Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

We ndugai ana hela ya kiinua mgongo ohooo usidhani ni njaa njaa huyo na ma v8 yake
 
Cheo ni dhamana. Wema unalipa sana.
Yuko wapi Ali Hapi, Makonda? Maisha hayaitaji ubabe wala roho mbaya.
 
Na wengine ndio kisa cha kutokua na imani na samia. Kumtema kijana mzalendo na mwanamapinduzi sabaya na kumfunguliwa mashitaka feki huku akimuachia gaidi mbowe.
 
Na wengine ndio kisa cha kutokua na imani na samia. Kumtema kijana mzalendo na mwanamapinduzi sabaya na kumfunguliwa mashitaka feki huku akimuachia gaidi mbowe.
Tangu lini ukamatwe kwa kesi ya ugaidi halafu uachiwe?
Unajua nini maana ya ugaidi? Sabaya ni jambazi ndiyo maana bado anasota gerezani.
Watu wanamtegemea Mungu, yeye anamtegemea Magufuli. Atakoma
 
Kuna mafekeche fekeche yamefanyika kwenye social media kuondoa au kuzuia habari za Lema Arusha zisitrend Kwa wingi kama ilivyotokea mcchana wakati anazingia...
Ingia Twitter video utazikuta kasomba kijiji,ccm wananchi wamewachoka kama sio sisi kizazi kija kitawatoa kwa nguvu na aibu
 
Subiri walioko Msibani Chato ambao hawajashusha Tanga waje uone KAZI

Sang'udi
 
Hv kweli umeishi Canada miaka yote hiyo, Leo unarudi bongo baada ya kazi uliyopata huko ya mkataba kuisha na sasa huna kazi ya kufanya unaitisha mkutano...
Huyo anayedaiwa alikua mwizi wa magari atakua na sababu gani zaidi ya kuleta uongo mtupu. Eti alitaka kuwawa na nani.

Kwanza hakua tishio lolote kisiasa kwa serikali ya ccm. Na tunamshukuru zitto kwa kutueleza ukweli. Vibaraka hawa walipewa offer na mabeberu wakimbilie nje kama wakimbizi ili kutumika dhidi ya nchi yao.

Badala ya kuruhusiwa kupatiwa makaribisho ya kupanga walitakiwa kukamatwa kwa usaliti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…