ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

Cha kwanza ni kupima baada ya hapo vaa kondom kulingana na mwonekano wa mwanamke mwingine inabidi uvae hata tatu kwa usalama
 
Mezeni vidonge wakuu ukishapata Umeme nikumeza dawa tu nothing else.
 
Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu ndugu, ule utelezi na joto-joto litakugharimu. I tell you!

UPDATE
Kama umeoa bora kumtaarifu mapema mwenzio maana siku ukibumbuluka aibu yake unaweza kujaza shazi mtaani.

**Wake zetu wagalatia si unajua vichwa vibovu
!
Huu ugonjwa chenga Sana, usikie Tu Kwa jirani
 
KAMA MTU UNA UKIMWI HAKIKISHA UNAKULA DAWA VIZURI NA KAMA ULIJILIPUA HAKIKISHA AFYA YAKO MAPEMA ILI UANZE TIBA MAPEMA UKIMWI KAMA MTU HATUMII DAWA UNAMPELEKA PABAYA HATA KUAIBIKA
 
Aliefufua ndie aliunzisha, TAZAMA vizuri.

Halafu haraka haraka ya Nini!?

Hata wewe unaweza ipata ngwengwe hapo ulipo.

Uwe unasoma vizuri kabla ya kupost.

Heri mwaka mpya
Sawa mkuu usipanic [emoji1787][emoji1787][emoji38]
 
Wazazi wng wote waliondoka kwa ugonjwa huu na kuniacha mdogo sn mi na dada zangu[emoji22][emoji22]..upande wa mama yaani ujombani walizaliwa watoto kumi wakike sita wakiume wanne ila mpaka muda huu wamebaki wajomba tu,hao wakike akiwemo mama waliondoka na ugonjwa huu jumlisha waume zao,tena ule ukimwi wa zamani..huu ugonjwa huwa nkiusikia nakosa raha kabisa nilishaathiriwa kisaikolojia..MUNGU atuepushe jamani.
 
Wazazi wng wote waliondoka kwa ugonjwa huu na kuniacha mdogo sn mi na dada zangu[emoji22][emoji22]..upande wa mama yaani ujombani walizaliwa watoto kumi wakike sita wakiume wanne ila mpaka muda huu wamebaki wajomba tu,hao wakike akiwemo mama waliondoka na ugonjwa huu jumlisha waume zao,tena ule ukimwi wa zamani..huu ugonjwa huwa nkiusikia nakosa raha kabisa nilishaathiriwa kisaikolojia..MUNGU atuepushe jamani.
Wee mwenyewe mzima? Ukute walikuacha nao, si umesema walikuacha mdogo??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom