Arusha wanataka Roma Mkatoliki arudi nchini. Je, atakubali kurejea?

Arusha wanataka Roma Mkatoliki arudi nchini. Je, atakubali kurejea?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Baada ya Lema kupata mapokezi makubwa Arusha nimependezwa na Kauli ya wananchi wa Arusha kutaka Roma arejee home. Ikumbukwe Roma siyo mkazi wa Arusha Bali ni Mtanzania aliyetoroka nchi.

Wananchi wa Hali ya chini wanamkumbuka Roma na kumwombea usalama arejee nyumbani lakini wasanii wenzake hakuna aliyewahi kutoka adharani kutoa japo kauli ya kuumizwa Kwa mwamba huyu wa hip hop nchini.

Tunajifunza nini; siku zote walio na kipato kidogo Wana umoja DHIDI ya wenye kipato. Muda ukifika wenye vipato vikubwa wanatambua nafasi ya wasio na vipato tutapendana na kuishi kama ndugu.

Roma rejea home Wana wanakusubiri Kwa hamu, unaweza kupigana ukiwa mbali Ila fikiria pia kupigana ukiwa karibu.
 
Roma arudi Bongo kufanya nini wakati anapambania URAIA wa herufi tatu USA bby
 
Dah, ila ukijaribu kurudisha miaka kama mitatu nyuma unaouna utawala mkubwa wa kinyama haswa, huyo kapotezwa, yule kapigwa risasi, maiti zaokotwa kwenye viroba, huyu katekwa hajulikani alipo, watu wanajimwambafy nchi yao hamna cha kuwafanya!!

Ila Mungu fundi sana!! Amejua sana kutufurahisha watanzania!!

Mama tunaendelea kukuombea sana uishi miaka mingi!! Ukitaka tukupe hata mikumi mbele tutaandamana kama wale jamaa fulani wa mitano tena!!🤣🤣🤣🤣
 
Baada ya Lema kupata mapokezi makubwa Arusha nimependezwa na Kauli ya wananchi wa Arusha kutaka Roma arejee home. Ikumbukwe Roma siyo mkazi wa Arusha Bali ni Mtanzania aliyetoroka nchi...
Kama anaingiza mpunga wake atulie huko tu, ingawa akitaka kurud bongo pako shwari kbs, hakuna tena zama za washamba za kutekana na kutesana!!
 
Baada ya Lema kupata mapokezi makubwa Arusha nimependezwa na Kauli ya wananchi wa Arusha kutaka Roma arejee home. Ikumbukwe Roma siyo mkazi wa Arusha Bali ni Mtanzania aliyetoroka nchi...
Mkuu Mungu amekupa maono...kuna siku tutaifukuwa hili Bandiko.

Wenye scope eyes TUMEKUSOMA
 
Baada ya Lema kupata mapokezi makubwa Arusha nimependezwa na Kauli ya wananchi wa Arusha kutaka Roma arejee home. Ikumbukwe Roma siyo mkazi wa Arusha Bali ni Mtanzania aliyetoroka nchi...
Kama hana kitu kikubwa bora akae kae kwanza.
 
Baada ya Lema kupata mapokezi makubwa Arusha nimependezwa na Kauli ya wananchi wa Arusha kutaka Roma arejee home. Ikumbukwe Roma siyo mkazi wa Arusha Bali ni Mtanzania aliyetoroka nchi...

Huyu katoliki mroma si tayari yuko kwao kwa warumi? Sasa arudi bongo kufuata nini?
 
Watanzania wakifunga na kuomba shwetani aondoke katika nchi yao, sasa kama ilikuwa ndo uliyemtaja sielewi!!
TANU [ 1954 ], ASP [ 1957 ], CCM [1977].

Tanganyika [ 1961 ], Zanzibar [ 1964 ], Muungano [ 1964 mpaka sasa mwaka wa 59 ].




: Akili/Rangi
 
Back
Top Bottom