MJ1,what a lovely post,.very argumentative too.....well,mimi kama mzazi(someday)ningewaelimisha wanangu wote(kike na kiume) juu ya kuwa independent kwanza,kwasababu siku hizi kuna group kubwa la wakaka wanaopenda mteremko!.so ningeanza kwangu kabla sijaanza kuwacriticize watoto wa wengine..pili,Mungu ndo guarantor wa haya maisha hujui leo au kesho itakuaje,so huyo mwanamke au mwanaume ikiwezekana inabidi na yeye apewe a chance kuprove kama anaweza or ndo total failure(which siamini)kila binadamu ana uwezo wake flani..but kuna wale wasiosaidika,hao siezi kukubali..
So MJ1 i will go for IT DEPENDS,maana kuna wenye hela na hawajui zilikotoka,kuna wenye elimu but full usharobaro,kuna wenye kufanya kazi kwa bidii but pesa zote zinaisha due to women na starehe..
Therfore before kusema flani hana hiki na kile,ask youself of what you have na je is that person worth to be challenged?
Love u MJ1.