Nzie ya Mana
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,515
- 1,730
Imhotep! Piga Sana Mkuu! Watapoteana wote!Hivi babaako aliishatoka pale Wodi ya C1 Bugando?
Waambie ukweli hawa mapimbi!MTU yoyote anayeamini Magufuli alikua Shujaa na Mzalendo inabidi akapimwe Akili na aanzishiwe dozi mapema
Ukiona mtu anamshangaa mtu aliekimbia kuuawa ujue anahitilafuMwambie ukweli huyo kenge!
Kwanza hata hiyo 7000 ni kubwa mno kwa uchawa wanaoendekeza kwa kutetea upuuzi afu tatu ingekuwa stahili yao .Wanaowalipa wajue ni matumizi mabaya ya raslimali fedhaHivi bado ni 7000/= au ishagapanda? Maana Boom lenyewe tu limepandishwa tayari.
Sabaya kuja kuwa rais Haiwezekani kamwe. Labda kuzimu lkn siyo nchi hii ya Tanzania.Mambo hugeuka, na wala usishangilie eti Sabaya yuko gerezani... Tena ogopa sana hao watuhumiwa wa Kisiasa, kuna siku utakuja kuona Sabaya ni Rais au ni waziri mkuu, kila kesho hubadilika na hata usibeze , muangalie Rais wa Zimbabwe, alikaa gerezani miaka kumi akiwekwa na Serikali ya Rodeshia nyakati hizo, hawa kina Lema pia wala usidhani ni watu wema kwa mawazo yako, eti walionewa tu... Big No, usichokijua usikisemee kwa mihemko ya mapenzi ya siasa
RPC wa Dodoma alijizolea umaarufu enzi za jiwe baada ya kusema chadema wakiandamana watapigwa kipigo cha mbwa koko.Yaani polisi wote waliokuwa wanasema Chadema mtapata tabu sana mkiandamana Leo hii ndo wanafurahia maandamano ya chadema na kuyapa ulinzi mkali [emoji23][emoji23][emoji23]
Huna hoja pimbi weweLema amewatukana vijana Waliojiajiri kwa kuwaambia wanafanya kazi za laana, hii suala limeacha simanzi kwa vijana wengi sana.
Jana nilikua Arusha nimezunguka sehemu mbalimbali kuona wamepokeaje kauli hii yenye dharau kubwa sana. Hakika walio wengi wanajuta kwa Nini walienda Kumpokea Lema.
Serikali inapambana usiku na mchana ili vijana wapate ajira na wajiajiri alafu leo lema anakuja kuwatukana?
Lema anapaswa kuomba radhi kwa kauli hii. Yeye kwa kuwa anakula na kulala bure kule canada basi anataka watu wote waishi hivyo kitu ambacho hakiwezekani. Imeandikwa kwenye vitabu takatifu kuwa mwanaume atakula kwa jasho, wewe inakuaje unakula bure alafu unaleta dharau kwa wanaokula kwa jasho?
Lema anapaswa kuomba radhi mara moja kwa kauli hii.
Muuaji awe rais? Never siyo Tanzania ya kesho. uzwazwa wa watanzania with time unaenda unaishaSabaya kuja kuwa rais Haiwezekani kamwe.
Maswali mazuri sana.Swali jepesi sana ni hili...
Unamtenga vipi mwenyekiti wa CCM na makosa ya chama hicho?, yaani tuikosoe CCM bila kumkosoa yeye?.
Je tunaikosoaje serikali kwa kukosea huku tukimuacha Kiongozi na msimamizi mkuu wa Serikali ?
SanaWewe Roho mbaya ....
HAYO HAPO YATAKAPOTOLEWA MAELEZO SAHIHI NDIPO TUTAKAPOSEMA HAKIKA HUYU KIONGOZI ALIKUWA SAFI NA MZALENDO.Mwl. Jkn tunamuita safi kwa sababu hakufanya ya aina hii,
Mwl. Alikuwa na mapungufu yake lakini sio utoroshaji fedha za nchi.
Navyosikia sabaya hayupo gerezani,ile ni changa la macho tu kuwapoteza maboya.Sabaya ni mfirwa mwanawane
Huko gerezani wahuni wana mpiga mtungo ninavyosikia
Na pia anajinyea sana tu 😶😑
Dunia tunapita Kila kitu kibaakiii binadam ni mchangaaa dah nimejikuta naiMbaKweli dunia duara,nilicheka siku ile Makonda analia lia eti anatishiwa maisha na GSM, Makonda huyu alikuwa anatembea na msafara kama wa Waziri mkuu!!!!!
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
NENDA MAHAKAMANI mbona Mwigulu alituambia Tukimbilie BURUNDI hamkuhamaki?Lema amewatukana vijana Waliojiajiri kwa kuwaambia wanafanya kazi za laana, hii suala limeacha simanzi kwa vijana wengi sana.
Jana nilikua Arusha nimezunguka sehemu mbalimbali kuona wamepokeaje kauli hii yenye dharau kubwa sana. Hakika walio wengi wanajuta kwa Nini walienda Kumpokea Lema.
Serikali inapambana usiku na mchana ili vijana wapate ajira na wajiajiri alafu leo lema anakuja kuwatukana?
Lema anapaswa kuomba radhi kwa kauli hii. Yeye kwa kuwa anakula na kulala bure kule canada basi anataka watu wote waishi hivyo kitu ambacho hakiwezekani. Imeandikwa kwenye vitabu takatifu kuwa mwanaume atakula kwa jasho, wewe inakuaje unakula bure alafu unaleta dharau kwa wanaokula kwa jasho?
Lema anapaswa kuomba radhi mara moja kwa kauli hii.
WEWE MWENYEWE UNAAMINI ila unaogopa kusema Magufuli alikuwa ana uwezo huoHv kweli umeishi Canada miaka yote hiyo, Leo unarudi bongo baada ya kazi uliyopata huko ya mkataba kuisha na sasa huna kazi ya kufanya unaitisha mkutano. Unasumbua watu wenye akili zao waache kusaka noti wakasomeshe watoto wao, unatumia masaa 2 kulalamika kuwa ulitaka kuuawa.
Wewe una impact gan had wakuue? Umeona huna agenda ya kuwaaambia wananchi zaidi ya kulalamika kuwa ulitaka kuuawa ili wananchi wakuonee huruma, siasa za kijinga kabisa.
Haya sasa umerudi fanya siasa kaka lema.