Pre GE2025 Arusha: Wananchi wakasirika wamvaa Mbunge Gambo mkutanoni "Unatuangusha, sisi tunakufa"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Gambo amepata kiboko yake, akipata kupitishwa kamati kuu kuwania ubunge Chuga sijui...!
 
Kanywea huyooo kawa mdogoooo kama piritoni , unafikiri hata akili ilibaki hapo ? Anawaza hapa sitoboi tena ntaikumbuka dodoma mimi🤣🤣
 
Mlowekeni huyooo
hahaha Spana za mwaka huu zitakua balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…