only83
Ulitaka maombi yao yapitie kwa Lema? Wameonyesha utovu wa nidhamu watahukumiwa kwa kosa lao; Lema kawaingiza mkenge na awasaidie warudi chuoni. Wakuu wa wilaya ni sehemu ya serikali; wanasoma kwa kodi zetu ni jukumu la serikali kuhakikisha pesa zetu hazipotei; kama wanataka siasa waingie kwenye siasa
Chama
Gongo la mboto DSM
4. Mwanafunzi awe amekamilisha malipo ya ada iliyobaki wakati anatuma maombi yake 5. Mwisho wa maombi ni tarehe 16 Mei 2013. sasa kodi yako anayotumia ni ipi