Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Paul walimnawa alipojifanya anapiga mashoga.
 
Andika taratibu ili ueleweke maana unaandika as if unakimbizwa au unaoga nje.
 
Unateseka ukiwa wapi?
 
Lile jitu lilikuwa katili eti si unaona lilivyomfanya Lissu?
 
Nakumbuka hekaheka za Lema kukamatwa na kusafirishwa usiku wa manane from Dodoma to Arusha usiku

Nakumbuka kauli ya Lema kwamba kuwa muoga haufanyi uepushe kifo, kufa kupo tu hata ukiiogopa kufa na Jasiri ataishi tu maana Mungu ndie anagawa maisha
 
Zito hata ndani ya chama chake haaminiki sembuse nje
 
Nimeona jana Lema walivyosimama kidete kuhakikisha utulivu unatamalaki pale KIA
Yaani utadhani jeshi la polisi sio lile la Miaka 3 iliyopita...ni kama tumeazima polisi kutoka ulaya kumbe ni akina mponjoli mwaburambo hawa hawa ...akina kingai pamoja na ukatiri wao wa kipindi Cha magufuri lkn kwa sasa ni kama sio wao
 
Nakumbuka hekaheka za Lema kukamatwa na kusafirishwa usiku wa manane from Dodoma to Arusha usiku

Nakumbuka kauli ya Lema kwamba kuwa muoga haufanyi uepushe kifo, kufa kupo tu hata ukiiogopa kufa na Jasiri ataishi tu maana Mungu ndie anagawa maisha
Mhe Lema ana maneno ya kinabii sana , na mengi yanatimia aliyoyanena
 
Nyie bodaboda mliokuwa mnajishaua kwenye msafara wa Lema, mmemsikia mtu mliekuwa mnamshobokea?

Bodaboda ni kazi ya laana.Mwenzenu kasharidhika na maisha ya Canada.

Endeleeni na ujinga wenu
Wewe kama sio gambo basi chawa wa gambo hacha wivu wa wake wenza lema ndiyo karudi tafuteni shughuri nyingine za kufanya
 
Mhe Lema ana maneno ya kinabii sana , na mengi yanatimia aliyoyanena
Hivi mtu akisema ampewa ndoto na Mungu, utajuaje? Hivyo wewe tii jina la Mungu ila ukimkamata naona hapo Mungu ataona hauheshimu jina lake wala hauna hofu na jina lake.
Mheshimiwa Lema angeitea Nabii rasmi
 
Hivi mtu akisema ampewa ndoto na Mungu, utajuaje? Hivyo wewe tii jina la Mungu ila ukimkamata naona hapo Mungu ataona hauheshimu jina lake wala hauna hofu na jina lake.
Mheshimiwa Lema angeitea Nabii rasmi
Na alimtabiria jiwe kifo , akaishia kuswekwa rumande miezi 4 .. after 2yrs likatimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…