Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Katika maelezo yote ni kwamba Lema anaulalamikia Umaskini ulioletwa na CCM lakini anaogopa kuitaja CCM na kujificha kwenye Kichaka cha Magufuli

Ni kweli nchi yetu ina umaskini na Ndio sababu Shujaa Magufuli alipigana hadi mwisho wa uhai wake ili aongoze ukombozi

Lema kaikimbizia familia yake Canada kwa sababu ya Umaskini na Ndio sababu anasema haitarudi

Sasa Chadema itueleze itatukwamuaje katika huu umaskini Bila ya wao Kulamba Asali

Mungu awabariki
 
Kabla ya kufikia uchumi waliopo USA, UK, SA: kuna watu alifanya kazi mbaya na ngumu kuliko kuendesha Bodaboda usifikiri kazi zilikuwa za viwandani tu na usifikiri viwanda vilidondoka kutoka mbinguni huko tu! Ndugu yangu - mwanzo watu alipigwa, waliuwawa, walidhalilishwa utu wao! Ndipo wakapata utajiri. Kashi Kashi ya Magufuli - hapa kazi tu, mmelalamika sana. Nidhamu ya kazi imewatoa jasho. - hamtaki kusikia hata jina lake! Soma historia ya USA na UK kuanzia miaka ya nyuma. Watu wameuwawa na kudhalilishwa! Africa ya Kusini ni mpaka leo. Kibao cha Magufuli ili mfanye kazi hamkukitaka ila mnataka mlale - mkiamka Tanzania kuwe kama USA, CANADA, UK, DUBAI, SA!
Tanzania haiwezi kuwa labda baada ya miaka mia mingine
 
Fikiria Kwa mapana bro,wewe hapo ulipo unaweza kwenda kanisani,au msikitini kutoa sadaka ya shukrani kijana wako akitoka chuo kikuu na kwenda kuendesha pili piki kama ajira?
Matumizi ya piki piki kwa mtu binafsi sio shida,ila kwa vijana wa bodaboda ni kimbilio kwa vile wamekosa kazi za maaana.kungekuwa na viwnda hakuna kijana angeenda huko ushenzini,
Dubai,SA,USA,UK Kuna bodaboda?huko vijana wanafulsa hawafanyi huocupuuzi,huku kwetu ccm imeshindwa kial kitu,sasa vijana ama waibe,au waendeshe boda.
Usiitazame Tanzania kwa filling za ulaya utaonekana unaendeshwa na ganja Tanzania Bado hatuwezi kufanya mambo kwa kulinganisha na Dubai
 
Kabla ya kufikia uchumi waliopo USA, UK, SA: kuna watu alifanya kazi mbaya na ngumu kuliko kuendesha Bodaboda usifikiri kazi zilikuwa za viwandani tu na usifikiri viwanda vilidondoka kutoka mbinguni huko tu! Ndugu yangu - mwanzo watu alipigwa, waliuwawa, walidhalilishwa utu wao! Ndipo wakapata utajiri. Kashi Kashi ya Magufuli - hapa kazi tu, mmelalamika sana. Nidhamu ya kazi imewatoa jasho. - hamtaki kusikia hata jina lake! Soma historia ya USA na UK kuanzia miaka ya nyuma. Watu wameuwawa na kudhalilishwa! Africa ya Kusini ni mpaka leo. Kibao cha Magufuli ili mfanye kazi hamkukitaka ila mnataka mlale - mkiamka Tanzania kuwe kama USA, CANADA, UK, DUBAI, SA!
Inawezekana unasema kweli lkn huenda wenzetu huko walikuwa wanafanya hizo kazi za ovyo lkn walikuwa na mikakati yakujiondoa walipokuwa na Sasa wamefanikiwa labda uniambie kama ccm inahuo mkakati/mpango wakuvuka hapo

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Katika maelezo yote ni kwamba Lema anaulalamikia Umaskini ulioletwa na CCM lakini anaogopa kuitaja CCM na kujificha kwenye Kichaka cha Magufuli

Ni kweli nchi yetu ina umaskini na Ndio sababu Shujaa Magufuli alipigana hadi mwisho wa uhai wake ili aongoze ukombozi

Lema kaikimbizia familia yake Canada kwa sababu ya Umaskini na Ndio sababu anasema haitarudi

Sasa Chadema itueleze itatukwamuaje katika huu umaskini Bila ya wao Kulamba Asali

Mingi awabariki
Yaani huyo marehemu kuiba Hela za watu ndio alikuwa anapambana na umaskini?

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Ni mjinga tu ndio ataona Lema amekosea..
kwa nini kuna western countries na third world countries?
Western countries sababu kodi za wananchi zitatumika ipasavyo. Miundo mbinu ni kipaumbele. Usafiri wa public ni wa uhakika.. sasa huku kwetu usafiri wa bodaboda ndio tunajivuninia.. Hakuna ajira kwa sababu ya uzembe wa viongozi…

Yes bodaboda ni laana.. Watawala wajifambue waache matumizi mabovu ya pesa za wenyewe….

Ajira ndio wimbo Mkuu kwa vijana sio bodaboda…

Nchi ina resources za kutosha lakini hakuna ajira kutwa kukopa…
Watawala hawasikii
Kuna nadini kuna vyakula kuna vyanzo vya maji kuna ardhi nzuri kuna vivutio vya wataliii lakini ni maskini wa kutupwa…

Lema yupo sahihi … read between the lines utamwelewa. Kaza ubongo uelewe anamaanisha nini.

