Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Ulitaka watu wafanye kazi rahisi? Vipi wale wanaobonda kokoto? Wanaovua? Madereva wa masafa marefu? Hizo zote ni kazi ngumu kwa hiyo unataka watu waache?We hujitambui na haujui ugumu wa hiyo kazi
Salute!!!!!Mama anajiwekea Legacy nzuri. Muda wake ukishpita atakuwa anaishi maisha ya amani sana. Hatasemwa vibaya kama mwenzake. Mungu akubariki mama Samia.
Andiko bora kabisa.....Baada ya kutua jana kwa akitokea uhamishoni Canada alipokimbilia kwa takribani miaka 2, mwanasiasa machachari na maarufu aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema alipokelewa kwa shangwe kubwa na wafuasi wake na tayari ameibua mijadala ambayo ilikosekana kwa muda mrefu sana.
Mijadala hiyo ni pamoja na uhai wa upinzani kutokana na ukubwa wa umati wa wafuasi wake , mahusiano ya serikali na upinzani ikizingatiwa kufika kwake uwanja wa ndege kuliingiliana na msafara wa Rais bila matatizo yoyote, aina ya hotuba aliyotoa ambayo sasa ameibua mjadala mwingine mkubwa kuhusu aina ya ajira ya bodaboda ambayo kwa masikitiko makubwa imekuwa kimbilio kwa vijana wengi taifa hilo hata wale ambao ni wasomi.
Haya yote ni mambo mazuri sana yaliyokosekana kwa kipindi fulani, yanapaswa kuendelea na kushamiri zaidi kutoka kwa wanasiasa kama tunataka nchi nzuri yenye fursa sawa kwa wote na yenye demokrasia imara. Kufika kwa Lema ni mwamko zaidi na afya kwa taifa letu.
Lazima kuwa na mawazo ya kimaendeleo. Maendeleo ni mabadiliko kutoka katika hali duni kwenda kwenye bora zaidi. Ili utoke katika hali hiyo ni lazima uelewe ipi ni duni na nyingine bora halafu uchukue hatua kuondoka kuelekea bora zaidi. Sasa, kama hujui na kukubali kuwa upo duni utapata vipi maendeleo?Ulitaka watu wafanye kazi rahisi? Vipi wale wanaobonda kokoto? Wanaovua? Madereva wa masafa marefu? Hizo zote ni kazi ngumu kwa hiyo unataka watu waache?
Mbona naniii Tito yupo siku nyingi saanaBaada ya kutua jana akitokea uhamishoni Canada alipokimbilia kwa takribani miaka 2, mwanasiasa machachari na maarufu aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema alipokelewa kwa shangwe kubwa na wafuasi wake na tayari ameibua mijadala ambayo ilikosekana kwa muda mrefu sana.
Mijadala hiyo ni pamoja na uhai wa upinzani kutokana na ukubwa wa umati wa wafuasi wake , mahusiano ya serikali na upinzani ikizingatiwa kufika kwake uwanja wa ndege kuliingiliana na msafara wa Rais bila matatizo yoyote, aina ya hotuba aliyotoa ambayo sasa ameibua mjadala mwingine mkubwa kuhusu aina ya ajira ya bodaboda ambayo kwa masikitiko makubwa imekuwa kimbilio kwa vijana wengi taifa hilo hata wale ambao ni wasomi.
Haya yote ni mambo mazuri sana yaliyokosekana kwa kipindi fulani, yanapaswa kuendelea na kushamiri zaidi kutoka kwa wanasiasa kama tunataka nchi nzuri yenye fursa sawa kwa wote na yenye demokrasia imara. Kufika kwa Lema ni mwamko zaidi na afya kwa taifa letu.
Huwezi kukiona kwa mtindio wako wa ubongo!Ni kipi kipya lema ameleta katika siasa zetu ?
: Akili/Rangi
Akili/RangiHuwezi kukiona kwa mtindio wako wa ubongo!
Ni kipi kipya lema ameleta katika siasa zetu ?
: Akili/Rangi
Anavuna alichopandaYani Lema anapokelewa kifalme Arusha Sabaya yuko Gerezani?
Maisha yanaenda kasi sana tutende wema jamani maisha yetu ni Mafupi.
Hongera sana Rais Samia kwa kutufundisha kwa Vitendo ubinadamu na upendo.
Maisha yako yatakuwa ya amani sana baada ya kumaliza kipindi chako.
Anavuna alichopanda
KabisaBaada ya kutua jana akitokea uhamishoni Canada alipokimbilia kwa takribani miaka 2, mwanasiasa machachari na maarufu aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema alipokelewa kwa shangwe kubwa na wafuasi wake na tayari ameibua mijadala ambayo ilikosekana kwa muda mrefu sana.
Mijadala hiyo ni pamoja na uhai wa upinzani kutokana na ukubwa wa umati wa wafuasi wake , mahusiano ya serikali na upinzani ikizingatiwa kufika kwake uwanja wa ndege kuliingiliana na msafara wa Rais bila matatizo yoyote, aina ya hotuba aliyotoa ambayo sasa ameibua mjadala mwingine mkubwa kuhusu aina ya ajira ya bodaboda ambayo kwa masikitiko makubwa imekuwa kimbilio kwa vijana wengi taifa hilo hata wale ambao ni wasomi.
Haya yote ni mambo mazuri sana yaliyokosekana kwa kipindi fulani, yanapaswa kuendelea na kushamiri zaidi kutoka kwa wanasiasa kama tunataka nchi nzuri yenye fursa sawa kwa wote na yenye demokrasia imara. Kufika kwa Lema ni mwamko zaidi na afya kwa taifa letu.