Arusha: Wabunge 50 wa Uganda walioshiriki Michezo huko Arusha wamekutwa na Maambukizi ya Virusi hatari vya OMICRON.

Arusha: Wabunge 50 wa Uganda walioshiriki Michezo huko Arusha wamekutwa na Maambukizi ya Virusi hatari vya OMICRON.

Omicron ipo ya Kumwaga ila uzuri kutoboa rahisi unapigwa homa baada ya muda unaendelea Kwahio naweza kusema hii Omicron ni nzuri kuliko kaka zake waliotangulia
 
Omicron ipo ya Kumwaga ila uzuri kutoboa rahisi unapigwa homa baada ya muda unaendelea Kwahio naweza kusema hii Omicron ni nzuri kuliko kaka zake waliotangulia

Uhatari wa Omicoron ni kwa namna inasambaa kwa upesi kuzidi binamu zake akina Delta, ila haina madhara sana haswa kwa watu wasiokua na matatizo mengine ya kiafya, ikikukuta piga malimau na tangawizi na kitunguu saumu na pia mazoezi.

Mimi hapa hayo ndio yamekua maisha yangu ya kila siku, niwe mzima au la, juzi nimevurugwa na likorona fulani sijui ndio Omicoron au Delta ila siku mbili likaondoka lenyewe maana lilikuta nimejiandaa na kujichimbia mahandaki ya kutosha.

Tatizo ni ukutwe unaumwa vitu vingine, kwanza ikukute una matatizo ya VVU na haujawa ukishughulika ndio basi.
 
Uhatari wa Omicoron ni kwa namna inasambaa kwa upesi kuzidi binamu zake akina Delta, ila haina madhara sana haswa kwa watu wasiokua na matatizo mengine ya kiafya, ikikukuta piga malimau na tangawizi na kitunguu saumu na pia mazoezi.

Mimi hapa hayo ndio yamekua maisha yangu ya kila siku, niwe mzima au la, juzi nimevurugwa na likorona fulani sijui ndio Omicoron au Delta ila siku mbili likaondoka lenyewe maana lilikuta nimejiandaa na kujichimbia mahandaki ya kutosha.

Tatizo ni ukutwe unaumwa vitu vingine, kwanza ikukute una matatizo ya VVU na haujawa ukishughulika ndio basi.
Yule mzee alipowaambia tiba asili ina msaada mkasema, oooh anapingana na sayansi, oooh mzee anaua watu, leo mnarudi kule kule 😂!
 
Mimi nafurahi kusikia hakuna mwenye delta hata mmoja....badala yake wana omicron..... hii inaonesha omnicron inaireplace delta



Omicron haisababishi hospitalization kama dada yake delta.....
Siku moja corona atamutate aishiwe nguvu kabisa.....
 
Yule mzee alipowaambia tiba asili ina msaada mkasema, oooh anapingana na sayansi, oooh mzee anaua watu, leo mnarudi kule kule 😂!

Hamna, huyo mzee aliwayumbisha sana, hakua anasimamia kimoja aeleweke, mara imeisha kwa maombi ya siku tatu, mara ipo kwenye mbuzi na mapaipai, mara ameruhusu profesa afuate mataputapu kule Madagascar etu ndio dawa ya corona, tena kwa kutumia ndege ya taifa, yaani mpaka ikamlamba tukaambiwa yupo bizi kikazi na hakwendi sijui Kariokoo.

Tiba asili siku zote hakuna aliyepingana nazo, ila serikali haiwezi kuendeshwa kwa upigaji ramli, mfumo wa kiserikali upo kisayansi, hata cheo cha rais kimebeuniwa kisayansi (kasome civic education). Hivyo rais lazima azingatie ushauri wa wataalam walioteuliwa kisayansi maana hata gonjwa lenyewe limegunduliwa kisayansi.

Tiba asili tunapiga mtaani kubahatisha tu, na kwa ambao inafanya kazi basi tushukuru ila muhimu kuchukua tahadhari.
 
Mimi Niko Arusha, toka jumanne nilianza kuumwa mafua makali sana, mwili kuchoka na kichwa kuuma. Nashukuru naendelea vizuri na Jana nilifanya mazoezi. Sijawahi kuumwa mafua makali Kama haya . Kabla ya kuugua nilikutana na mtu alikuwa na mafua na sikuchukua tahadhari.
 
Hamna, huyo mzee aliwayumbisha sana, hakua anasimamia kimoja aeleweke, mara imeisha kwa maombi ya siku tatu, mara ipo kwenye mbuzi na mapaipai, mara ameruhusu profesa afuate mataputapu kule Madagascar etu ndio dawa ya corona, tena kwa kutumia ndege ya taifa, yaani mpaka ikamlamba tukaambiwa yupo bizi kikazi na hakwendi sijui Kariokoo.

Tiba asili siku zote hakuna aliyepingana nazo, ila serikali haiwezi kuendeshwa kwa upigaji ramli, mfumo wa kiserikali upo kisayansi, hata cheo cha rais kimebeuniwa kisayansi (kasome civic education). Hivyo rais lazima azingatie ushauri wa wataalam walioteuliwa kisayansi maana hata gonjwa lenyewe limegunduliwa kisayansi.

Tiba asili tunapiga mtaani kubahatisha tu, na kwa ambao inafanya kazi basi tushukuru ila muhimu kuchukua tahadhari.
Mengi umeandika porojo but alisisitiza natural remedies, full stop.
 
Mengi umeandika porojo but alisisitiza natural remedies, full stop.
Mbona huo ushauri haukumsaidia yeye, tukaishia kuambiwa hafanyi kazi kariokoo...hehehe
 
ili kupata ukweli waliokuwa wanacheza nao yaani watanzania nao wapimwe kama hawana au wanao basiiiiiii

Kwanini umpime mtu ambaye yu buheri wa afya njema ? Yaani what for ?
 
Duh! Lakini sitegemei mama Samia atajichikoea na kuanza kuficha kama mwenda zake, ni dhahiri huko Tz sasa hivi mnaogelea kwa kirusi, yaani huwa mpo mpo tu, bahati na tushukuru Mungu sana hiki kirusi hakiui sana Afrika, la sivyo kwa namna mlivyojichokea kwenye haya mapambano mngefutwa kabisa.

Nakumbuka zile mambo za pima pima pima pima , sijui mliishiaga wapi [emoji3][emoji3][emoji3]
Haki nyie ni vilaza
 
Nakumbuka zile mambo za pima pima pima pima , sijui mliishiaga wapi [emoji3][emoji3][emoji3]
Haki nyie ni vilaza

Tumehamia kwenye chanjo, ambapo tumechangamkia balaa, hatujajichokea kama nyie huko ambapo kilisababisha hadi msiba wa taifa.
Sema napendezwa na hatua za mama Samia, ameweka lazima kila Mtanzania anayetaka kutoka nje ya nchi achanjwe, huchanjwi baki ndani.
Yule mzee wenu kwa kweli alikua amepitwa na wakati alikua anawatumbukiza baharini. Halafu alikopa madeni yaani.

 
Tumehamia kwenye chanjo, ambapo tumechangamkia balaa, hatujajichokea kama nyie huko ambapo kilisababisha hadi msiba wa taifa.
Sema napendezwa na hatua za mama Samia, ameweka lazima kila Mtanzania anayetaka kutoka nje ya nchi achanjwe, huchanjwi baki ndani.
Yule mzee wenu kwa kweli alikua amepitwa na wakati alikua anawatumbukiza baharini. Halafu alikopa madeni yaani.


Kwani unadhani JPM hakuchanja ?
 
Back
Top Bottom