ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

elimu kuhusu SEXUAL NETWORK ya MTU ni ngumu sanaa kuifahamu , yaani mfano mimi ME nikapata mwanamke tumetongozana hadi tumekubaliana kulana, sasa alikotoka hadi kufikia kwangu sijui maswali ambayo natakiwa kujiuliza ni haya

je sexual network yake ikoje?? licha ya kuonesha innocence looks, kumbuka usimwamini binadamu yeyote katika hii dunia kwa vyovyote sasa hapa nitajiuliza tangu abalehe, kapita kwa nani na nani hadi kufikia kwangu?? hiyo ndo sexual network sasa unapaswa kuijua kua network yake kabla ya kuingiza dudu lako kwenye moto. unatakiwa ujue sex network yake ina transformer ya umeme? au inatumia umeme wa kawaida wa betri usio na madhara?

je nitumie njia gani kuijua network yake, mi naamini kile kinachotoka rohoni mwa mtu ndicho kinachotambulisha matendo halisi ya mtu sasa nakipateje hicho kitokacho rohoni? hapa mala nyingi itabidi either ni hack mawasiliano yake yote message,whassap, calls sasa hapa unaweza lipia fees kwa watu wanaotoa hii huduma nadhani haizidi tsh 30000/=
hadi hapo unakuwa umehack maneno yote ya sauti na maandishi yanayotoka rohoni mwake


cha mwisho unatakiwa uhacks mijongeo ya mwili wake, wataaamu wasema hivi ukiachwa ndani ya nyumba peke ako tu kwa muda say mwezi mmoja na ukahakikisha kwamba hakuna mtu yeyote anayeweza kuinterfer ndani mwako

wanasema kunatabia flani unaanza kuzionesha ambazo huwezi kuzifanya ukiwa na wenzako mfano baadhi ya tabia nilizozidaka kwa mwanamke flani, anapenda kucheza akiwa uchi peke ake chumbani, kuangalia tv bila nguo, kuongea peke ake, n.k

sasa vyote hivyo ni lazima utumie mbinu matata kumnasa pasipo yeye kufahamu, baadhi ya mbinu sebuleni weka hidden clock camera ambayo hawezi kuishtukia, chumbani napo weka frem ya picha ya ukutani ambyo nayo ni hidden camera hiyo fremu ya picha ifanye isimushawishi kuitoa na kuiangalia, weka complicated photo kama vile daraja, picha ya miamba ya dhahabu, au formula ya hesabu ngumu ili asishawishke kuichukuaa hapo utakuwa umefanikiwa kunasa physcal movement na pia mawasiliano yake ukijumlisha hivyo vyote unakuwa umemuhack mtukwa asilimia 90%

kumbuka vyote hivyo unafanya ukiwa mbali nae, ili apate uhulu wa kutoa vya rohoni mwake.

nazani yale maneno ya biblia takatifu kwamba tuishi na mwanamke kwa akili ndo yametimia.

mwanamke ukiwa unaishi nae chukulia kama ni mchawi yaani muda wowote anaweza kukupindua so unacheka naye,kulala nae,kula nae, any thing kwa taadhari sana

lakini kumbuka sexual emotions(mihemko) huwezi kuishinda wewe kama wewe kwa akili yako because is out in your control, miili yetu inaendesha na vichocheo ambavyo ni homoni, so huwezi kuzicontro hormoni kwa akili yako njia ya kuzinshinda mihemko ni kumuomba mungu akuepushe kwani kwa yeye hakuna kitu kinachoshikndikana.
Shida yote yanin hyo...unakosa jero ya ndom kumaliza kero yote hyo..usile mate..etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungekuwa wali maharagwe tungeacha kula, tatizo ni lile jotoo tuuu pale katii
 
elimu kuhusu SEXUAL NETWORK ya MTU ni ngumu sanaa kuifahamu , yaani mfano mimi ME nikapata mwanamke tumetongozana hadi tumekubaliana kulana, sasa alikotoka hadi kufikia kwangu sijui maswali ambayo natakiwa kujiuliza ni haya

je sexual network yake ikoje?? licha ya kuonesha innocence looks, kumbuka usimwamini binadamu yeyote katika hii dunia kwa vyovyote sasa hapa nitajiuliza tangu abalehe, kapita kwa nani na nani hadi kufikia kwangu?? hiyo ndo sexual network sasa unapaswa kuijua kua network yake kabla ya kuingiza dudu lako kwenye moto. unatakiwa ujue sex network yake ina transformer ya umeme? au inatumia umeme wa kawaida wa betri usio na madhara?

