Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Lema amewatukana vijana Waliojiajiri kwa kuwaambia wanafanya kazi za laana, hii suala limeacha simanzi kwa vijana wengi sana.

Jana nilikua Arusha nimezunguka sehemu mbalimbali kuona wamepokeaje kauli hii yenye dharau kubwa sana. Hakika walio wengi wanajuta kwa Nini walienda Kumpokea Lema.

Serikali inapambana usiku na mchana ili vijana wapate ajira na wajiajiri alafu leo lema anakuja kuwatukana?

Lema anapaswa kuomba radhi kwa kauli hii. Yeye kwa kuwa anakula na kulala bure kule canada basi anataka watu wote waishi hivyo kitu ambacho hakiwezekani. Imeandikwa kwenye vitabu takatifu kuwa mwanaume atakula kwa jasho, wewe inakuaje unakula bure alafu unaleta dharau kwa wanaokula kwa jasho?

Lema anapaswa kuomba radhi mara moja kwa kauli hii.
Wewe chawa, unaweza kuwa bodaboda? Kamnunulie mwanao ajiajiri Kama kweli unamaanisha! Kazi gani isiyo na ujuzi zaidi ya kuwanufaisha manufacturer huko India na China? Ccm Ina watu wajinga mno wasiotaka kuambiwa ukweli!
 
©Fedha za China
©Fedha za Seychelles
©Fedha zilizofichwa kwenye kampuni binafsi.
©Fedha Trilion 1.5 zilipohojiwa tu, unafahamu kilichotokea.

HAYO HAPO YATAKAPOTOLEWA MAELEZO SAHIHI NDIPO TUTAKAPOSEMA HAKIKA HUYU KIONGOZI ALIKUWA SAFI NA MZALENDO.

Unasikitisha sana....
 
©Fedha za China
©Fedha za Seychelles
©Fedha zilizofichwa kwenye kampuni binafsi.
©Fedha Trilion 1.5 zilipohojiwa tu, unafahamu kilichotokea.

HAYO HAPO YATAKAPOTOLEWA MAELEZO SAHIHI NDIPO TUTAKAPOSEMA HAKIKA HUYU KIONGOZI ALIKUWA SAFI NA MZALENDO.
Maelezo sahihi ilipaswa kuulizwa Serikali ya CCM pamoja na mwenyekiti wake, Kamati kuu yao, n.k

Namba moja yule walimweka wao na walifanya naye kazi, na kama unakukumbuka walimtetea pia na kumsapoti..
Leo wamechange game na hao Maajenti wa Chadema wanataka tuwafuate...
 
Lema amewatukana vijana Waliojiajiri kwa kuwaambia wanafanya kazi za laana, hii suala limeacha simanzi kwa vijana wengi sana.

Jana nilikua Arusha nimezunguka sehemu mbalimbali kuona wamepokeaje kauli hii yenye dharau kubwa sana. Hakika walio wengi wanajuta kwa Nini walienda Kumpokea Lema.

Serikali inapambana usiku na mchana ili vijana wapate ajira na wajiajiri alafu leo lema anakuja kuwatukana?

Lema anapaswa kuomba radhi kwa kauli hii. Yeye kwa kuwa anakula na kulala bure kule canada basi anataka watu wote waishi hivyo kitu ambacho hakiwezekani. Imeandikwa kwenye vitabu takatifu kuwa mwanaume atakula kwa jasho, wewe inakuaje unakula bure alafu unaleta dharau kwa wanaokula kwa jasho?

Lema anapaswa kuomba radhi mara moja kwa kauli hii.
Acha awatukane maana ndo walikuwa wamejazana pale eti kumpokea lema
 
Hivi Maria Samunge hajafika bei? Siwasikii club house siku izi.
We jamaa wewe,
Wanasiasa hapana kwa kweli.

Wanadai Mbowe alibambikiwa Kesi, Kama alibambikiwa..alibambikiwa katika utawala gani?... Halafu hawataki watu wamkosoe mtawala..

CHADEMA HAPANA KWA KWELI, NITAENDA NA CCM hivyohivyo na mapungufu yake
 
Jibu la hoja zako ni fupi kwamba Mama Samia amechukua madaraka ya Urais kikatiba tu ni kama anashikiria kwa muda tu lakini wenye chama wanataka afuate wanavyotaka akienda kinyume walisema kwenye mkutano wao uliofanyika mwaka Jana kwamba watamtoa.
Hivyo Hana mamlaka ya kuibadilisha ccm.
Ni nani alimbambika Mbowe kesi?..

MAHOJIANO YA mAMA NA kIKEKE ULIYASIKIA?
 
Jiwe alisimama yeye kama yeye na roho yake ya kihutu. Usijifiche kwenye chaka la chama.

Kama chama kinahusika inakuwaje hivi sasa mambo ni shwari, kwani ccm imekufa?
kWA HIYO cHAMA KILISHINDWA KUMSIMAMIA MWAKILISHI WAKE?..

