Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Systemic failure
Afu mnakuja kulaumu watoto wa watu fighting for their lives js to survive

Amefanya nini kubadili hilo?
 
Anzisha chama chako stupid
Mnajaza ujinga tuu , CDM ni Chama au Kikundi Cha wahuni tu.


Shukuruni kwamba, Kwa Sasa Kuna idadi kubwa ya Watanzania wenye kufurahia mambo ya hovyooo na hao ndio mtaji wenu.
 
Kwanini nisiamini?. Mungu tu ndio mwenye mamlaka ya kuzuia CHADEMA kuchukua nchi.
Aahh Kumbe unaelewa Kuna Mungu? Basi ni Mungu aliyeamua JPM kua na Rais, na kulipitisha Taifa katika kipindi kigumu ambacho Dunia yote imebaki inakoswa Jibu, huyu Mwamba aliwezaje.
 
Jiwe alisimama yeye kama yeye na roho yake ya kihutu. Usijifiche kwenye chaka la chama.

Kama chama kinahusika inakuwaje hivi sasa mambo ni shwari, kwani ccm imekufa?
Ni mjinga tu kama wewe anayeweza kuamini ujinga wako,
 
Mamaako bora angetoa hiyo mimba yako,amezaa uchafu
Mamaako ni kubwa la matakataka na kazaa takataka
 
Uchaguzi ukiisha na shughuli za kisiasa ,mikutano ,maandamo yasikua na Msingi nayo huisha inabaki kazi ya kujenga nchi.


Kikwete akiwachekea sana akajikita analazimika kuwaita ikulu Kila Mara .

Ni katika kipindi Cha Kikwete pekee, ndipo Wapinzani waliungana na Mafisafi kula na kugawana Pesa za Wananchi

Mfano mzuri Pesa zile walogawana kwenye masandarusi.


Bado unasema Kuna Upinzani??
 
Machawa kazini usishangae.
 
Mheshimiwa Godbless Lema anachokisema kuhusu bodaboda kina ukweli wa asilimia 90, bodaboda wengi wamekata tamaa ya maisha na hata ukiwaangalia wengi wao unaona kabisa hawana option B zaidi ya kuendesha bodaboda.

Moja ya dalili kuonesha kuwa bodaboda wengi wamekata tamaa ya maisha ni style yao ya uendeshaji wa hizo bodaboda wengi wao hawajali wanaendesha kwa mwendo kasi hata sehemu za hatari.

Yaani wana base na ule msemo wa liwalo na liwe kweli, bodaboda ni kazi ya laana wengi wao wanaofanya hii kazi hawana option.
 
Magufuli blood sucker
 
Magufuli alikuwa muuaji hilo sasa ni wazi.
 
Tukubali JPM alitumia dola kupambana na CHADEMA, bila kujua akifa CHADEMA watamshughulikia.
Kwa hiyo CHADEMA wanapomshambulia JPM wanapata faida gani
Nipe faida wanazopata chadema?
 
Mnajaza ujinga tuu , CDM ni Chama au Kikundi Cha wahuni tu.


Shukuruni kwamba, Kwa Sasa Kuna idadi kubwa ya Watanzania wenye kufurahia mambo ya hovyooo na hao ndio mtaji wenu.
Hao hao hata Jpm alikuwa anapendwa na wajinga
 
kWA HIYO cHAMA KILISHINDWA KUMSIMAMIA MWAKILISHI WAKE?..

Je wakati jiwe kazuia mikutano ya kisiasa , chama kilimsapoti au kumkataa...
Msichoelewa ni kuwa dhana ya Zidumu fikra za mwenyekiti ipo hai ndani ya CCM
Fikra za Samia ni 4 Rs. Na kwakuwa umesema wanachama huasooti fikra za mwenyekiti basi tarajia amani na upendo kutamalaki
 
Haihitaji akili kubwa sana kutambua kwa sasa hatuna upinzani wote waliopo ni CCM tu nipo nasubiria kwa hamu UMOJA PARTY IANZISHWE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…