Arusha wanazungumza sana kingereza na lugha nyingine za kimataifa

Arusha wanazungumza sana kingereza na lugha nyingine za kimataifa

Idd Ninga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
5,497
Reaction score
4,775
Wako baadhi ya watu wanaodhani kuwa kuzungumza lugha ya kingereza ni lazima uwe na elimu,hali ambayo huchukuliwa tofauti kabisa na wakazi wa Arusha.

Ikumbukwe kwamba Arusha ni mkoa wa kitalii na hupokea watalii toka nchi mbalimbali wanazungumza lugha tofauti tofauti.

Ukiwa Arusha ndipo utastajaabu kukutana na wazungu wengi wasiokifahamu kingereza.
kwa uchunguzi wangu wa haraka unaonyesha kuwa Arusha ndio mkoa wa pekee ambako lugha nyingi za kimataifa hufundishwa

Kuanzi kingereza, kifaransa,kijerumani na Kispania.
kati ya vijana kumi utakao kutana nao katika jiji hili basi wawili watakuwa wanazungumza lugha zaidi ya moja ya kimataifa.

Arusha ndio mkoa ambao wazoa taka,madada poa,dereva toyo na taxi,darasa la nne kama sisi,wauza mitumba,na wengine wanazungumza kingereza na lugha nyingine.

Basi kama bado unaamini kujua kingereza hadi uwe na elimu KARIBU ARUSHA
yani huku COLLEGE huwa wanapambanishwa na CHUO KIKUU KWENYE MIDAHALO,kama unabisha jaribu.
 
hakuna mzungu anaekuja tanzania hajui kingereza
 
Unahakika kawoli au unakariri tu kila mzungu anaongea kingereza ?
wengi wanao safiri kimataifa wana fahamu kiswahili... sio wote wauza mitumba dada poa wana fahamu lugha zaidi ya moja... nina uhakika wa hili... tena 100% na zaidi...

wapo manyokaa wengi tu na machalii maboya wakutupwa... wengine tumesoma nao machuoni na shule za secondary lakini hawapo competent ktk lugha na wengine waoga hawajiamini...
 
wengi wanao safiri kimataifa wana fahamu kiswahili... sio wote wauza mitumba dada poa wana fahamu lugha zaidi ya moja... nina uhakika wa hili... tena 100% na zaidi...

wapo manyokaa wengi tu na machalii maboya wakutupwa... wengine tumesoma nao machuoni na shule za secondary lakini hawapo competent ktk lugha na wengine waoga hawajiamini...
Aiseee!
 
Mkuu wanakuwa Washafanya research km sio kiswahili basi kingereza. So most of them wa abc za English otherwise watajifanya hawajui English ili kuzuga tuu
wengi wakija pia huwa hawataki jionesha wana fahamu kiswahili... kuna sababu zao wenyewe... kwakuwa wana mchukulia mswahili ni mtu tapeli mbabaishaji ili aendelee kukusoma vizuri ni kujifanya hajui kiswahili hata kama ana fahamu...
 
Hapa inaongelewa Arusha Ipi asee, Arusha ni overrated city mno
 
kama ulibahatika kuonanana nao makazini au mashuleni... utakuwa umepata moja mbili.... kwanza hata kazi huwa wana bebana hata kama kazi husika haiwezi... na wengi hawataki kutoka huko walipo waje mjini kuchangamana na watu wao wanaisi arusha ndio alfa na omega...

wababaishaji tu hawa sijui ndugu mleta uzi survey yake alifanya Ungalimi, daraja mbili, ngaramtoni, lemala, kikwe nk... au alifanyia maofisini na ktk vyuo
 
Naja nami nikafune ung'eng'e mtanikomaje...! yu no ma pipo i wanna be lily boi..
 
hakuna mzungu anaekuja tanzania hajui kingereza
Laaa,we nae umetoka wapi unadhani wazungu wote wanajua engilsh,kun aina nyingi ya wazungu na lugha zao,wafaransa kwa lugha zao wajerumani,spain,italia, yaan wako wengi mno hata hawaelewani kwa lugha zao.
 
Laaa,we nae umetoka wapi unadhani wazungu wote wanajua engilsh,kun aina nyingi ya wazungu na lugha zao,wafaransa kwa lugha zao wajerumani,spain,italia, yaan wako wengi mno hata hawaelewani kwa lugha zao.
huwa wanafanya research ya lugha kabla hawajaja Tz. Kwa Tz wanajua is either kiswahili or Kingereza. So abc za kingereza wanazo ili waweze kuishi kiurahisi wakiwa Tz. Japo wengi wao wanazuga hawajui kingereza mbele ya watu lakini kwenye huduma muhimu wanaongea kama kawa awe mutaliano au mchina
 
huwa wanafanya research ya lugha kabla hawajaja Tz. Kwa Tz wanajua is either kiswahili or Kingereza. So abc za kingereza wanazo ili waweze kuishi kiurahisi wakiwa Tz. Japo wengi wao wanazuga hawajui kingereza mbele ya watu lakini kwenye huduma muhimu wanaongea kama kawa awe mutaliano au mchina
hachana nao hao, wabishi sana na ujuaji mwingi... yeye mswahili lakini ana zungumza kizungu lakini hashangai...
 
kama ulibahatika kuonanana nao makazini au mashuleni... utakuwa umepata moja mbili.... kwanza hata kazi huwa wana bebana hata kama kazi husika haiwezi... na wengi hawataki kutoka huko walipo waje mjini kuchangamana na watu wao wanaisi arusha ndio alfa na omega...

wababaishaji tu hawa sijui ndugu mleta uzi survey yake alifanya Ungalimi, daraja mbili, ngaramtoni, lemala, kikwe nk... au alifanyia maofisini na ktk vyuo
Kama umefanya utafiti ni sawa siwezi kukukatalia ila mimi nimezaliwa hapa hapa chuga most of my life ukiacha kuparangana nimeutumia hapa chuga ila wengi wa vijana wa hapa ni wapiganaji si kweli unayoyasema manake wote niliokuwa nao wameleta tofauti na jinsi nilivyowaona wazazi wao chanya BTW tofauti na maeneo mengine nimeona wakiyaishi yale ya wazazi wao bila kubadilisha yaani kutengeneza pesa na mali zaidi ya zilizopo nyumbani!
 
kama ulibahatika kuonanana nao makazini au mashuleni... utakuwa umepata moja mbili.... kwanza hata kazi huwa wana bebana hata kama kazi husika haiwezi... na wengi hawataki kutoka huko walipo waje mjini kuchangamana na watu wao wanaisi arusha ndio alfa na omega...

wababaishaji tu hawa sijui ndugu mleta uzi survey yake alifanya Ungalimi, daraja mbili, ngaramtoni, lemala, kikwe nk... au alifanyia maofisini na ktk vyuo
Arusha hakuna sehemu panapoitwa lemala, mkuu labda huko kwenu
 
Back
Top Bottom