Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Hapo vip!
Leo nimemsikiliza Lema akiwa kwenye mikutano ya chadema huko simanjiro.

Huyu jamaa,ni mtu anayeamini chochote anachokiongea yupo sahihi..ni ishira ya IQ ndogo.

Cha ajabu na kushangaza utaona wananchi,ambao ni watazania wenzetu wakishangilia kwa upuuzi anaongea jukwaani,apo utafahamu yakwamba watanzania wengi wanafikiria under average line (wengi hawana uwezo wa kureasons)ni wapokeaji kama washabiki wa simba na yanga...ndio mahali anapo patia loophole ya kudanganya.

Leo nimemsikia akiropoka huko simanjiro akisema Laizer pesa aliyo uzia Tanzanite ina thamani ya cheni ya Beyonce(cha ajabu hata biyonce hamjui Lema na Lema haja wahi kushika kiuno cha biyonce..sasa sijui thamani ya hiyo pete amepata wap?)..idiot and poorest Lema....hivi ajue thamani ya pesa ya Tanzania ipo chini kuliko dola ya marekani..aliyosababisha kushuka kwa thamani ni laizer?au yeye ameshindwa kutoa mchango chanya kwa serikali namna ya kupandisha shilingi..?

Ajue Laizer hajawahi kutegemea pesa za serikali na wazungu kama yeye anavyofanya,Lema anategemea mishahara,posho na kugikombabkomba kwa wazungu ndio aweze kubadilisha maisha.

Laizer ni mwekezaji,mjasiriamali na mfanya biashara anailipa serikali pesa za kumlipa Lema..kuwa na adabu Lema.

Lema ajui Levels na tafouti za hatua za kimaendeleo baina za mataifa..ndio maana anaweza kujenga hoja pasipo kujua taofauti ya nataifa katika ulimwengu huu,ana kuhukumu wa wekenzaji walio ekeza katika ulimwengu wa tatu wakati biyonce yupo kwenye taifa lililopo ulimwengu wa kwanza..tatizo la elimu

Laizer ni ukoo wa kitajiri toke enzi na enzi..(hawapendi pesi kama wachagga pesa ndio zinawapenda ndio maana kutoa msaada sio kitu kikubwa kwao)nasema haya kwasababu amekuwa akimuongelea Laizer kihuni wakati Laizer sio muhuni na hana haja na siasa zake za kimasikini.

Lema ni much know wa upumbavu,anasema Ole sendeka ni mshamba,tukumbuka yakwamba tokea hayati Magufuli alipo chukua hatua alipo

na mikakati ya kuhakikisha Tanzanite inanufaisha Tanzania alifanikiwa kwa kiwangi cha juu mpaka Tanzania ikatambulika kipindi cha Magufuli yakwamba ndio inchi ianayozalisha Tanzanite Dunia,wakati kabla ya Mugufuli Kenya ndio ilikuwa Taifa linatambulika kama mmiliki wa Tanzanite Duniani .Tukumbuke moja ya mikakati Magufulia aliochukua kufikia hapo ni pamoja na kuzungusha ukuta mererani...Lema tumtafsiri,ya kwamba baada ya ukuta deal zake chafu zimefeil..shame Lema.

Namuona Lema ni mtu anayeongea kwa hisia pasipi kushirikisha akili..wanxwaxke ndio wanaongea kwa hisia.

Pia ujue Olesendeka anatokea kwenye familia ya kitajiri tofauti na wewe,ngo'ombe unazomuambia akachunge theluthi zinatahamani kuliko mafanikio uliopata tokea ukiwa mbunge..kumbuka ulikuwa na maisha magumua sana kabla ya kuwa mbunge..shane Lema

Nakushauri uache siasa cheap kwasababu huwa zinayeyuka kama povu la sabuni
Unapenda kuendesha bodaboda ukiwa umekumbatiwa kwa nyuma na mtu mwenye nyege anayewahi guest kwenda kupiga shoo eti eeh?
 
Bodaboda ni mateja , msikilize vizuri.

 
Hapo vip!
Leo nimemsikiliza Lema akiwa kwenye mikutano ya chadema huko simanjiro.

Huyu jamaa,ni mtu anayeamini chochote anachokiongea yupo sahihi..ni ishira ya IQ ndogo.

Cha ajabu na kushangaza utaona wananchi,ambao ni watazania wenzetu wakishangilia kwa upuuzi anaongea jukwaani,apo utafahamu yakwamba watanzania wengi wanafikiria under average line (wengi hawana uwezo wa kureasons)ni wapokeaji kama washabiki wa simba na yanga...ndio mahali anapo patia loophole ya kudanganya.

Leo nimemsikia akiropoka huko simanjiro akisema Laizer pesa aliyo uzia Tanzanite ina thamani ya cheni ya Beyonce(cha ajabu hata biyonce hamjui Lema na Lema haja wahi kushika kiuno cha biyonce..sasa sijui thamani ya hiyo pete amepata wap? au alimvua Biyonce akenda kupima kwa sonara nini?)..idiot and poorest Lema....hivi ajue thamani ya pesa ya Tanzania ipo chini kuliko dola ya marekani..aliyosababisha kushuka kwa thamani ni laizer?au yeye ameshindwa kutoa mchango chanya kwa serikali namna ya kupandisha shilingi..?

Ajue Laizer hajawahi kutegemea pesa za serikali na wazungu kama yeye anavyofanya,Lema anategemea mishahara,posho na kugikombabkomba kwa wazungu ndio aweze kubadilisha maisha.

Laizer ni mwekezaji,mjasiriamali na mfanya biashara anailipa serikali pesa za kumlipa Lema..kuwa na adabu Lema.

Lema ajui Levels na tafouti za hatua za kimaendeleo baina za mataifa..ndio maana anaweza kujenga hoja pasipo kujua taofauti ya nataifa katika ulimwengu huu,ana kuhukumu wa wekenzaji walio ekeza katika ulimwengu wa tatu wakati biyonce yupo kwenye taifa lililopo ulimwengu wa kwanza..tatizo la elimu

Laizer ni ukoo wa kitajiri toke enzi na enzi..(hawapendi pesi kama wachagga pesa ndio zinawapenda ndio maana kutoa msaada sio kitu kikubwa kwao)nasema haya kwasababu amekuwa akimuongelea Laizer kihuni wakati Laizer sio muhuni na hana haja na siasa zake za kimasikini.

Lema ni much know wa upumbavu,anasema Ole sendeka ni mshamba,tukumbuka yakwamba tokea hayati Magufuli alipo chukua hatua alipo

na mikakati ya kuhakikisha Tanzanite inanufaisha Tanzania alifanikiwa kwa kiwangi cha juu mpaka Tanzania ikatambulika kipindi cha Magufuli yakwamba ndio inchi ianayozalisha Tanzanite Dunia,wakati kabla ya Mugufuli Kenya ndio ilikuwa Taifa linatambulika kama mmiliki wa Tanzanite Duniani .Tukumbuke moja ya mikakati Magufulia aliochukua kufikia hapo ni pamoja na kuzungusha ukuta mererani...Lema tumtafsiri,ya kwamba baada ya ukuta deal zake chafu zimefeil..shame Lema.

Namuona Lema ni mtu anayeongea kwa hisia pasipi kushirikisha akili..wanxwaxke ndio wanaongea kwa hisia.

Pia ujue Olesendeka anatokea kwenye familia ya kitajiri tofauti na wewe,ngo'ombe unazomuambia akachunge theluthi zinatahamani kuliko mafanikio uliopata tokea ukiwa mbunge..kumbuka ulikuwa na maisha magumua sana kabla ya kuwa mbunge..shane Lema

Nakushauri uache siasa cheap kwasababu huwa zinayeyuka kama povu la sabuni
LEMA toka arejee toka canada amekuja na mambo mapya ambayo ni
1: Watu ni washamba
2: Watu ni maskini
3: Boda boda ni Laana
4: Vikoba mke wangu hawezi shiriki
5: Ugali ni chakula cha Maskini
6: Mimi ni Mchagga
 
LEMA toka arejee toka canada amekuja na mambo mapya ambayo ni
1: Watu ni washamba
2: Watu ni maskini
3: Boda boda ni Laana
4: Vikoba mke wangu hawezi shiriki
5: Ugali ni chakula cha Maskini
6: Mimi ni Mchagga
Ngoja nicheke kidogo😀😀..Lema atabia kama watu wa mikoani waliofika dar miaka ya themanini..ndio anatuletea
 
Hapo vip!
Leo nimemsikiliza Lema akiwa kwenye mikutano ya chadema huko simanjiro.

Huyu jamaa,ni mtu anayeamini chochote anachokiongea yupo sahihi..ni ishira ya IQ ndogo.

Cha ajabu na kushangaza utaona wananchi,ambao ni watazania wenzetu wakishangilia kwa upuuzi anaongea jukwaani,apo utafahamu yakwamba watanzania wengi wanafikiria under average line (wengi hawana uwezo wa kureasons)ni wapokeaji kama washabiki wa simba na yanga...ndio mahali anapo patia loophole ya kudanganya.

