Mkuu AFRIKA ina laana ya milele na ndiyo maana hata sisi tumefanya bodaboda kuwa sehemu ya AjiraKatika laana zote umeona uchague laana ya boda boda?
Kila mtu anapambana kivyake mifumo halisi ya kuwezesha kufanya biashara imedumaa, (Business Enabling Environments), BEEHahahahah nilimwambia bibie hio biashara ya kufanya vikoba kipindi hajapata kazi ya maana nikamwambia siitaki!
Alikuwa ananisumbua sana na hayo marejesho. Maana mostly alikuwa hana hela. Nikamwambia iwe mwanzo na mwisho
Basi sawaMimi sio mpenzi wa kusimamia side Moja pekee unatakiwa uwe na vielelezo vya wazi wakuonesha hao wote wameuliwa na utawala wa awamu ya tano kuliko kuleta masimulizi
Halafu wanawasema watu buku wakigombania nafasi 3 kwenye taasisiKila mtu anapambana kivyake mifumo halisi ya kuwezesha kufanya biashara imedumaa, (Business Enabling Environments), BEE
Duu umenikumbusha kuhusu tozo walitwambia kuanzia shiringi 50 hadi elfu thelathini hakuna tozo na hawakurudi tena tena kutuomba msamaha kwamba tozo zipo na jamii ipo kimya, (Silence society)Halafu wanawasema watu buku wakigombania nafasi 3 kwenye taasisi
vyama vifutwe vinatuchelewesha sana.
Watukane mfumo wenu wa Elimu, unaomfanya mtoto anakariri tuHizi kauli za kisomi na zilizofanyiwa tafiti sana za Chadema na viongozi wake zimesaidia sana ma mbumbumbu mnaibuka Kwa Kasi mkidhani mnawamaliza kina Lema kumbe ndio mnawapa nafasi waeleweke viziri zaidi.
Nabii achutame 🤣🤣🤣Lema mara zote wanasema ukiwa na hasira sana usiongee lolote .lakini pia ukiwa na furaha jizuie usiongee chochote! Hiyo ndio ilimtokea lema akiwa jukwaani ,kelele za washangiliaji zikamwondolea hekima zikamletea kichaa akajikuta anaanza kulaumu hata watu ambao sio sehemu ya ajenda ya mkutano!! Mfano anamwambia mchungaji na nabii geordavie kwamba alikosea kuwasaidia wananchi badala yake angekarabati kanisa lake ! Hiyo haikuwa na mantiki yoyote kwenye hotuba yake !! Pili anadai biashara ya boda boda ni laana ! Anasahau Ile biashara ni kama biashara zingine !! Anataka kutuambia wanaoagiza pikipiki nje waache kuziagiza kwa kuwa ni laana! Anataka kusema maduka ya pikipiki kariakoo na nchi nzima yafungwe kwa sababu ni laana . Labda alitaka kusema makampuni yapikipiki yaache kuiuzia Tanzania pikipiki kwa kuwa ni laana ?? Watanzania wangapi wanaendesha maisha Yao kwa kutegemea pikipki na bajaji ! Ni Kodi kiasi Gani serikali inapata kwa biashara ya pikipiiki. Lema hotuba Yako imekuondolea heshima mtu mzima huchutama waombe radhi bodaboda nchi nzima maana umewatukana!!!
Fikiria Kwa mapana bro,wewe hapo ulipo unaweza kwenda kanisani,au msikitini kutoa sadaka ya shukrani kijana wako akitoka chuo kikuu na kwenda kuendesha pili piki kama ajira?Lema mara zote wanasema ukiwa na hasira sana usiongee lolote .lakini pia ukiwa na furaha jizuie usiongee chochote! Hiyo ndio ilimtokea lema akiwa jukwaani ,kelele za washangiliaji zikamwondolea hekima zikamletea kichaa akajikuta anaanza kulaumu hata watu ambao sio sehemu ya ajenda ya mkutano!! Mfano anamwambia mchungaji na nabii geordavie kwamba alikosea kuwasaidia wananchi badala yake angekarabati kanisa lake ! Hiyo haikuwa na mantiki yoyote kwenye hotuba yake !! Pili anadai biashara ya boda boda ni laana ! Anasahau Ile biashara ni kama biashara zingine !! Anataka kutuambia wanaoagiza pikipiki nje waache kuziagiza kwa kuwa ni laana! Anataka kusema maduka ya pikipiki kariakoo na nchi nzima yafungwe kwa sababu ni laana . Labda alitaka kusema makampuni yapikipiki yaache kuiuzia Tanzania pikipiki kwa kuwa ni laana ?? Watanzania wangapi wanaendesha maisha Yao kwa kutegemea pikipki na bajaji ! Ni Kodi kiasi Gani serikali inapata kwa biashara ya pikipiiki. Lema hotuba Yako imekuondolea heshima mtu mzima huchutama waombe radhi bodaboda nchi nzima maana umewatukana!!!
