Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
- Thread starter
-
- #21
Hawauwawi bila sababu ila kama utaringia watu mali zako basi utatolewa utumbo...mind ur own business bila ivo utachinjwa tu.
wanauwawa 'mabilionea'
wewe bilionea?
sijawahi ipenda Arusha na ninapaogopa sana.sitamani kuishi hapo na naomba Mungu 'mkoloni' wangu asihamishie huko kabisa!
hapana wakuu, mi nafanya tu primary FBI ili siku nikifika nijue kilichomo kimo?Nilifikili kuwa upo tayali Arusha...!
nilijua uko arusha
Arusha ni salama, kama utafuata simple rules
1. Mind your own business. Achana na mambo ya watu.
2. Usimdhulumu mtu. Toa kwa kadri mlivyokubaliana.
Ukifuata hizi simple rules wala huna cha kuhofia.
Arusha imerudi kuwa "Town" tena? Nilidhani ilijigawia hadhi ya "City" siku nyingi?
ahsante kwa ushauri besti!Kama ukija kwa amani mbona utaenjoy. Ila cha muhmu jifunze kuwa na mawasiliano mazur na wenyeji na usipende makundi ya wahuni coz utakuwa unavutia matatzo upande wako, vita za kimakundi zipo sana.
mkuu umesahau rule moja muhimi ACHANA NA WAKE ZA WATU UTAISHI MAISHA MAREFU SANA SIO ARUSHA TU POPOTE.Arusha ni salama, kama utafuata simple rules
1. Mind your own business. Achana na mambo ya watu.
2. Usimdhulumu mtu. Toa kwa kadri mlivyokubaliana.
Ukifuata hizi simple rules wala huna cha kuhofia.
lakini kwanini Arusha?
ahsante kwa ushauri besti!
karibu sana Arusha ndugu nakutakia mafanikio tele.
ahsante sana besti, vipi hii business unayo experience nayo mkuu?
mkuu mtaji wa chini kabisa unaweza kuwa kama tshs ngapi hivi?hiyo business sina experience nayo sana bt nimeshawahi kufanya na ninamasela wengi wako pande hizo.
mkuu mtaji wa chini kabisa unaweza kuwa kama tshs ngapi hivi?
swala la mtaji linategemea na jinsi unavyotaka kufanya hiyo biashara coz kuna level tofauti. Kunawengine hawana mitaji bali ni midomo yao tu.