Leo nimemsikia akiropoka huko simanjiro akisema Laizer pesa aliyo uzia Tanzanite ina thamani ya cheni ya Beyonce(cha ajabu hata biyonce hamjui Lema na Lema haja wahi kushika kiuno cha biyonce..sasa sijui thamani ya hiyo pete amepata wap? au alimvua Biyonce akenda kupima kwa sonara nini?)..idiot and poorest Lema....hivi ajue thamani ya pesa ya Tanzania ipo chini kuliko dola ya marekani..aliyosababisha kushuka kwa thamani ni laizer?au yeye ameshindwa kutoa mchango chanya kwa serikali namna ya kupandisha shilingi..?

Ajue Laizer hajawahi kutegemea pesa za serikali na wazungu kama yeye anavyofanya,Lema anategemea mishahara,posho na kugikombabkomba kwa wazungu ndio aweze kubadilisha maisha.

Laizer ni mwekezaji,mjasiriamali na mfanya biashara anailipa serikali pesa za kumlipa Lema..kuwa na adabu Lema.

Lema ajui Levels na tafouti za hatua za kimaendeleo baina za mataifa..ndio maana anaweza kujenga hoja pasipo kujua taofauti ya nataifa katika ulimwengu huu,ana kuhukumu wa wekenzaji walio ekeza katika ulimwengu wa tatu wakati biyonce yupo kwenye taifa lililopo ulimwengu wa kwanza..tatizo la elimu

Laizer ni ukoo wa kitajiri toke enzi na enzi..(hawapendi pesi kama wachagga pesa ndio zinawapenda ndio maana kutoa msaada sio kitu kikubwa kwao)nasema haya kwasababu amekuwa akimuongelea Laizer kihuni wakati Laizer sio muhuni na hana haja na siasa zake za kimasikini.

Lema ni much know wa upumbavu,anasema Ole sendeka ni mshamba,tukumbuka yakwamba tokea hayati Magufuli alipo chukua hatua alipo

na mikakati ya kuhakikisha Tanzanite inanufaisha Tanzania alifanikiwa kwa kiwangi cha juu mpaka Tanzania ikatambulika kipindi cha Magufuli yakwamba ndio inchi ianayozalisha Tanzanite Dunia,wakati kabla ya Mugufuli Kenya ndio ilikuwa Taifa linatambulika kama mmiliki wa Tanzanite Duniani .Tukumbuke moja ya mikakati Magufulia aliochukua kufikia hapo ni pamoja na kuzungusha ukuta mererani...Lema tumtafsiri,ya kwamba baada ya ukuta deal zake chafu zimefeil..shame Lema.

Namuona Lema ni mtu anayeongea kwa hisia pasipi kushirikisha akili..wanxwaxke ndio wanaongea kwa hisia.

Pia ujue Olesendeka anatokea kwenye familia ya kitajiri tofauti na wewe,ngo'ombe unazomuambia akachunge theluthi zinatahamani kuliko mafanikio uliopata tokea ukiwa mbunge..kumbuka ulikuwa na maisha magumua sana kabla ya kuwa mbunge..shane Lema

Nakushauri uache siasa cheap kwasababu huwa zinayeyuka kama povu la sabuni
Hoja yako ni ipi hapa, umeongea kwa kupanick vibaya sana, hata sentensi zako zimekuwa za kujichanganya.
 
Bodaboda ni mateja , msikilize vizuri.


Mods naomba umsiifute maana Lema kashambuliwa kwa kusema yaliyo kweli
Siyo wote kuna watu na heshima zao wanafanya kazi ya bodaboda kwa kufuata taratibu, kila kazi inawehu wake, hata maofisini kuna wehu vilevile, si unaona mtu badala ya kupasua kichwa kapasua mguu?? Ila hatuwez kugeneralize kua madaktari wote wehu atwngue kauli!!
 
Miaka 2 imepita Lema akiwa nje ya Tanzania. Yeye anaishi kule kwa jasho na kodi za wanaume wa Canada. Hawezi kuwa na akili nzuri hata kidogo. Kiukweli amekubali utumwa wa kisaikolojia. Na utumwa huu ni mbaya kuliko ule wa minyororo ambao babu zetu walifungwa na kuuzwa kupitia Bagamoyo hadi soko la Zanzibar.

Hivi inakuja akilini kuwafharau Bodaboda wanaotengeneza hela yao kwa jasho Lao wenyewe wakati yeye analishwa bure Canada?
 
Taarifa zilizopo humu jf lema ni muizi wa magari ila ni mh.mbunge

So Ana Past.

Jamaa Ni A R Chugga Mmoja Tu
 
Unapowashambulia Bodaboda na Vicoba kuna mambo ya maendeleo unayakwamisha

Ni vema Chadema wakaitumia Vizuri hii ruhusa iliyotolewa na Rais Samia ya vyama vya siasa kufanya mikutano

Mlale Unono!
 
Back
Top Bottom