je nitumie njia gani kuijua network yake, mi naamini kile kinachotoka rohoni mwa mtu ndicho kinachotambulisha matendo halisi ya mtu sasa nakipateje hicho kitokacho rohoni? hapa mala nyingi itabidi either ni hack mawasiliano yake yote message,whassap, calls sasa hapa unaweza lipia fees kwa watu wanaotoa hii huduma nadhani haizidi tsh 30000/=
hadi hapo unakuwa umehack maneno yote ya sauti na maandishi yanayotoka rohoni mwake


cha mwisho unatakiwa uhacks mijongeo ya mwili wake, wataaamu wasema hivi ukiachwa ndani ya nyumba peke ako tu kwa muda say mwezi mmoja na ukahakikisha kwamba hakuna mtu yeyote anayeweza kuinterfer ndani mwako

wanasema kunatabia flani unaanza kuzionesha ambazo huwezi kuzifanya ukiwa na wenzako mfano baadhi ya tabia nilizozidaka kwa mwanamke flani, anapenda kucheza akiwa uchi peke ake chumbani, kuangalia tv bila nguo, kuongea peke ake, n.k

sasa vyote hivyo ni lazima utumie mbinu matata kumnasa pasipo yeye kufahamu, baadhi ya mbinu sebuleni weka hidden clock camera ambayo hawezi kuishtukia, chumbani napo weka frem ya picha ya ukutani ambyo nayo ni hidden camera hiyo fremu ya picha ifanye isimushawishi kuitoa na kuiangalia, weka complicated photo kama vile daraja, picha ya miamba ya dhahabu, au formula ya hesabu ngumu ili asishawishke kuichukuaa hapo utakuwa umefanikiwa kunasa physcal movement na pia mawasiliano yake ukijumlisha hivyo vyote unakuwa umemuhack mtukwa asilimia 90%

kumbuka vyote hivyo unafanya ukiwa mbali nae, ili apate uhulu wa kutoa vya rohoni mwake.

nazani yale maneno ya biblia takatifu kwamba tuishi na mwanamke kwa akili ndo yametimia.

mwanamke ukiwa unaishi nae chukulia kama ni mchawi yaani muda wowote anaweza kukupindua so unacheka naye,kulala nae,kula nae, any thing kwa taadhari sana

lakini kumbuka sexual emotions(mihemko) huwezi kuishinda wewe kama wewe kwa akili yako because is out in your control, miili yetu inaendesha na vichocheo ambavyo ni homoni, so huwezi kuzicontro hormoni kwa akili yako njia ya kuzinshinda mihemko ni kumuomba mungu akuepushe kwani kwa yeye hakuna kitu kinachoshikndikana.
Duu kama upo vitani???
 
Shida yote yanin hyo...unakosa jero ya ndom kumaliza kero yote hyo..usile mate..etc

Sent using Jamii Forums mobile app
AHAAA pale unapofikiria kwamba damu ni uhai dah hapana, sisi wazee wa forex kuna kitu kinaitwa risk reward ratio, yaani nitumie ndom nirisk damu yangu kwa reward ya utamu tena wa masaaa tu, dah hapanaa, afya ndo tiketi ya kwanza ya kuishi duniani kwa furaha
 
Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu ndugu, ule utelezi na joto-joto litakugharimu.

UPDATE
Kama umeoa bora kumtaarifu mapema mwenzio maana siku ukibumbuluka aibu yake unaweza kujaza shazi mtaani.

**Wake zetu si unajua vichwa vibovu
!
Dah!!!natamani ningekujua ningekupeleka ctc nikalamba elfu 20.Maana hiv positive ni deal sasa.[emoji1]
 
ARV zikikutaa Lazima ujutee
Tena kujuta siyo ya pole pole kuna wale wanaota ndoto za kupaa na kuona giza eti kama kaburi[emoji23] [emoji23] [emoji23] nacheka kama mazuri.Yaani huwa sielewi kabisa mtu amelala na macho amefumba lkn anaota giza
Kweli maluwe luwe kama alivyosema mtoa mada.
Ndio maisha lkn hili janga linakupa muda hata wakujipanga na ukiamua kuliepuka pia inawezekana.
Siyo Uviko au blood pressure.
 
Tena kujuta siyo ya pole pole kuna wale wanaota ndoto za kupaa na kuona giza eti kama kaburi[emoji23] [emoji23] [emoji23] nacheka kama mazuri.Yaani huwa sielewi kabisa mtu amelala na macho amefumba lkn anaota giza
Kweli maluwe luwe kama alivyosema mtoa mada.
Ndio maisha lkn hili janga linakupa muda hata wakujipanga na ukiamua kuliepuka pia inawezekana.
Siyo Uviko au blood pressure.
Vaa Kondomu. Tuache kuuza mechi Lisa make-up
 
Back
Top Bottom