Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,870
- 10,066
Lemara ipo arusha... wewe upo arusha sehemu gani...!?Arusha hakuna sehemu panapoitwa lemala, mkuu labda huko kwenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lemara ipo arusha... wewe upo arusha sehemu gani...!?Arusha hakuna sehemu panapoitwa lemala, mkuu labda huko kwenu
Kaka ulisema lemala ...usijiteteeLemara ipo arusha... wewe upo arusha sehemu gani...!?
Lemara ina patika arusha narudia....Kaka ulisema lemala ...usijitetee
Mkubw hutaki kosolewa, conversation ya kwanza uliandika "LEMALA" Ni umepachafua mtaani kwetu ndo maana nkakusoa, other wise freshLemara ina patika arusha narudia....
LEMARA kule bwawa la Mavi.Wasalimie mkuuMkubw hutaki kosolewa, conversation ya kwanza uliandika "LEMALA" Ni umepachafua mtaani kwetu ndo maana nkakusoa, other wise fresh
Umechemsha; wapo waitaliano kibao na hawajui kiingereza bali guides wao wa kitanzania wanaongea kiitaliano kama kiswahilihakuna mzungu anaekuja tanzania hajui kingereza
Wanazuga tuu mkuu.. abc za kingereza wanazo. Jaribu kuwateta uoneUmechemsha; wapo waitaliano kibao na hawajui kiingereza bali guides wao wa kitanzania wanaongea kiitaliano kama kiswahili
We ni ngosha bila shakaArusha wakaazi wengi , hasa asili ya maasai/meru, exposure ndogo bali hudhan kuzaliwa Arusha ni kila kitu. Jamaa wa kiume na Dada zao hawataki kutengeneza maisha ya kujitegemea, we kike kutaka mali za urithi halikadhalika kaka , wachache wanaojitambua.
Arusha wakaazi wengi , hasa asili ya maasai/meru, exposure ndogo bali hudhan kuzaliwa Arusha ni kila kitu. Jamaa wa kiume na Dada zao hawataki kutengeneza maisha ya kujitegemea, we kike kutaka mali za urithi halikadhalika kaka , wachache wanaojitambua.
By induction , absolutely right!We ni ngosha bila shaka