Kweli kabisaLema mara zote wanasema ukiwa na hasira sana usiongee lolote .lakini pia ukiwa na furaha jizuie usiongee chochote! Hiyo ndio ilimtokea lema akiwa jukwaani ,kelele za washangiliaji zikamwondolea hekima zikamletea kichaa akajikuta anaanza kulaumu hata watu ambao sio sehemu ya ajenda ya mkutano!! Mfano anamwambia mchungaji na nabii geordavie kwamba alikosea kuwasaidia wananchi badala yake angekarabati kanisa lake ! Hiyo haikuwa na mantiki yoyote kwenye hotuba yake !! Pili anadai biashara ya boda boda ni laana ! Anasahau Ile biashara ni kama biashara zingine !! Anataka kutuambia wanaoagiza pikipiki nje waache kuziagiza kwa kuwa ni laana! Anataka kusema maduka ya pikipiki kariakoo na nchi nzima yafungwe kwa sababu ni laana . Labda alitaka kusema makampuni yapikipiki yaache kuiuzia Tanzania pikipiki kwa kuwa ni laana ?? Watanzania wangapi wanaendesha maisha Yao kwa kutegemea pikipki na bajaji ! Ni Kodi kiasi Gani serikali inapata kwa biashara ya pikipiiki. Lema hotuba Yako imekuondolea heshima mtu mzima huchutama waombe radhi bodaboda nchi nzima maana umewatukana!!!
wee unahuja gani ya maana qum.....a..weeeHuna hoja, funga domo lako tu
Kabla ya kufikia uchumi waliopo USA, UK, SA: kuna watu alifanya kazi mbaya na ngumu kuliko kuendesha Bodaboda usifikiri kazi zilikuwa za viwandani tu na usifikiri viwanda vilidondoka kutoka mbinguni huko tu! Ndugu yangu - mwanzo watu alipigwa, waliuwawa, walidhalilishwa utu wao! Ndipo wakapata utajiri. Kashi Kashi ya Magufuli - hapa kazi tu, mmelalamika sana. Nidhamu ya kazi imewatoa jasho. - hamtaki kusikia hata jina lake! Soma historia ya USA na UK kuanzia miaka ya nyuma. Watu wameuwawa na kudhalilishwa! Africa ya Kusini ni mpaka leo. Kibao cha Magufuli ili mfanye kazi hamkukitaka ila mnataka mlale - mkiamka Tanzania kuwe kama USA, CANADA, UK, DUBAI, SA!Fikiria Kwa mapana bro,wewe hapo ulipo unaweza kwenda kanisani,au msikitini kutoa sadaka ya shukrani kijana wako akitoka chuo kikuu na kwenda kuendesha pili piki kama ajira?
Matumizi ya piki piki kwa mtu binafsi sio shida,ila kwa vijana wa bodaboda ni kimbilio kwa vile wamekosa kazi za maaana.kungekuwa na viwnda hakuna kijana angeenda huko ushenzini,
Dubai,SA,USA,UK Kuna bodaboda?huko vijana wanafulsa hawafanyi huocupuuzi,huku kwetu ccm imeshindwa kial kitu,sasa vijana ama waibe,au waendeshe boda.
Taja mtoto wa Waziri au mbunge ambaye ni bodabodaKama ni kazi ya Laana mbona mnawakodi kwny misafara ya shughuli zenu za kisiasa?
mlivyokuwa mazezeta wa kisiasa badala ya kumkana ili ionekane aliropoka tu au sio msimamo wa Chama nyie mnashupaza shingo kutetea ujinga
Kwenu Iramba mnaongoza kwa ufaraka na mbunge ni Waziri wa fedha, kwahiyo miaka yote Mwigulu hafanyi kazi?S
Sasa kama hakusanyi kodi alitafuta nini pale arusha ili kupotezea watu mda kwa vipindi alipokuwa mbunge?
Si angejiudhuru ili awa achie wakusanya kodi wawatumikie.
Joe devi anatoa milioni mia twambie huwa anakudanya kodi wapi?
Lema ni mbinafsi na ndo maana kaacha familia huko akiona hapa tz sio sehemu ya kutunza familia yake.