Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

KATIBU MKUU CCM akiwa ziarani SINGIDA Amesema Wote wenye DEGREE na hawana AJIRA waende VETA Vipi hapo unasemaje AMEWASIFU?
Katibu mkuu wa CCM utamfananisha na huyo mvaa baibui?? Mnakubali vipi chadema kuwa na kiongozi mwanaume anayevaa baibui?
 
Lema anazungumza ukweli kwenye jamii ambayo ukweli huo ni dhihaka na kejeli. Je ana suluhisho la kweli kwa anaosema wako kwenye shughuli za kimasikini? Ukweli wa Lema ndio mtazamo wa halisi wa watu wote wenye madaraka, utajiri au vipato vya kuridhisha, lakini uhalisia ni kinyume chake kabisa.
 
Amekuja na staili tofauti na ya Lissu
Huyu hamtukani Marehemu direct bali anapiga aliokuwa anawatetea kila siku na kuwasema kuwa hawa ndio wapiga kura wangu


Lema, waache kama inakuuma waseme na waliokuwa wanapiga deki barabara kuwa nao walikuwa matahira
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kaibuka kweli safari hii....ila hiyo Kaz inasomesha kabisa
Ndio maana nakupenda to yeye wangu, huwa unasemaga ukweli tu.

Love u my baby, I love you with all my heart
 
Urafiki wa Lemae, Nanaki na Mzee yule, lazima uzae kauli za namna hii.

Mwaka 2023 mengi yaliyojificha yatawekwa wazi.
 
Mimi sio mpenzi wa kusimamia side Moja pekee unatakiwa uwe na vielelezo vya wazi wakuonesha hao wote wameuliwa na utawala wa awamu ya tano kuliko kuleta masimulizi
 
Uyu ni wakupigwa Shaba
 
watu wanarud kwa hisani ya bi mkubwa watatuambia nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…