Ukweli unauma lakini mimi najaribu kuangalia mifano hai niliyonayo katika familia yangu. Nina ndugu wa kiume ambao hata wakati hao mawifi walipokuwa hawajaolewa nilikuwa nawaonea huruma huko wanakojiingiza. Sasa hivi ndio wahangikaji wakubwa kuhakikisha nyumbani kinaeleweka. Waume bado hawana mbele wala nyuma, wadada wanakazana kweli. Pengine ndio yale mambo ya kila shetani na mbuyu wake. I am sure mama zao wanasikitika sana. Mimi kama wifi nasikitika, na kila mara najaribu kuwaeleza wanangu umuhimu wa kuwa na mwelekeo wa maisha uwe wa kike au wa kiume.
Hivi utakubali binti yako aolewe halafu wewe ndo uwe mlezi wa familia tarajiwa....kwamba wakiumwa waje kwako??? uwape na chakula?? Damn it.....:A S angry::mad2::doh:...povu....
Mapenzi yana macho aisee...
Salama mjukuu??? I think me missing wewe....
...................Aksante sana Lizzy na kwa bahati mbaya sana ni binadamu wachache sana wenye uwezo wa kujifunza kutokana na experiences. Nadhani kuna umuhimu wa kuachana na fikra za mapenzi ni maua popote huchanua, jamani there was a time nilikuwa ninatathmini kuendelea kuwepo kwa matabaka ya masikini na matajiri na nikaamini kuwa sababu mojawapo ni kuoana kimatabaka mfano mtu mwenye elimu ndogo (na asiye na uwezo) akaoa mwanamke of the same characteristics ni wazi kama ubunifu haupo (na hii ni bahati) hata familia watakayoijenga itakuwa duni yaani ile poverrty circle itakuwa halisi generation hata generation.Ukweli unauma lakini mimi najaribu kuangalia mifano hai niliyonayo katika familia yangu. Nina ndugu wa kiume ambao hata wakati hao mawifi walipokuwa hawajaolewa nilikuwa nawaonea huruma huko wanakojiingiza. Sasa hivi ndio wahangikaji wakubwa kuhakikisha nyumbani kinaeleweka. Waume bado hawana mbele wala nyuma, wadada wanakazana kweli. Pengine ndio yale mambo ya kila shetani na mbuyu wake. I am sure mama zao wanasikitika sana. Mimi kama wifi nasikitika, na kila mara najaribu kuwaeleza wanangu umuhimu wa kuwa na mwelekeo wa maisha uwe wa kike au wa kiume.
Ninyi wanawake ni pungufu tu kwa asili. asa kwa nini kama hii ndio kesi msifikirie haja ya wakaka kutokuoa wadada wasiokua na mbele wala nyuma??
kwa nini mnadhani kua ni justifiable kwa wakaka kuoa wadada wasiokua na mbele wala nyuma lakini sio justifiable kwa wakaka kutokuoa wadada wasioku na mbele wala nyuma.
kwa taarifa yenu wakaka wamejipanga siku hizi, hakuna mtu anaetaka utegemezi 100%
subirieni mtasubiri sana.
Tasia I sijui kwa nini napata hisia kuwa thread hii imekuudhi!! Natanguliza samahani zangu.kama umeolewa, wazazi wako wangekukataklia kuaolewa na unaempenda kisa hana mbele wala nyuma (kama ulivyosema wewe), ungekubaliana nao??
Nachofaham basically watu wantakiwa kuoana chini ya msingi m1 tu wa "love". haya ya mali na elim na future ni kupotoshwa kwa misingi ya mapenzi. ndo sababu wanaooana kwa sababu hizi hua hawadumu na kwa kipindi wanacho exixst mmoja hua anapapta shida sana katika mahusiano.
Ninyi wanawake ni pungufu tu kwa asili. asa kwa nini kama hii ndio kesi msifikirie haja ya wakaka kutokuoa wadada wasiokua na mbele wala nyuma??
kwa nini mnadhani kua ni justifiable kwa wakaka kuoa wadada wasiokua na mbele wala nyuma lakini sio justifiable kwa wakaka kutokuoa wadada wasioku na mbele wala nyuma.
kwa taarifa yenu wakaka wamejipanga siku hizi, hakuna mtu anaetaka utegemezi 100%
subirieni mtasubiri sana.