Je wakati jiwe kazuia mikutano ya kisiasa , chama kilimsapoti au kumkataa...
Msichoelewa ni kuwa dhana ya Zidumu fikra za mwenyekiti ipo hai ndani ya CCM
 
Waacheni waendelee kukiwasha....watanzania sio mambulula kihivyo....mwana kulitafuta mwana kulifind
 
Kwa Muenendo wa Siasa za Upinzani Nchini. Yafuatayo ni Dhahania ya Masharti ya Maridhiano.

A: Mwende Mkamchafue JPM. Hili ni lengo kuu la Maridhiano.

B: Msijaribu kuyasema mapungufu ya awamu hii.

C:Msiwaze kuhusu wananchi na shida zao, Watachonga sana juu yenu ,Achaneni nao.

D:Msimeme Bimkubwa Kwa lolote.

E:Msifikirie Kushuka Dola Mpaka Bimkubwa Astaafu.

Ni kwamba baada ya Awamu ya sita kuona kuwa Kila wakimgusa JPM wanakua wamewasha moto, ndipo wakaamua kuwapa jukumu hilo walamba Asali.
Hapa tuwapongeze Wana Awamu wanecheza kama Pele. Inamaana Upinzani utakuwa unafanyiwa kazi hoja elekezi kuanzia Sasa. Muhim ni Asali itiririke tu.

Kuna bango murua hapa:

IMG-20230301-WA0005~2.jpg
 
Kama Jakaya Kikwete mauaji na mateso yalimuumiza, kama Gwajima na wengine walipenyezewa taarifa za Lissu kupigwa Risasi ni ishara kwamba walioshiriki kukamilisha mateso walikuwa wanafahamika na ni watoto wa masikini

RAI; Wazazi ambao watoto wenu wanafanya kazi kwenye vyombo vya dola niombe kuwashauri msali Sana maana wanapoaga wanakwenda kazini yawezekana kazi wanazokwenda kufanya ni hizi zinachokua nafasi ya Mwenyenzi Mungu katika kuamua hatma ya watu kuishi.

Watoto wenu wanapowatumia fedha jitahidini kuziombea, zungumzeni na watoto wenu hasa ninyi familia Duni.

Wanasiasa wanawatumia vibaya Sana watoto wenu Kwa kisingizio kwamba ni uzalendo.

Alichosimulia Lema Jana kinaleta maswali mengi Sana, lakini kama Hadi mchungaji alikuwa anajua flani yupo kwenye racket na alikaa kimya na hakuna sehemu Gwajima amewahi kuomba tuliombee Taifa unadhani nafsi yake imehifadhi habari gani kuhusu watu wasiojulikana.

Leo mchungaji huyo huyo na watu wengine wenye kufahamu haya maovu wanaendelea kupewa viti vya mbele na hakuna sehemu wanahojiwa wala kuwajibika, nadhani toba inahitajika.

Tukifanya mzaa IPO SIKU nchi itaangukia mikononi mwa MTU ambaye ndugu au mpendwa wake alipotezwa na yeye atapoteza watu kulipa kisasi.

Watu wenye roho wa Mungu kama Lema wapo wachache Sana ,wengine wamekaa kimya na may be wanalipiza kimya kimya Kwa ajali, mauaji yakijambazi na kadhalika.

We are not safe, let us reconcile
 
Dhana ya hovyo kabisa!
Eti watu watumwe wakamchafue fulani kwani watanzania ni vipofu? Kana kwamba hawakuona udhalimu na uporaji uliokuwepo? (waliokuwa na bereu DE change) watakupa simulizi zaidi.
Bwasheee hamna Cha udhalimu Wala nn.

JPM Aliamua kutokucheka na nyani, in fact wanaomchukia JPM.

Ni Mafisafi wachache , Vyeti Feki,Wafanyabiashara janja janja na zaidi wapinzani ambao kichwan wamejaza Upinzani.


LEGACY YA JPM, HAMNA WAKUIFUTA, HAYUPO NA HATATOKEAAAA ,SIO NDANI YA NCHII HII WALA NJE YA NCHI .
 
Watanzania ni wajinga sana ,wengi ni wajinga .

Kama Kuna watu ilipaswa waadhibiwe vya kutosha ni Hawa UPINZANI UCHWARA.

Baadala uhangaike na Deni la Taifa limefika trilioni 76 wewe unahangaika na Upinzani ambao haupo serikalini. Unashindwa kuiadhibu serikali kwa mfumuko wa Bei na ugumu wa Maisha unawaza Upinzani ambao haupo bungeni, Wala serikali za mitaa na wala hawaundi serikali.
 
We mpuuzi kweli,JPM alipo ni takataka,unaichafuaje takataka?
Takataka ni Mama yako !!.


Mlizoea Maisha ya kuunga unga na ujanja ujanja na Undugu mwingi ,JPM akapiga Pini.


Mkahangaika miaka mitano , mirija yote imezibwa.


Mlivyo wapuuzi , Huduma nyingi zakijamii mnazifurahia Sasa ambazo ni JPM ndio kaziacha.
 
Back
Top Bottom