Pre GE2025 ARUSHA: Wananchi wamzomea Mgombea Uenyekiti Taifa, Odero Charles Odero wakidai yeye na Mbowe ni mapandikizi ya CCM

Pre GE2025 ARUSHA: Wananchi wamzomea Mgombea Uenyekiti Taifa, Odero Charles Odero wakidai yeye na Mbowe ni mapandikizi ya CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kweli Sasa nimeamini kama Lissu hatashinda basi hakuna CHADEMA tena Tanzània,

Mfikishieni Mbowe habari hizi,
Mr Odero ana haki ya kugombea kama mtu mwingine.Kama Hawa ni wafuasi wa Lisu siasa imewashinda.Wapiga kura wataamua nani awe mwenyekiti.Mwenyekiti hapatikani kwa kuzomea au kutokuzomea
 
Amezomewa akiwa Arusha sehemu ipi ? Weka ushahidi wa video au walau picha.
 
Mr Odero ana haki ya kugombea kama mtu mwingine.Kama Hawa ni wafuasi wa Lisu siasa imewashinda.Wapiga kura wataamua nani awe mwenyekiti.Mwenyekiti hapatikani kwa kuzomea au kutokuzomea
Nakuona mr mboye mrafi wa fesa! Hata matapishi kwako ni halali
 
Mbowe angejiuzulu na kuwaachia Lissu na Odero wapambane kwenye Box la kura CHADEMA kingebaki inara sana.
 
Mbowe angejiuzulu na kuwaachia Lissu na Odero wapambane kwenye Box la kura CHADEMA kingebaki inara sana.
Mbona waoga wa demokrasia?Huyo Lisu kama ni jembe si amshinde Mbowe kwa kura?Mnachagua mgombea laini.Pambaneni na Mwamba mshinde sio mnaleta demokrasia ya uoga na kuteua wagombea.
 
Mbona waoga wa demokrasia?Huyo Lisu kama ni jembe si amshinde Mbowe kwa kura?Mnachagua mgombea laini.Pambaneni na Mwamba mshinde sio mnaleta demokrasia ya uoga na kuteua wagombea.
Unaamini demokrasia itafanyika? Yaani Mbowe aanguke kwenye kura na matokeo yatangazwe? Kuna kitu tunaita "incumbency advantage" huwezi kuandaa kamati ya uchaguzi mwenyewe alafu ushindwe!!
 
Unaamini demokrasia itafanyika? Yaani Mbowe aanguke kwenye kura na matokeo yatangazwe? Kuna kitu tunaita "incumbency advantage" huwezi kuandaa kamati ya uchaguzi mwenyewe alafu ushindwe!!
Incumbency advantage sio dawa ya kushinda tu.Kuna ma incumbent wengi tu wameshindwa.
Kama Lisu ana numbers na chaguo sahihi kwa wajumbe atashinda na kama sio hivyo bali ni mgombea wa vikundi vya mitandao atashindwa.
Nimeona mawazo ya wanaomuunga mkono Lisu ni kuachiwa kiti cha Uenyekiti bila Mbowe kugombea.
Huo ni udhaifu mkubwa mnataka demokrasia lakini kwa masharti yenu tu ndio iwe demokrasia.
You cannot eat your cake and have it too.
Tarehe 21 Januari 2025 pambaneni kwenye sanduku la kura mkishindwa fine mkishinda fine.
Hii si ndio misingi ya demokrasia?Au demokrasia kwenu ni incumbent amuachie mgombea wenu bila kupigiwa kura?
The choice is yours.
 
Incumbency advantage sio dawa ya kushinda tu.Kuna ma incumbent wengi tu wameshindwa.
Kama Lisu ana numbers na chaguo sahihi kwa wajumbe atashinda na kama sio hivyo bali ni mgombea wa vikundi vya mitandao atashindwa.
Nimeona mawazo ya wanaomuunga mkono Lisu ni kuachiwa kiti cha Uenyekiti bila Mbowe kugombea.
Huo ni udhaifu mkubwa mnataka demokrasia lakini kwa masharti yenu tu ndio iwe demokrasia.
You cannot eat your cake and have it too.
Tarehe 21 Januari 2025 pambaneni kwenye sanduku la kura mkishindwa fine mkishinda fine.
Hii si ndio misingi ya demokrasia?Au demokrasia kwenu ni incumbent amuachie mgombea wenu bila kupigiwa kura?
The choice is yours.
Hujaelewa, it's clear kwamba Mbowe anasupportiwa na top bureaucrats wa chama ila wanachama tupo upande ww Lissu.

Issue ni kwamba hao wajumbe hawatopiga kura kwa matakwa ya sisi wanachama ila watapiga kura kwa maslahi ya Mbowe na hapo ndio maana tunatamani huyu mzee apishe ili wajumbe wawe free kupiga kura kwa kina Lissu, Heche n.k.

Tunataka demokrasia ila incumbency ya Mbowe itazuia hilo
 
Na demokrasia ndio inavyofanya kazi through representative democracy.Mliowachagua mna imani nao kwamba watafanya mlivyowatuma.Assumption na matamanio yenu havipigi kura.Kama hamuwaamini mliowachagua basi mna matatizo makubwa ya kidemokrasia. Ila kama ni msukumo wa harakati za
mitandaoni basi lazima mtulie na kuheshimu taratibu mlizozichagua au sivyo itakuwa anarchy.
Kwani huyo Lisu si alichaguliwa na hao hao wajumbe kuwa makamu mwenyekiti mbona sasa imekuwa nongwa?
 
Back
Top Bottom