MJ1,what a lovely post,.very argumentative too.....well,mimi kama mzazi(someday)ningewaelimisha wanangu wote(kike na kiume) juu ya kuwa independent kwanza,kwasababu siku hizi kuna group kubwa la wakaka wanaopenda mteremko!.so ningeanza kwangu kabla sijaanza kuwacriticize watoto wa wengine..pili,Mungu ndo guarantor wa haya maisha hujui leo au kesho itakuaje,so huyo mwanamke au mwanaume ikiwezekana inabidi na yeye apewe a chance kuprove kama anaweza or ndo total failure(which siamini)kila binadamu ana uwezo wake flani..but kuna wale wasiosaidika,hao siezi kukubali..
So MJ1 i will go for IT DEPENDS,maana kuna wenye hela na hawajui zilikotoka,kuna wenye elimu but full usharobaro,kuna wenye kufanya kazi kwa bidii but pesa zote zinaisha due to women na starehe..
Therfore before kusema flani hana hiki na kile,ask youself of what you have na je is that person worth to be challenged?
Love u MJ1.
Ndugu yangu huna haja ya kuwa mkali hakuna anayekubishia unayoyawaza kwani ni mtazamo wako (na wapo wengine wengi wanaowaza kama wewe) tuelimishe taratibu na kwa hakika tunawezakukubaliana na wewe. Swala ulilozungumzia hapa ni sahihi kabisa (Kasoro hapo uliposema nyie wanawake ni pungufu kwa asili) ninakubaliana na wewe kabisa lakini ninakukumbusha kuwa hata hii inabadilika siku hizi ingawa speed yake bado ni ndogo. Hii imejengeka kwa kuwa ilijengwa tangu enzi za wahenga kuwa Mume ndo mlezi wa familia na ndio maana hata malezi yetu sie wa kale watoto wa kike walikuwa hawaendelezwi kielimu na bila kuwa na elimu mtoto wa kike atakuwaje na uwezo kifedha au kazi nzuri? Lakini kama nisemavyo kuwa hii sasa inabadilika hasa baada ya watoto wa kike wanapewa elimu (ingawa bado kuna wazazi wenye uelewa tofauti juu ya hili).
Lakini pia bado kaka zetu mnapeana shauri mbalimbali ambazo zinapelekea muoe wanawake wasio na uwezo. Si huwa mnaambiana kuwa usilogwe kuoa mke alokuzidi elimu, kipato n.k mnasema watawanyanyasa sana. Kama vile haitoshi mkiona mwenzenu ana mpenzi alomzidi elimu mnamcheka na kumtahadharisha au kama ana mpenzi mwenye kipato zaidi mnamdharau na kumwona analelewa. Sasa haya yote yanapelekea nyie msioe wanawake wa aina hii ndugu yangu.
Hiyo sentensi yako ya mwisho........kama tuko kwenye mipaso kaka yangu ah!! Haifai hivyo.
Aksante Tracy umesema vema mtazamo wako na nimekuelewa.......May be maelezo yangu yamekanganya ninaposema hana mbele wala nyuma sikumaanisha pesa au utajiri wa mtu..............maana yangu niliyotaka iweka ni ile hali ya mtu kutokuwa na malengo katika maisha mf. Yeye ni lifist................yaani hana future development plans si kwake binafsi wala watoto wake. Cha kuhimu ni msimamo au malengo ya maisha .
Mwanajamii
Hongera kwa thread ambazo ziko so practical, halfu so challenging!!
Mhhh...kama huyo kijana umesema "hana mbelel (wala hategemei kuwa na mbele) wala nyuma simply because binti yako amefall??" kwa kweli kama mzazi, nafikiri nitatumia nafasi zaidi ya kumshauri huyo binti yangu kuelewa kuwa maisha ni zaidi ya falling in love! Lakini, inawezekana kijana akawa hana mali lakini anaonyesha yuko serious na ana bidiii; hapo naweza nikakubali, maana najua pesa watatafuta wakiwa wote!!!
Aksante Gaga.....are you living with your hubby? I would like you to draw the experience you have with your hubby not the life experience you had when you were living with your parents.
Mchukulie mume kama kichwa cha familia ambacho kinatakiwa kutake care each anf everything kwa msaada wa mke................kwa MSAADA wa mke ..si mke ageuke awe kichwa. Kama mwanao anakujia anakwambia Mama ninataka kuolewa na flani (unajua kabisa hana mbele wala nyuma na/au career yake iko kwenye fani isiyokuwa) would you??
Dah, kama nakuona vile kwenye hiyo Keybord.
Nashukuru sana kwa huu ukweli uliousema hapa.
Ila kiukweli, sio mtoto wangu tu, hata mdogo angu, rafiki yangu jirani yangu, si mshauri aingie kwenye ndoa na mkaka/mwanaume ambaye hana mbele wala nyuma. Amelelewa kwenye taulo, hajui kuhangaika na maisha, hajui hili wa lile, hakhaaaaaaa ya nini kujitesa mwenzangu.