Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Sahihi kabisa hizi siasa tulizikosa kwa muda mrefu.
 
Nani alijua jiwe angetupwa kwenye ziwa la.moto huko aliko
 
Ndiyo heshimu Kila mtu kama unavyo heshimu taulo lako kwa sababu sehemu utakayofutia tako lako Leo pengine kesho ndipo utakapofutia uso wako
 
Ataheshika sana
 
Asante Mungu Kwa kutenda. Kuliondoa jinamizi la mauti na kumleta mlinzi wa uhai. Wasn't Yessu @johnthe
 
Kazi ya halali haina laana yoyote
 
Lema yeye anafanya kazi gani huko Canada? Angeeleza kazi yake kwanza ndio azungumzie za wengine. Sio wote wanapenda kulelewa
Logical non sequitur.

Mimi nishapita kumuongelea Lema naongelea hoja.

Wewe huna uwezo wa kufanya abstract thinking kutoka kwa Lema kwenda kwenye hoja.

Hiyo ni tofauti kubwa kati yangu na wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…