Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Uzi wa Joshua_Ok huu.
Ndio wewe au
Ndio wewe au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umeufukua huu uzi mkuu...umepata ngwengwe?Uzi wa Joshua_Ok huu.
Ndio wewe au
Usiye mdhania ndieCha kwanza ni kupima baada ya hapo vaa kondom kulingana na mwonekano wa mwanamke mwingine inabidi uvae hata tatu kwa usalama
Sawa Profesa J.Duhhhh....😲
Pole sana mkuu. Kupata maambukizi sio kufa.
Anza kula vizuri, mrudie Mungu wako, fanya mazoezi na kisha pumzisha mwili wako
Huu ugonjwa chenga Sana, usikie Tu Kwa jiraniWakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu ndugu, ule utelezi na joto-joto litakugharimu. I tell you!
UPDATE
Kama umeoa bora kumtaarifu mapema mwenzio maana siku ukibumbuluka aibu yake unaweza kujaza shazi mtaani.
**Wake zetu wagalatia si unajua vichwa vibovu!
Aliefufua ndie aliunzisha, TAZAMA vizuri.Mbona umeufukua huu uzi mkuu...umepata ngwengwe?
Ndo yy...mbona alibadili mapema tuu ID ndani ya huo huo uzi...Uzi wa Joshua_Ok huu.
Ndio wewe au
Asante mkuuNdo yy...mbona alibadili mapema tuu ID ndani ya huo huo uzi...
Sio poa mungu atulindeKuna mtu leo a naenda kupata ukimwi
Sawa mkuu usipanic [emoji1787][emoji1787][emoji38]Aliefufua ndie aliunzisha, TAZAMA vizuri.
Halafu haraka haraka ya Nini!?
Hata wewe unaweza ipata ngwengwe hapo ulipo.
Uwe unasoma vizuri kabla ya kupost.
Heri mwaka mpya
Wee mwenyewe mzima? Ukute walikuacha nao, si umesema walikuacha mdogo??Wazazi wng wote waliondoka kwa ugonjwa huu na kuniacha mdogo sn mi na dada zangu[emoji22][emoji22]..upande wa mama yaani ujombani walizaliwa watoto kumi wakike sita wakiume wanne ila mpaka muda huu wamebaki wajomba tu,hao wakike akiwemo mama waliondoka na ugonjwa huu jumlisha waume zao,tena ule ukimwi wa zamani..huu ugonjwa huwa nkiusikia nakosa raha kabisa nilishaathiriwa kisaikolojia..MUNGU atuepushe jamani.
Nashukuru MUNGU mzima wa afyaWee mwenyewe mzima? Ukute walikuacha nao, si umesema walikuacha mdogo??
Sent using Jamii Forums mobile app