Ninyi hata kununua paracetamol bila msaada hamuwezi, budget yenu yote ni msaada kushoto kuliaEti budget 90% msaadaπππππ, daalili za kulemewa, kakosa jibu sasa ni kulia liaππππ., join your brother analia kwa choo hadi sasaππππ.,
Ni kweli ata mimi nimeona hayoπππππ., Muda si mrefu budget ya nchi za East Africa zinaenda kusomwa., tutakua hapa kukagua tuone.., hadithi za vijiweni mtabakia nazo tuπ, so tuliaπ€«Ninyi hata kununua paracetamol bila msaada hamuwezi, budget yenu yote ni msaada kushoto kulia
Safaricom wamewezaje kulimiliki soko zima la KenyaHuwezi shindana na monopoly kama safari com in Kenya, huku kuna vodacom, halotel, tigo, airtel, zantel, ttcl. Voda wakizingua kidogo, watu wanahamia kwengine.
Kenya bila safaricom imekula kwako. Hao lazima wafanye vyema
siamini kama telecoms company inaweza ku-report hasara kiasi hicho, kuna kitu hakijasemwa. A drop of 2.9m subscribers imetokeaje wakati kila mara wanajitapa kuwa na customer-base kubwa? Why should they allow it to happen?
Hakunaga zaidi ya Upendeleo kutoka serikali kuuSafaricom wamewezaje kulimiliki soko zima la Kenya
Stop evading the question. Hizo zingine zote zilitengeneza faida ya shilingi ngapi commulatively? Yani ukijumulisha faida ya Halotel, Airtel, Tigo na hizo zingine zote ilikuwa shilingi ngapi?Hakuna hata moja inayoifikia safaricom, happy now? Reason behind ni kuwa hakuna aliependelewa na kuachiwa soko kama Kenya na safaricom, na ndio maana Tz tuko na cheapest price of data in the whole EAC
Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
Airtel can't even invest in revamping its poor network yet it expects to beat Safaricom in this game! How now? Kuna baadhi ya sehemu ukienda hapa Kenya you can't access airtel network at all while safaricom network utapata tena ni strong. Halafu unasikia mtu anaongea kuhusu monopoly.Safaricom, Telkom, Airtel, Faiba 4G (Yu - now defunct).
Unaongea kana kwamba Safaricom ni monopoly kwa kukosa wapinzani.
Miaka ya awali, Kencell (now Airtel) ilikuwa kubwa kuliko Safaricom.
Safaricom is big because of its innovation, and brilliant business moves. Hawakupata usaidizi wowote kufika hapo.
Shida iko wapi Tanzania?
Airtel, Telkom, Equitel pia ziko usisahau! π€£Huwezi shindana na monopoly kama safari com in Kenya, huku kuna vodacom, halotel, tigo, airtel, zantel, ttcl. Voda wakizingua kidogo, watu wanahamia kwengine.
Kenya bila safaricom imekula kwako. Hao lazima wafanye vyema
Huyu yawezekama hajui maana ya monopoly. Angesema Kenya Power iko na monopoly hapo angesikika lakini hapa kwa safaricom amekoseaAirtel, Telkom, Equitel pia ziko usisahau! π€£
almost all banks are declaring profits why Vodacom declaring loss all is done for Tax avoidance nothing else.They all fear income tax hence want to remain with service taxes only.Dar es Salaam. Vodacom Tanzania Plc shareholders will not receive a dividend this year after the company announced a net loss of Sh30 billion for the year to March 31, 2021, primarily on account of recalculated taxes.
βFollowing the net loss after tax for the year, the board of directors has decided not to recommend dividends in relation to the financial year ended March 31, 2021,β the company announced in its preliminary financial results. However, the companyβs managing director, Mr Hisham Hendi, says looking forward, the firmβs cost management programme and proactive measures to drive digital and financial growth will improve the profitability of the Group in the new financial year.
βWhile we continue to make good progress on SIM cards registration, we remain cautious on the impact of Covid-19 and uncertainty about the pace of economic recovery that may weigh on disposable income as a result of reduced economic activities,β he says. It is the first time that Vodacom Tanzania has reported a net loss since it was listed on the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) in August 2017.
Vodacom Tanzania chief executive Hisham Hendi said in the firmβs financials that the GSM business made a loss during the year. This impacted the basis on which taxation was calculated in the current year, resulting in a higher tax charge compared with the previous year.
He added that the barring of services to 2.9 million customers has had a significant impact on the revenue and profits of the company.
βIn addition, subdued economic activity due to the health crisis dampened customer spend,β Mr Hendi said.
How is that possible when audit reports can easily be done?almost all banks are declaring profits why Vodacom declaring loss all is done for Tax avoidance nothing else.They all fear income tax hence want to remain with service taxes only.
UA [emoji3][emoji23][emoji382]How is that possible when audit reports can easily be done?
Anatuona wajinga. They are so full of excuses!UA [emoji3][emoji23][emoji382]
Hajaeza kujibu hadi sa hii
Safaricom iko na market share ya 64% na wateja 29 million. Profits zake ni $700 million.Huwezi shindana na monopoly kama safari com in Kenya, huku kuna vodacom, halotel, tigo, airtel, zantel, ttcl. Voda wakizingua kidogo, watu wanahamia kwengine.
Kenya bila safaricom imekula kwako. Hao lazima wafanye vyema
Hapa naweza kusupport. Airtel tangu 2017 iliacha kuchapisha matokeo ya mapato ya Kila nchi kivyake. Hapa EAC wanachanganya nchi zote pamoja na kusema, mapato ni X, loss/faida ni Y. Kwahivyo hakuna uwazi wa kujua nchi gani ilileta faida kubwa kuliko nyingine. Wakitangaza Airtel EAC imepata loss, utakuta ni Airtel Tz na Ke ndo zilichangia loss kubwa lakini Airtel UG ilikua na faida lakini wanaificha hapo ndani ya loss ya EAC kusababisha serekali ya Uganda kukosa mgawanyo wa hilo pato la Airtel Ugalmost all banks are declaring profits why Vodacom declaring loss all is done for Tax avoidance nothing else.They all fear income tax hence want to remain with service taxes only.
Koma.... Tena utukome kama ulivyokoma kuishi kwa wazazi wako.Kwa makampuni kutengeneza faida Tanzania huwa mtihani sana, maana Watanzania ni wabahili walioharibiwa na mfumo wa ujamaa, akili za kimaskini maskini, unakuta mtu anayepaswa kuwa kwenye uchumi wa kati amebanana na wengine kwenye daladala chafu kisa anabana matumizi ya hela....
Mnaona sababu gani huwa tunawanyali....?! Yaani mnadharau sana, mbona wenzenu waganda, wanyarwanda, wasouth Africa wanatuheshimu sana kama majirani.Safaricom iko na market share ya 64% na wateja 29 million. Profits zake ni $700 million.
Vodacom Tz iko na market share ya 33% na wateja 15 million. Profits ni zero! Si wangetengeneza angalau nusu ya profits za Safcom?