Arusha: Walimu wote wa Serikali watakiwa kujitokeza uwanjani kesho Sheikh Amri Abeid kumpokea na kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM

Arusha: Walimu wote wa Serikali watakiwa kujitokeza uwanjani kesho Sheikh Amri Abeid kumpokea na kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM

Kuna meseji zinatembea za magrupu zikiwataka walimu wa jiji la Arusha wale wa serikali kwenda uwanja wa Sheikh Amri Abeid kesho jumamosi kuanzia saa 1:00 asubuhi kwa ajili ya kuhudhuria ziara ya katibu mkuu wa ccm, Ndugu Chongolo.

NB:
Walimu wanatakiwa kujigharamia nauli na chakula katika ziara hiyo.
Cc: Mpwayungu Village
Si kweli
 
Kuna meseji zinatembea za magrupu zikiwataka walimu wa jiji la Arusha wale wa serikali kwenda uwanja wa Sheikh Amri Abeid kesho jumamosi kuanzia saa 1:00 asubuhi kwa ajili ya kuhudhuria ziara ya katibu mkuu wa ccm, Ndugu Chongolo.

NB:
Walimu wanatakiwa kujigharamia nauli na chakula katika ziara hiyo.
Cc: Mpwayungu Village
Mwalimu mwenye akili timamu Na mwenye kujiamini hataenda.
 
Kuna meseji zinatembea za magrupu zikiwataka walimu wa jiji la Arusha wale wa serikali kwenda uwanja wa Sheikh Amri Abeid kesho jumamosi kuanzia saa 1:00 asubuhi kwa ajili ya kuhudhuria ziara ya katibu mkuu wa ccm, Ndugu Chongolo.

NB:
Walimu wanatakiwa kujigharamia nauli na chakula katika ziara hiyo.
Cc: Mpwayungu Village
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Ukiwa Mtumishi wa Umma unaheshimu serikali iliyopo madarakani kwani hiyo serikali ndio Boss wako.Katibu mkuu wa CCM yupo huko Arusha Kwa niaba ya Mhe.Rais ambaye ndiye Mwenyekiti Wa Chama CCM..
Sio mbaya Kwa wao kwenda kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM...Nadhani mleta thread ni Wivu tu unakusumbua Kwa kuwa Serikali ya Mhe.Samia inavyofanya kazi nzuri na unajua Mkutano huo unaenda kuvuruga kila kitu huko Arusha..
CCM inapendwa sana,Serikali ya Mhe.Dkt.Samia inapendwa sana na inazidi kufanya makubwa Kwa Walimu na Watumishi wote wa Umma..
 
Back
Top Bottom