johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katika maelezo yote ni kwamba Lema anaulalamikia Umaskini ulioletwa na CCM lakini anaogopa kuitaja CCM na kujificha kwenye Kichaka cha Magufuli
Ni kweli nchi yetu ina umaskini na Ndio sababu Shujaa Magufuli alipigana hadi mwisho wa uhai wake ili aongoze ukombozi
Lema kaikimbizia familia yake Canada kwa sababu ya Umaskini na Ndio sababu anasema haitarudi
Sasa Chadema itueleze itatukwamuaje katika huu umaskini Bila ya wao Kulamba Asali
Mungu awabariki
Ni kweli nchi yetu ina umaskini na Ndio sababu Shujaa Magufuli alipigana hadi mwisho wa uhai wake ili aongoze ukombozi
Lema kaikimbizia familia yake Canada kwa sababu ya Umaskini na Ndio sababu anasema haitarudi
Sasa Chadema itueleze itatukwamuaje katika huu umaskini Bila ya wao Kulamba Asali
Mungu awabariki