Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Usijali hata yeye ataondoka soon kama tundu lisu, wote wawili wanamtumikia Bwana moja na wamekuja/letwa kwa mission maalumu akimaliza atasepa zake kwani unamsikia tundu lisu tena? Si na yeye alikuwa hivyo hivyo alivyoletwa kukejeli watu ambao wanataabika kila siku kwa gharama za maisha kupanda, watoto wanamaliza Shule wanafeli wote wazazi hawajui wafanye nini no one is held accountable for anything, watu wanataabika na hawajui waangalie wapi, uhalifu kila mahali panya road wanavamia watu, lkn lema na tundu lisu wanaleta kejeli anyway labda wao ni Superhuman, time will tell.
Pure evil!
Pure evil!