MwakiIV
Member
- Aug 31, 2018
- 79
- 138
Kauli za Lema za Bodaboda ni kazi ya laana na Vicoba ni kudumisha umasikini ni kauli thabiti kwa watu wanaotaka kutibu tatizo permanently.
Tujiulize katika bodaboda 100 ni wangapi ufanya maisha bora kwa familia zao kama ambavyo tumeahidiwa kwenye kampeni za tangu 2010.
Kwa nini bodaboda huweI kukata bima kubwa, kwa maana endapo changamoto yoyote ikitokea itaweza kuku-cover?
Pia kwenye suala la VICOBA dhima kubwa ni kukopeshana na kudhaminiana. Endapo tungekuwa na uchumi mzuri basi mifumo yetu ya kifedha ingekuwa inafikika kirahisi, riba zingekuwa hata ni single digit.
Lakini kwa kuwa umasikini umekithiri nchini ndio sababu Mpesa inaonekana kama bank acvount, na vicoba vinarahisishwa kwani ndio njia pekee ya wao kula kirahisi.
Kuna wakati watawala wanaamua kuwapa uhuru, mkajihisi nyie ni pamoja nao ili msiwape shida kula keki ya taifa.
Tusimame kwenye kutatua matatizo kiujumla na tupate suluhu yenye kurithiwa na kizazi kijacho.
Tujiulize katika bodaboda 100 ni wangapi ufanya maisha bora kwa familia zao kama ambavyo tumeahidiwa kwenye kampeni za tangu 2010.
Kwa nini bodaboda huweI kukata bima kubwa, kwa maana endapo changamoto yoyote ikitokea itaweza kuku-cover?
Pia kwenye suala la VICOBA dhima kubwa ni kukopeshana na kudhaminiana. Endapo tungekuwa na uchumi mzuri basi mifumo yetu ya kifedha ingekuwa inafikika kirahisi, riba zingekuwa hata ni single digit.
Lakini kwa kuwa umasikini umekithiri nchini ndio sababu Mpesa inaonekana kama bank acvount, na vicoba vinarahisishwa kwani ndio njia pekee ya wao kula kirahisi.
Kuna wakati watawala wanaamua kuwapa uhuru, mkajihisi nyie ni pamoja nao ili msiwape shida kula keki ya taifa.
Tusimame kwenye kutatua matatizo kiujumla na tupate suluhu yenye kurithiwa na kizazi kijacho.