Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Makonda na Gambo KAZI ipo, saaafi Sana SanaWakuu
Wananchi wakasirika wamvaa Mbunge wao Mrisho Gambo mkutanoni "Unatuangusha, sisi tunakufa"
View attachment 3193193
Na wewe?Mrisho Gambo siyo mbunge ni shetani kabisa
Pole shemeji yetu, wambie bwashee amechelewa kujisafisha bado miezi 9 tu uchaguziNa wewe?
Mi ni CCM lialia na sijali kama Chadema inaongozwa na nani na kama ipo au imekufa kwani vyama vingi tu naviona vinakuja na kufa na sijali maana CCM ipo!Pole shemeji yetu, wambie bwashee amechelewa kujisafisha bado miezi 9 tu uchaguzi
Upo chama cha mashetani kabisaMi ni CCM lialia na sijali kama Chadema inaongozwa na nani na kama ipo au imekufa kwani vyama vingi tu naviona vinakuja na kufa na sijali maana CCM ipo!
Wewe hongera upo Chama cha Malaika.Upo chama cha mashetani kabisa
CCM hawafai kabisa waondolewe.Wakuu
Wananchi wakasirika wamvaa Mbunge wao Mrisho Gambo mkutanoni "Unatuangusha, sisi tunakufa"
View attachment 3193193
Lema chukua Jimbo hiloWakuu
Wananchi wakasirika wamvaa Mbunge wao Mrisho Gambo mkutanoni "Unatuangusha, sisi tunakufa"
View attachment 3193193
DuuuMrisho Gambo siyo mbunge ni shetani kabisa
Ana kiburi cha kipuuzi sanaMrisho Gambo siyo mbunge ni shetani kabisa
Ni mshirikina snAna kiburi cha kipuuzi sana