LGE2024 Arusha: Vurugu zatokea kati ya wakala wa Chadema na msimamizi wa uchaguzi.wananchi waingilia kati

LGE2024 Arusha: Vurugu zatokea kati ya wakala wa Chadema na msimamizi wa uchaguzi.wananchi waingilia kati

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Vurugu kubwa zimetokea katika mtaa wa Engosengiu kata ya Sinoni kati ya msimamizi wa uandikishaji wa mtaa huo na wakala wa chadema na baadhi ya wananchi baada ya msimamizi huyo kutaka kumtorosha muandikishaji wa daftari bila ya kuonyesha idadi ya waliojiandikisha wakiwa na lengo la kwenda kuongeza majina feki.

Wakala huyo wa chadema amelalamika kuwa ni kawaida ya msimamizi huyo kuongeza majina mara tu aondokapo na daftari.

Baadhi ya wananchi wamesikitishwa na kitendo hicho kwa madai ya ukiukwaji wa haki za msingi na kusema kuwa ni bora wasipige kura kama hali ndo hivo.

Soma Pia: Njombe: Polisi wakamata wafuasi wa CHADEMA waliomshambulia wakala wa CCM aliyedaiwa kusambaza majina hewa


Wananchi wengi wamelalamika na kukata tamaa ya kupiga kura kwa madai ya serikali kutumia pesa nyingi katika zoezi hilo huku hujuma zikifanyika kwa maelelezo ya kuwa ni maelekezo toka juu.
 
Kwenye hizi shughuli lazima uwe vere tafu
😏
1000012666.jpg
 
Uchaguzi unasimamiwa na mkwe! I mean you have to be an idiot to think it will be fair.

Swali ni wananchi (na sio upinzani) watafanya nini baada ya uchafuzi huo?
 
Uchaguzi unasimamiwa na mkwe! I mean you have to be an idiot to think it will be fair.

Swali ni wananchi (na sio upinzani) watafanya nini baada ya uchafuzi huo?
Matokeo wanayo mfukoni muda sana,walishajipanga

Ova
 
Hello, strange as it may seem.. I am looking for CHAUMA political party Official Phone number . In case it is Chair person's(Hashim Rungwe's) number I will be more thankful. Please message me if you have it. Regards
 
Vurugu kubwa zimetokea katika mtaa wa Engosengiu kata ya Sinoni kati ya mshahara wa uandikishaji wa mtaa huo na wakala wa chadema na baadhi ya wananchi baada ya kulipa huyo kutaka kumtorosha muandikishaji wa daftari bila ya kuonyesha idadi ya waliojiandikisha wakiwa na lengo la kwenda majina majina feki.

Wakala huyo wa chadema amelalamika kuwa ni kawaida ya jina hilo majina mara tu aondokapo na daftari.

Baadhi ya wananchi wamesikitishwa na kitendo hicho kwa madai ya ukiukwaji wa haki za msingi na kusema kuwa ni bora waipige kura kama hali ndo hivo.

Soma Pia: Njombe: Polisi wakamata wafuasi wa CHADEMA waliomshambulia wakala wa CCM aliyedaiwa kusambaza majina.

Wananchi wengi wamelalamika na kukata tamaa ya kupiga kura kwa madai ya serikali kutumia pesa nyingi katika zoezi hilo huku hujuma zikifanyika kwa maelezo ya kuwa ni maagizo juu.
Hapa Dsm wajumbe CCM wamepewa kazi ya kupita kila nyumba kuandikisha namba za nyumba na namba za simu kwa waliojiandikisha.
 
CHADEMA Wana resources za kuchezea. Kati ya uchaguzi ambao walipaswa wajitoe mapema sana ni huu wa serikali za mitaa 2024!
 
Humu jukwaani kila siku CHADEMA wanahamashana kutojiandikisha na hakuna kupiga kura, sasa huyo wakala kaenda kusimamia nini? Aisee hii Nchi ni ngumu sana
 
Back
Top Bottom