Arusha yatajwa miongoni mwa majiji 10 bora duniani kwa huduma za kitalii

Kuna mtu kiroho kitamkereketa hapa utafikiri hajui Arusha ipo Tanzania.. yaani hapo maana yake Tanzania tupo juu. MH .. Samia ..drive
 
Kuna mtu kiroho kitamkereketa hapa utafikiri hajui Arusha ipo Tanzania.. yaani hapo maana yake Tanzania tupo juu. MH .. Samia ..drive
Mama Samia anafanya mambo makubwa sana,
 
Mama anafanya vema, anastahili pongezi
 
Kazi ni nzuri sana
 
Good Tanzania,
 
Daaah

kweli Mama huyu anachapa kazi,

Tanzania inang'ara sana Kimataifa,
 
tuchape Kazi
 
Wazungu sio kabisa pamoja na kutuharibia vinyeo watoto wetu wameshindwa kabisa kuitaja Zanzibar. Hii labda CNN ya kwa Mkunduge. Tandale
 
Safi Sana Tanzania,

Safi Sana Mama Samia,

Safi Sana CNN
 
Hakika Rais Samia ameletwa Tanzania kuliponya Taifa,

Kitendo cha kukutana na Tundu Lissu Brussels Ubelgiji ni kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo kwa Taifa,

Tumuunge mkono Rais wetu kwa haya kwani anastahili sana,
 
Well done Tanzania
 
Great Tanzania
 
Inaachaje kuwa Bora kwa uzuri huu? 👇
 

Attachments

  • FOrXop8WUAoBwjm.jpeg
    112.3 KB · Views: 9
  • FI7bB3CWUAYzcsx.jpeg
    25.8 KB · Views: 9
  • FJ-P7BuXEAcnjEh.jpeg
    256.8 KB · Views: 9
  • images - 2022-05-08T055532.650.jpeg
    28.3 KB · Views: 8
  • images - 2022-05-08T055443.051.jpeg
    27.6 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220427-215630.png
    292.1 KB · Views: 8
  • self_said_1651087470996613.jpg
    142.1 KB · Views: 8
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…