kusaka pesa inaenda kuanza Ujenzi rasmi Kwa gharama ya takribani Bilioni 300 na tayari Imetoa renders za jinsi Ukumbi utakuwa.

Hii inakuja wakati Tanzania inaibuka kuwa Kituo Kikuu Cha Utalii wa mikutano ambapo Sasa hivi Iko top 5 ya Nchi zinazoandaa mikutano Mingi Barani Afrika.

Bwana Mafuru ambae ameteuliwa kuwa Boss Mpya amesema anaondoka AICC akiiacha ikiwa imeanza kupata faidia tofauti na Miaka ya nyumba ambapo Kituo kilikuwa kinakula hasara Kwa kukosa biashara na mikutano.

My Take
Hongera sana Rais Samia, maneno kidogo matendo zaidi.

Ila wadau Mnaionaje hii render machoni? Mbona kama haivutii? Imefanana na majengo ya kale yaliyopo China.

View attachment 2946155
AICC vp?
 
Wakati anakanidhi Ofisi Kwa Mteule Mpya,Efraim Mafuru amesema Mda wowote kutoka Sasa , Serikali ya Mama itaanza ujenzi wa Ukumbi Mkubwa wa Mikutano ya Kimataifa Maarufu kama Mount Kilimanjaro International Convention Centre(MK-ICC) jijini Arusha.
Duh!....AICC si ipo?.....huo mpya wa nini?
 
Wakati anakanidhi Ofisi Kwa Mteule Mpya,Efraim Mafuru amesema Mda wowote kutoka Sasa , Serikali ya Mama itaanza ujenzi wa Ukumbi Mkubwa wa Mikutano ya Kimataifa Maarufu kama Mount Kilimanjaro International Convention Centre(MK-ICC) jijini Arusha.

Ikumbukwe Hadi ya ujenzi wa Ukumbi Mkubwa zaidi wa Mikutano Tanzania imekuwepo Kwa zaidi ya miaka 18 bila kutekelezwa lakini awamu hii ya 6 chini ya Rais mbunifu na fundi wa kusaka pesa inaenda kuanza Ujenzi rasmi Kwa gharama ya takribani Bilioni 300 na tayari Imetoa renders za jinsi Ukumbi utakuwa.

Hii inakuja wakati Tanzania inaibuka kuwa Kituo Kikuu Cha Utalii wa mikutano ambapo Sasa hivi Iko top 5 ya Nchi zinazoandaa mikutano Mingi Barani Afrika.

Bwana Mafuru ambae ameteuliwa kuwa Boss Mpya amesema anaondoka AICC akiiacha ikiwa imeanza kupata faidia tofauti na Miaka ya nyumba ambapo Kituo kilikuwa kinakula hasara Kwa kukosa biashara na mikutano.

My Take
Hongera sana Rais Samia, maneno kidogo matendo zaidi.

Ila wadau Mnaionaje hii render machoni? Mbona kama haivutii? Imefanana na majengo ya kale yaliyopo China.

View attachment 2946155
Magufuli angekuwepo ujenzi huo na ule wa uwanja wa mpira Arusha kamwe visingetokea!
 
Wakati anakanidhi Ofisi Kwa Mteule Mpya,Efraim Mafuru amesema Mda wowote kutoka Sasa , Serikali ya Mama itaanza ujenzi wa Ukumbi Mkubwa wa Mikutano ya Kimataifa Maarufu kama Mount Kilimanjaro International Convention Centre(MK-ICC) jijini Arusha.

Ikumbukwe Hadi ya ujenzi wa Ukumbi Mkubwa zaidi wa Mikutano Tanzania imekuwepo Kwa zaidi ya miaka 18 bila kutekelezwa lakini awamu hii ya 6 chini ya Rais mbunifu na fundi wa kusaka pesa inaenda kuanza Ujenzi rasmi Kwa gharama ya takribani Bilioni 300 na tayari Imetoa renders za jinsi Ukumbi utakuwa.

Hii inakuja wakati Tanzania inaibuka kuwa Kituo Kikuu Cha Utalii wa mikutano ambapo Sasa hivi Iko top 5 ya Nchi zinazoandaa mikutano Mingi Barani Afrika.

Bwana Mafuru ambae ameteuliwa kuwa Boss Mpya amesema anaondoka AICC akiiacha ikiwa imeanza kupata faidia tofauti na Miaka ya nyumba ambapo Kituo kilikuwa kinakula hasara Kwa kukosa biashara na mikutano.

My Take
Hongera sana Rais Samia, maneno kidogo matendo zaidi.

Ila wadau Mnaionaje hii render machoni? Mbona kama haivutii? Imefanana na majengo ya kale yaliyopo China.

View attachment 2946155
Eneo la kujenga ni wapi? Na unakamilika lini KABLA ya 2025, Kwa sababu Sasa mnaeleta miradi ya Kisiasa ya kuomba kura.
Na miradi mtaleta kura hatuwapi.
 
Mkutano ipi hiyo mkuu na inafanyika wapi hadi tuingie top 5?

Tanzania ina ukumbi gani wa maana hadi iwe kwenye top 5 ya kuandaa mikutano?
Sasa kama wewe unafuatilia zaidi umbea na porno Utajua wapi mambo ya Conference Tourism?

Je una habari kwamba Arusha Sasa hivi imerudi kwenye boom ya biashara ya Mahoteli ambayo inachagizwa na mikutano ya Kimataifa na Utalii?
Screenshot_20240328-113325.jpg
 
Sasa kama wewe unafuatilia zaidi umbea na porno Utajua wapi mambo ya Conference Tourism?

Je una habari kwamba Arusha Sasa hivi imerudi kwenye boom ya biashara ya Mahoteli ambayo inachagizwa na mikutano ya Kimataifa na Utalii?
View attachment 2946673
Kwenye hiyo habari ya mwaka jana ni wapi wamesema Tanzania imekua ya 5 kwenye vikao na mikutano kiongozi?

Taarifa inasema Tanzania iko kwenye MICE spotlight, inaweza kufaidika na MICE events, wewe unasema tayari Tanzania inaongoza kwa ama iko nafasi ya 5 kwenye mikutano ya kimataifa, ndio maana nikakuuliza hiyo mikutano ilifanyika wapi?

Kwa huu uandishi darasa la 4 ulifaulu vipi? Ama shule ulienda kweli?
 
Kwenye hiyo habari ya mwaka jana ni wapi wamesema Tanzania imekua ya 5 kwenye vikao na mikutano kiongozi?

Taarifa inasema Tanzania iko kwenye MICE spotlight, inaweza kufaidika na MICE events, wewe unasema tayari Tanzania inaongoza kwa ama iko nafasi ya 5 kwenye mikutano ya kimataifa, ndio maana nikakuuliza hiyo mikutano ilifanyika wapi?

Kwa huu uandishi darasa la 4 ulifaulu vipi? Ama shule ulienda kweli?
Kwa hiyo orodha ya Nchi 5 zimewekwa Kwa bahati mbaya au? Sikiliza video hizi hapa 👇

View: https://youtu.be/tcYLSjV9nu8?si=T9_QnIVriLjuc-P2
 
Hivi kanda ya ziwa wao wako wapi na utalii wa mikutano. serikali ipanue wigo
 
Yule bwana aliua hata ujenzi wa Magorofa Mijini.

Chini ya Mama miradi yote ya majengo ilivyokuwa imekwama Sasa imefufuka.

Kiufupi Magufuli alikuwa muharibifu sana.
Ona jinga hili, umeambiwa ujenzi ulikwama 18 years back, limeng'ang'ana na Magufuli tu.
 
Back
Top Bottom