Arusha: Ukikutwa umevaa Suruali ya kubana, Sketi fupi Faini Tsh. 50,000

Hukuelewa hoja yangu... semantically.

Nikuulize wewe: Hicho walichopitisha Uongozi wa kijiji husika, ni 'Sheria Ndogo' (By Law) ?

-Kaveli-


Sio sheria ndogo na ndio maana nikauliza ni kweli Waziri Gwajima hajui hilo na hajui nini anafanya?
 
Hao ni wajinga tu ushindwe kulea kijana wako vizuri alafu uje uweke faini watu wanafikiri na makalio sio bure
U can’t teach someone while they see on a street atakachofanya nikutofanya mkiwa wote nakufanya sehemu ya mbali what they did is right Kwa maeneo yao,hasa wadada now days night dress nguo za kuendea disco ndio zinazovaliwa makazini wengine mpk bikwapa vinanuka.
 
Hii ni mihemko tu, na wasithubutu kutekelwza maana wataangukua pasipoelezeka. Hii nchi ina sheria kanuni na taratibu ambazo zikizingatiwa jamii itakaa sawa kabisa sio haya
 
Umeelewa nilichoandika au umekurupuka na kiingereza chako cha kuunga unga? Ww ukiona mashoga na ww utafanya ushoga mbali na kwenu? Mtoto ukishampa malezi bora hawezi kuiga ujinga.

Angalizo; nimeandika kiswahili usilete mbwembwe za kiingereza cha mzimbasheka
 
Sio sheria ndogo na ndio maana nikauliza ni kweli Waziri Gwajima hajui hilo na hajui nini anafanya?

Well.. Waziri Gwajima yeye katambua hicho kilichopitishwa na Kijiji ni 'Sheria Ndogo'.

As such, Yes, hajuwi 'sheria ndogo' ni kitu gani, Ila anajua anachofanya i.e to support moral decay prevention.

-Kaveli-
 
Well.. Waziri Gwajima yeye katambua hicho kilichopitishwa na Kijiji ni 'Sheria Ndogo'.

As such, Yes, hajuwi 'sheria ndogo' ni kitu gani, Ila anajua anachofanya i.e to support moral decay prevention.

-Kaveli-


Lakini pia ili sheria iwe sheria ndogo inatoka wapi ama ina sifa zipi mpaka kuitwa sheria ndogo?
 
Ujinga mtupu
 
Nataka kufanya show huku nimpelele Kondeboy je itakuwaje.
 
Kumbe wewe mmeru..... Arifu
arusha nimekaa sana, najua maeneo mengi mpaka vijijini huko, nimesomea huko, na nilikuwa na marafiki wengi wa kimeru maeneo ya tengeru, usa huko, ndo maana unaona swaga zangu za kichugachuga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…