Habari wana jukwaa, tujadili kuhusu hili...
kama una wazazi wawili, utakuwa na 4 grandparents, 8 great grandparents ect.....
Katika generation 20, utakuwa na mababu na mabibi 1,000,000. Kila generation namba zinakuwa doubled.
Rudi nyuma generation 30, utagundua kwamba ulikuwa na grandparents zaidi ya bilioni moja 1,000,000,000.
Nashindwa kuelewa jambo, kama idadi au population ya watu walioishi miaka ya zamani ilikuwa ndogo, inakuwaje mababu na mabibi zetu wawe ni wengi zaidi tukitazama mlolongo wa vizazi vyetu?