Pre GE2025 ARUSHA: Wananchi wamzomea Mgombea Uenyekiti Taifa, Odero Charles Odero wakidai yeye na Mbowe ni mapandikizi ya CCM

Pre GE2025 ARUSHA: Wananchi wamzomea Mgombea Uenyekiti Taifa, Odero Charles Odero wakidai yeye na Mbowe ni mapandikizi ya CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mmekusanya wadudu wa Arusha,ambao sio wapiga kura,mnasema wanamtaka TAL🤣
 
Odero ndio mwenyekiti mpya CDM. Mbowe wa pili, Lissu wa tatu. Tukutane Janauri 23
 
Jaribuni kupata views za wapiga kura tafadhali,ili kuokoa muda,tukielekea 23.1.2025.
 
Back
Top Bottom