Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Kwani katiba inasemaje kuhusu ilo? Kiongozi
 
Bado zipo mkuu . Mm nimeingia Instagram baada ya kuona uzi wako nimeziona.

 
Yani Lema anapokelewa kifalme Arusha Sabaya yuko Gerezani?

Maisha yanaenda kasi sana tutende wema jamani maisha yetu ni Mafupi.

Hongera sana Rais Samia kwa kutufundisha kwa Vitendo ubinadamu na upendo.

Maisha yako yatakuwa ya amani sana baada ya kumaliza kipindi chako.
 
Acha tuu Yani hii Dunia Kweli Mungu hanywi uji!?? Miaka kadhaa iliyopita
Nani alijua Sabaya atakuwa jela!?
Nani alijua Makonda atajificha!?
Nani alijua musiba atapotea!?
Nani alijua bwana yule hatakuwepo!?
Nani alijua lisu atarudi nyumbani kwao ( Tz)
Ana alijua doto James atakoka hazina?
Nani alijua chato haitakuwa mkoa tena!?
Aisee heshimini watu sponsor hufa!!!
 
Hv kweli umeishi Canada miaka yote hiyo, Leo unarudi bongo baada ya kazi uliyopata huko ya mkataba kuisha na sasa huna kazi ya kufanya unaitisha mkutano. Unasumbua watu wenye akili zao waache kusaka noti wakasomeshe watoto wao, unatumia masaa 2 kulalamika kuwa ulitaka kuuawa.

Wewe una impact gan had wakuue? Umeona huna agenda ya kuwaaambia wananchi zaidi ya kulalamika kuwa ulitaka kuuawa ili wananchi wakuonee huruma, siasa za kijinga kabisa.

Haya sasa umerudi fanya siasa kaka lema.
 
Nani alijua Lugemalila atatoka jela?
Nani alijua ATCL inaendeshwa kwa hasara?
 
*Nani alijua Happi atakuwa analima nyanya muda huu?

*Nani alijua Polepole angekuwa katupwa Malawi?

*Nani alijua Dr. Bashiru angekuwa mbunge wa huruma ya rais badala ya Katibu mkuu kiongozi?

*Nani alijua Ndugai angekuwa kama mama wa nyumbani ?

*Nani alijua Mungu wa sukuma gang angekuwa anasutwa na kuzodolewa na kila matanzania?
 
WAkati wa Mfalme Sauli watu walisema hivi, Saul aliua makumi elfu ila Daudi kaua Mamia elfu. Sauli alichukia sana
 
Dunii hii tutembee pole pole. Inapita
 
Sabaya ni mfirwa mwanawane

Huko gerezani wahuni wana mpiga mtungo ninavyosikia

Na pia anajinyea sana tu 😶😑
 
Hii bwana inatafakarisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…