Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Hata kama unajifanya hujui, kiukweli unamjua na unamjua kuwa ni Jiwe na Mwamba kweri kweri!Jiwe gani hachafuki?. Huyu mkuu wa watu wasiojulikana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama unajifanya hujui, kiukweli unamjua na unamjua kuwa ni Jiwe na Mwamba kweri kweri!Jiwe gani hachafuki?. Huyu mkuu wa watu wasiojulikana.
Systemic failureLogical non sequitur.
Watanzania wengi huona lawama hata pale ambapo hapana lawama.
Ndivyo hivyo mtu anaambiwa hapa pananuka mavi, anaona kalaumiwa kwamba yeye mchafu.
Wakati inawezekana yeye hana lawama kwa sababu ile harufu kashaizoea na hajui kwamba ipo.
Mnajaza ujinga tuu , CDM ni Chama au Kikundi Cha wahuni tu.Anzisha chama chako stupid
Aahh Kumbe unaelewa Kuna Mungu? Basi ni Mungu aliyeamua JPM kua na Rais, na kulipitisha Taifa katika kipindi kigumu ambacho Dunia yote imebaki inakoswa Jibu, huyu Mwamba aliwezaje.Kwanini nisiamini?. Mungu tu ndio mwenye mamlaka ya kuzuia CHADEMA kuchukua nchi.
Ni mjinga tu kama wewe anayeweza kuamini ujinga wako,Jiwe alisimama yeye kama yeye na roho yake ya kihutu. Usijifiche kwenye chaka la chama.
Kama chama kinahusika inakuwaje hivi sasa mambo ni shwari, kwani ccm imekufa?
Mamaako bora angetoa hiyo mimba yako,amezaa uchafuTakataka ni Mama yako !!.
Mlizoea Maisha ya kuunga unga na ujanja ujanja na Undugu mwingi ,JPM akapiga Pini.
Mkahangaika miaka mitano , mirija yote imezibwa.
Mlivyo wapuuzi , Huduma nyingi zakijamii mnazifurahia Sasa ambazo ni JPM ndio kaziacha.
Uchaguzi ukiisha na shughuli za kisiasa ,mikutano ,maandamo yasikua na Msingi nayo huisha inabaki kazi ya kujenga nchi.Wewe chawa wa Magufuli utaona zuri la Upinzani. Magufuli ameingia madarakani 2015, kazuia Upinzani usifanye siasa kwa miaka saba. Ni juzi hapa ndipo Upinzani umeruhusiwa kufanya siasa. Ulitakaje? Uchaguzi wameibiwa, Viongozi wao wanashambuliwa na riasasi, wengine kuuawa, ulitakaje? Tuache unafiki wa kijinga wa kuongea vitu tusivyovijua.
Yaan sijui lini ujinga utawaisha Watanzania inasikitisha sanaWatanzania ni wajinga sana ,wengi ni wajinga .
Kama Kuna watu ilipaswa waadhibiwe vya kutosha ni Hawa UPINZANI UCHWARA.
Machawa kazini usishangae.Lema amewatukana vijana Waliojiajiri kwa kuwaambia wanafanya kazi za laana, hii suala limeacha simanzi kwa vijana wengi sana.
Jana nilikua Arusha nimezunguka sehemu mbalimbali kuona wamepokeaje kauli hii yenye dharau kubwa sana. Hakika walio wengi wanajuta kwa Nini walienda Kumpokea Lema.
Serikali inapambana usiku na mchana ili vijana wapate ajira na wajiajiri alafu leo lema anakuja kuwatukana?
Lema anapaswa kuomba radhi kwa kauli hii. Yeye kwa kuwa anakula na kulala bure kule canada basi anataka watu wote waishi hivyo kitu ambacho hakiwezekani. Imeandikwa kwenye vitabu takatifu kuwa mwanaume atakula kwa jasho, wewe inakuaje unakula bure alafu unaleta dharau kwa wanaokula kwa jasho?
Lema anapaswa kuomba radhi mara moja kwa kauli hii.
Kwa kosa gani ?....hao waliotawala miaka 60 hawana kosa ?Kama Kuna watu ilipaswa waadhibiwe vya kutosha ni Hawa UPINZANI UCHWARA.
Magufuli blood suckerHv kweli umeishi Canada miaka yote hiyo, Leo unarudi bongo baada ya kazi uliyopata huko ya mkataba kuisha na sasa huna kazi ya kufanya unaitisha mkutano. Unasumbua watu wenye akili zao waache kusaka noti wakasomeshe watoto wao, unatumia masaa 2 kulalamika kuwa ulitaka kuuawa.
Wewe una impact gan had wakuue? Umeona huna agenda ya kuwaaambia wananchi zaidi ya kulalamika kuwa ulitaka kuuawa ili wananchi wakuonee huruma, siasa za kijinga kabisa.
Haya sasa umerudi fanya siasa kaka lema.
Kwa hiyo CHADEMA wanapomshambulia JPM wanapata faida ganiTukubali JPM alitumia dola kupambana na CHADEMA, bila kujua akifa CHADEMA watamshughulikia.
Hao hao hata Jpm alikuwa anapendwa na wajingaMnajaza ujinga tuu , CDM ni Chama au Kikundi Cha wahuni tu.
Shukuruni kwamba, Kwa Sasa Kuna idadi kubwa ya Watanzania wenye kufurahia mambo ya hovyooo na hao ndio mtaji wenu.
Kwa Mwenye Akili Timamu, asiye na janja janja, muadilifu, mzalendo , lazima atakiri "JPM" ni Bora .Hao hao hata Jpm alikuwa anapendwa na wajinga
Mjinga Mmoja wee !! Mlizoea vya kunyonga .Mamaako bora angetoa hiyo mimba yako,amezaa uchafu
Mamaako ni kubwa la matakataka na kazaa takataka
Fikra za Samia ni 4 Rs. Na kwakuwa umesema wanachama huasooti fikra za mwenyekiti basi tarajia amani na upendo kutamalakikWA HIYO cHAMA KILISHINDWA KUMSIMAMIA MWAKILISHI WAKE?..
Je wakati jiwe kazuia mikutano ya kisiasa , chama kilimsapoti au kumkataa...
Msichoelewa ni kuwa dhana ya Zidumu fikra za mwenyekiti ipo hai ndani ya CCM
Jiwe alikuwa kichaa, alipaswa kuwa Milembe....by Anthony DialloNi mjinga tu kama wewe anayeweza kuamini ujinga wako,