kama unaelewa chadema wanataka nini juwa unashidaHumu jukwaani kila siku CHADEMA wanahamashana kutojiandikisha na hakuna kupiga kura, sasa huyo wakala kaenda kusimamia nini? Aisee hii Nchi ni ngumu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama unaelewa chadema wanataka nini juwa unashidaHumu jukwaani kila siku CHADEMA wanahamashana kutojiandikisha na hakuna kupiga kura, sasa huyo wakala kaenda kusimamia nini? Aisee hii Nchi ni ngumu sana
CCM ni chama cha kishetani. Nchi imelaanika kutokana na mashetani haya yanayoitwa CCM. Hawa watu hawafai kwa lolote, dini yao kubwa wanayoiabudu ni uovu.CCM muwe mnamuogopa Mungu!
Mama mkwe aliwahi kusema kuwa mkwewe ana kifua kipana hivyo ataimudu TAMISEMI. Sijui kifua alikiona wapi!!Uchaguzi unasimamiwa na mkwe! I mean you have to be an idiot to think it will be fair.
Swali ni wananchi (na sio upinzani) watafanya nini baada ya uchafuzi huo?
CCM ni chama cha kishetani. Kamwe haiwezi kujitenga na matendo ya kishetani.Hayo majina ya nyongeza ndio kura za ushindi wa wizi wa CCM.