Lema kanyaga twende.. Ukweli mchungu
 
Ni mjinga tu ndio ataona Lema amekosea..
kwa nini kuna western countries na third world countries?
Western countries sababu kodi za wananchi zitatumika ipasavyo. Miundo mbinu ni kipaumbele. Usafiri wa public ni wa uhakika.. sasa huku kwetu usafiri wa bodaboda ndio tunajivuninia.. Hakuna ajira kwa sababu ya uzembe wa viongozi…

Yes bodaboda ni laana.. Watawala wajifambue waache matumizi mabovu ya pesa za wenyewe….

Ajira ndio wimbo Mkuu kwa vijana sio bodaboda…

Nchi ina resources za kutosha lakini hakuna ajira kutwa kukopa…
Watawala hawasikii
Kuna nadini kuna vyakula kuna vyanzo vya maji kuna ardhi nzuri kuna vivutio vya wataliii lakini ni maskini wa kutupwa…

Lema yupo sahihi … read between the lines utamwelewa. Kaza ubongo uelewe anamaanisha nini.

Lema kanyaga twende.. Ukweli mchungu
Hapana hapana nyinyi wenyewe chadema Kila mnakoenda mnategemea hao hao boda boda huwezi kuwaita bodaboda ni laana sio kweli ,,yeye mwenyewe lema hapo kabla alikuwa anafanya kazi Gani ? Kazi za viwandani zinamshahara wa shilingi ngapi? Unewahi kujua Hilo? Mm nawajua watu wa bodaboda ambao Leo wamejenga nyumba zao na wanamaisha pia TU !! Unataka serikali iajiri watu milioni 60? Huko america Kuna omba omba na wengine wanalala kwenye makorido lakini Kuna madereva bodaboda kabisa kwenye majimbo yote ya marekani usitumie siasa kutweza utu wawatu!
 
Lema mara zote wanasema ukiwa na hasira sana usiongee lolote .lakini pia ukiwa na furaha jizuie usiongee chochote! Hiyo ndio ilimtokea lema akiwa jukwaani ,kelele za washangiliaji zikamwondolea hekima zikamletea kichaa akajikuta anaanza kulaumu hata watu ambao sio sehemu ya ajenda ya mkutano!! Mfano anamwambia mchungaji na nabii geordavie kwamba alikosea kuwasaidia wananchi badala yake angekarabati kanisa lake ! Hiyo haikuwa na mantiki yoyote kwenye hotuba yake !! Pili anadai biashara ya boda boda ni laana ! Anasahau Ile biashara ni kama biashara zingine !! Anataka kutuambia wanaoagiza pikipiki nje waache kuziagiza kwa kuwa ni laana! Anataka kusema maduka ya pikipiki kariakoo na nchi nzima yafungwe kwa sababu ni laana . Labda alitaka kusema makampuni yapikipiki yaache kuiuzia Tanzania pikipiki kwa kuwa ni laana ?? Watanzania wangapi wanaendesha maisha Yao kwa kutegemea pikipki na bajaji ! Ni Kodi kiasi Gani serikali inapata kwa biashara ya pikipiiki. Lema hotuba Yako imekuondolea heshima mtu mzima huchutama waombe radhi bodaboda nchi nzima maana umewatukana!!!
Siasa za chadema always wamezoea kutukana serikali lakini kwakua ameona Rais Samia Suluhu ameikomboa nchi amerejesha amani na democrasia pamoja na uhuru wa kuongea ameona hawezi kumtukana badala yake amehamia kutukana watanzania hakika ametuvunja moyoi sana
 
Katika maelezo yote ni kwamba Lema anaulalamikia Umaskini ulioletwa na CCM lakini anaogopa kuitaja CCM na kujificha kwenye Kichaka cha Magufuli

Ni kweli nchi yetu ina umaskini na Ndio sababu Shujaa Magufuli alipigana hadi mwisho wa uhai wake ili aongoze ukombozi

Lema kaikimbizia familia yake Canada kwa sababu ya Umaskini na Ndio sababu anasema haitarudi

Sasa Chadema itueleze itatukwamuaje katika huu umaskini Bila ya wao Kulamba Asali

Mungu awabariki
Hivi neno," NITAKUKOLIMBA" lilitokana na nini hasa!!!
 
Lema mara zote wanasema ukiwa na hasira sana usiongee lolote .lakini pia ukiwa na furaha jizuie usiongee chochote! Hiyo ndio ilimtokea lema akiwa jukwaani ,kelele za washangiliaji zikamwondolea hekima zikamletea kichaa akajikuta anaanza kulaumu hata watu ambao sio sehemu ya ajenda ya mkutano!! Mfano anamwambia mchungaji na nabii geordavie kwamba alikosea kuwasaidia wananchi badala yake angekarabati kanisa lake ! Hiyo haikuwa na mantiki yoyote kwenye hotuba yake !! Pili anadai biashara ya boda boda ni laana ! Anasahau Ile biashara ni kama biashara zingine !! Anataka kutuambia wanaoagiza pikipiki nje waache kuziagiza kwa kuwa ni laana! Anataka kusema maduka ya pikipiki kariakoo na nchi nzima yafungwe kwa sababu ni laana . Labda alitaka kusema makampuni yapikipiki yaache kuiuzia Tanzania pikipiki kwa kuwa ni laana ?? Watanzania wangapi wanaendesha maisha Yao kwa kutegemea pikipki na bajaji ! Ni Kodi kiasi Gani serikali inapata kwa biashara ya pikipiiki. Lema hotuba Yako imekuondolea heshima mtu mzima huchutama waombe radhi bodaboda nchi nzima maana umewatukana!!!
Kombora limetuwa kunako bravo Nabii

Mtaji wenu ni kuwafanya watu wawe maskini ....sasa imebumburuka
 
Back
Top Bottom