Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Hivi bado ni 7000/= au ishagapanda? Maana Boom lenyewe tu limepandishwa tayari.
Kwanza hata hiyo 7000 ni kubwa mno kwa uchawa wanaoendekeza kwa kutetea upuuzi afu tatu ingekuwa stahili yao .Wanaowalipa wajue ni matumizi mabaya ya raslimali fedha
 
Mambo hugeuka, na wala usishangilie eti Sabaya yuko gerezani... Tena ogopa sana hao watuhumiwa wa Kisiasa, kuna siku utakuja kuona Sabaya ni Rais au ni waziri mkuu, kila kesho hubadilika na hata usibeze , muangalie Rais wa Zimbabwe, alikaa gerezani miaka kumi akiwekwa na Serikali ya Rodeshia nyakati hizo, hawa kina Lema pia wala usidhani ni watu wema kwa mawazo yako, eti walionewa tu... Big No, usichokijua usikisemee kwa mihemko ya mapenzi ya siasa
Sabaya kuja kuwa rais Haiwezekani kamwe. Labda kuzimu lkn siyo nchi hii ya Tanzania.

Kusema kwamba Lema siyo mtu mzuri ni ufitini unakusumbua tu. Tutajie ubaya wa Lema.
 
Yaani polisi wote waliokuwa wanasema Chadema mtapata tabu sana mkiandamana Leo hii ndo wanafurahia maandamano ya chadema na kuyapa ulinzi mkali [emoji23][emoji23][emoji23]
RPC wa Dodoma alijizolea umaarufu enzi za jiwe baada ya kusema chadema wakiandamana watapigwa kipigo cha mbwa koko.
 
Uchochezi dhidi ya kauli kuntu ya Lema haiwezi kuwafanya wanaomuunga mkono wamchukie kwani kazi ya bodaboda iliyowafanya vijana wengi kuwa vilema na kugeuka tegemezi haiwezi kuwa mbadala wa ajira rasmi ziwe za kuajiriwa au kujiajiri .Huyo Lema nguvu yake Arusha itamfanya mbunge wa hapo awe anapata usingizi wa mang'amung'amu.Na 2025 hakutakuwa na mbeleko kama enzi za mwendazake 2020 lazima apambane kwa nguvu zake
 
Lema amewatukana vijana Waliojiajiri kwa kuwaambia wanafanya kazi za laana, hii suala limeacha simanzi kwa vijana wengi sana.

Jana nilikua Arusha nimezunguka sehemu mbalimbali kuona wamepokeaje kauli hii yenye dharau kubwa sana. Hakika walio wengi wanajuta kwa Nini walienda Kumpokea Lema.

Serikali inapambana usiku na mchana ili vijana wapate ajira na wajiajiri alafu leo lema anakuja kuwatukana?

Lema anapaswa kuomba radhi kwa kauli hii. Yeye kwa kuwa anakula na kulala bure kule canada basi anataka watu wote waishi hivyo kitu ambacho hakiwezekani. Imeandikwa kwenye vitabu takatifu kuwa mwanaume atakula kwa jasho, wewe inakuaje unakula bure alafu unaleta dharau kwa wanaokula kwa jasho?

Lema anapaswa kuomba radhi mara moja kwa kauli hii.
Huna hoja pimbi wewe
 
Hongera kwa kuliona hilo, mie nilishaanzisha hiyo mada humu jf ikafutwa,kilichopo ni chadema wamepewa maelekezo na mamlaka kuwa wapambane na jpm na wanamalipo yao kwa kila mwezi na mikutano yao inagharamikiwa na hela za walipakodi
 
©Fedha za China
©Fedha za Seychelles
©Fedha zilizofichwa kwenye kampuni binafsi.
©Fedha Trilion 1.5 zilipohojiwa tu, unafahamu kilichotokea.
Mwl. Jkn tunamuita safi kwa sababu hakufanya ya aina hii,
Mwl. Alikuwa na mapungufu yake lakini sio utoroshaji fedha za nchi.
HAYO HAPO YATAKAPOTOLEWA MAELEZO SAHIHI NDIPO TUTAKAPOSEMA HAKIKA HUYU KIONGOZI ALIKUWA SAFI NA MZALENDO.
 
Lema amewatukana vijana Waliojiajiri kwa kuwaambia wanafanya kazi za laana, hii suala limeacha simanzi kwa vijana wengi sana.

Jana nilikua Arusha nimezunguka sehemu mbalimbali kuona wamepokeaje kauli hii yenye dharau kubwa sana. Hakika walio wengi wanajuta kwa Nini walienda Kumpokea Lema.

Serikali inapambana usiku na mchana ili vijana wapate ajira na wajiajiri alafu leo lema anakuja kuwatukana?

Lema anapaswa kuomba radhi kwa kauli hii. Yeye kwa kuwa anakula na kulala bure kule canada basi anataka watu wote waishi hivyo kitu ambacho hakiwezekani. Imeandikwa kwenye vitabu takatifu kuwa mwanaume atakula kwa jasho, wewe inakuaje unakula bure alafu unaleta dharau kwa wanaokula kwa jasho?

Lema anapaswa kuomba radhi mara moja kwa kauli hii.
NENDA MAHAKAMANI mbona Mwigulu alituambia Tukimbilie BURUNDI hamkuhamaki?
 
Hv kweli umeishi Canada miaka yote hiyo, Leo unarudi bongo baada ya kazi uliyopata huko ya mkataba kuisha na sasa huna kazi ya kufanya unaitisha mkutano. Unasumbua watu wenye akili zao waache kusaka noti wakasomeshe watoto wao, unatumia masaa 2 kulalamika kuwa ulitaka kuuawa.

Wewe una impact gan had wakuue? Umeona huna agenda ya kuwaaambia wananchi zaidi ya kulalamika kuwa ulitaka kuuawa ili wananchi wakuonee huruma, siasa za kijinga kabisa.

Haya sasa umerudi fanya siasa kaka lema.
WEWE MWENYEWE UNAAMINI ila unaogopa kusema Magufuli alikuwa ana uwezo huo
 
Back
Top Bottom