only83
Ulitaka maombi yao yapitie kwa Lema? Wameonyesha utovu wa nidhamu watahukumiwa kwa kosa lao; Lema kawaingiza mkenge na awasaidie warudi chuoni. Wakuu wa wilaya ni sehemu ya serikali; wanasoma kwa kodi zetu ni jukumu la serikali kuhakikisha pesa zetu hazipotei; kama wanataka siasa waingie kwenye siasa
Chama
Gongo la mboto DSM
Hapa kinachotakiwa ni kutafuta kiini cha mzozo uliopo kati ya wanafunzi wa chuo cha uhasibu na wananchi bila hivyo
watakuwa wanauwana kila kukicha.kwa mkuu wa wilaya kuna nn?ili iweje?
Mkuu wa mkoa alizomewa kanisani siku ya mabomu je amewachukulia hatua gani waumini, alizomewa pia hospitali ya mt Meru siku hiyo hiyo je amewachukulia hatua gani au hao hawatibiwi kwa pesa zako, je wanaotakiwa kuandika barua ni wanafunzi wanao lipiwa na seriakali au unawashwa na masaburi tu..huo uhuni wa ccm una mwisho na mnajijengea chuki zaidi kwa vijana na hii ni shangwe kwa chadema na vyama vingine makini vya upinzani...only83
Ulitaka maombi yao yapitie kwa Lema? Wameonyesha utovu wa nidhamu watahukumiwa kwa kosa lao; Lema kawaingiza mkenge na awasaidie warudi chuoni. Wakuu wa wilaya ni sehemu ya serikali; wanasoma kwa kodi zetu ni jukumu la serikali kuhakikisha pesa zetu hazipotei; kama wanataka siasa waingie kwenye siasa
Chama
Gongo la mboto DSM
only83
Ulitaka maombi yao yapitie kwa Lema? Wameonyesha utovu wa nidhamu watahukumiwa kwa kosa lao; Lema kawaingiza mkenge na awasaidie warudi chuoni. Wakuu wa wilaya ni sehemu ya serikali; wanasoma kwa kodi zetu ni jukumu la serikali kuhakikisha pesa zetu hazipotei; kama wanataka siasa waingie kwenye siasa
Chama
Gongo la mboto DSM
only83
Ulitaka maombi yao yapitie kwa Lema? Wameonyesha utovu wa nidhamu watahukumiwa kwa kosa lao; Lema kawaingiza mkenge na awasaidie warudi chuoni. Wakuu wa wilaya ni sehemu ya serikali; wanasoma kwa kodi zetu ni jukumu la serikali kuhakikisha pesa zetu hazipotei; kama wanataka siasa waingie kwenye siasa
Chama
Gongo la mboto DSM