Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Systemic failure
Afu mnakuja kulaumu watoto wa watu fighting for their lives js to survive

Amefanya nini kubadili hilo?
Mpaka sasa unapata ugumu kuelewa kuwa si lawama.

Hata baada ya mimi kukueleza kwamba si lawama.

Watanzania wengi mnaweza kuwa mnaongea kitu kimoja, halafu hamuelewani.
 
Hotuba ndefu inaharibu! Ina maana walokupokea na kujaza mkutano wamelaaniwa?
Waombe, radhi upesi

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Mpaka sasa unapata ugumu kuelewa kuwa si lawama.

Hata baada ya mimi kukueleza kwamba si lawama.

Watanzania wengi mnaweza kuwa mnaongea kitu kimoja, halafu hamuelewani.
Mzee wa logical non sequitur😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Wa tz wengi mnaongelea kitu kimoja lakini bado hamuelewani 😂😂😂🤣🤣🤣
 
Haki ya mungu, Nina uhakika hii kauli ingetoka kwa kijani Cha mgomba mtandaoni kungejaa matusi na spana za kutosha ,Kuna watu wamelazimika tu kuinga mkono kauli hii lakini wangekuja na maoni tofauti kama asingekuwa wa kwao.

Source: Trust me bro.
 
Enzi za Julias nchi ilikuwa na viwanda e.g Tanganyika Packers, UFI, Kiuta,print pack etc kulikuwa hamna kijana anaendesha Bodaboda,sasa tuna laana kweli
 
Bashite akiingia kwenye mgahawa anapepesa macho Kama chizi,naukimkazia macho tu anakusalimia kwa heshima kubwa. NIMESHUHUDIA MIMI MWENYEWE KWA MACHO YANGU MWANZA. Mara ya Kwanza ilikuwa kamanga hospital na mara ya pili lakailo hotel.
 
Daaah! Aaaaaiiiseee 😲. Mbona kama sielewi
 
Na Kinana ni makamu Mwenyekiti,Nape na Makamba ni Mawaziri kwa kukazia kufulushwa Medad Kalemani kawekwa Makamba
 
"Nilimpigia Simu Rais Mstaafu Kikwete na kumwambia nataka kurudi Tanzania, nae (Kikwete) akaniuliza nipo na nani na nataka kurudi lini, nikamjibu, nae (Kikwete) akaniambia nisubiri waweke mambo sawa na nitarejea tu."

Akina GENTAMYCINE kutwa tena kwa kujiamini na kuwa na uhakika kuwa Mstaafu Kikwete ana nguvu katika Utawala wa Rais Samia na Rais Samia hapinduki (hana kauli) kwa Kikwete na kwamba Kikwete bado ni Rais (japo kivuli) huwa mnakataa na kubisha.

Rais ni Samia kwanini wewe umpigie simu Rais Mstaafu Kikwete? Kama Lema kwa kusema haya unadhani umempaisha Kikwete basi ndiyo umeharibu zaidi na kututhibitishia kuwa Tanzania ya sasa Kikwete ndiyo mwenye maamuzi ya Mwisho na wengine ni Ceremonial Presidents tu.
 
Rubish propaganda
 
JK Hata furahia
 
Unajua hata magufuli kuna watu wasingeweza kumtokea moja kwa moja mpaka wapotie kwa wazee fulani fulani? Hata uwe dictator wa hatari watakuwepo wazee wachache ambao wakikuambia jambo unawasikiliza.

Na hiyo haimaanishi hao wazee wapo juu yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…