As Safaricom profit is approaching$1B, Vodacom Tanzania is minting losses like there's no tomorrow

As Safaricom profit is approaching$1B, Vodacom Tanzania is minting losses like there's no tomorrow

Mnaona sababu gani huwa tunawanyali....?! Yaani mnadharau sana, mbona wenzenu waganda, wanyarwanda, wasouth Africa wanatuheshimu sana kama majirani.

You Kenyan's huwa nafeli sana kuwaelewa mnachowashwa juu yetu.
Nyinyi Ndio mnawashwa Juu we ain't like you🤪🤪🤪🤪🤪
 
Mnaona sababu gani huwa tunawanyali....?! Yaani mnadharau sana, mbona wenzenu waganda, wanyarwanda, wasouth Africa wanatuheshimu sana kama majirani.

You Kenyan's huwa nafeli sana kuwaelewa mnachowashwa juu yetu.
Kenya inaheshimika kote kote,Pride of Africa🇰🇪🔥,Mpaka Israel waliposikia tunaside na Palestine walimtuma Ambassador wao a confirm.Dont Joke with Kenya,TZ inadharauliwa kila mahali Ni Nchi ya Vibonzo🖕😭🤣🤣🤣🤣
 
Kenya inaheshimika kote kote,Pride of Africa[emoji1139][emoji91],Mpaka Israel waliposikia tunaside na Palestine walimtuma Ambassador wao a confirm.Dont Joke with Kenya,TZ inadharauliwa kila mahali Ni Nchi ya Vibonzo[emoji867][emoji24][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Get your staking ass outta here. What respect are u mumbling about here?!

Talking about Israel kushtuka na kusapoti Palestinians, who are u trying to prank?!

Meeeen get otta here.....
 
Mameeee, leo kameumana. Deal hadi shilling mbili(ksh 2)...hehehe Safaricom kazi nzuri. 😂

Screenshot_20210523_200211.jpg


Screenshot_20210523_200144.jpg
 
Hapa naweza kusupport. Airtel tangu 2017 iliacha kuchapisha matokeo ya mapato ya Kila nchi kivyake. Hapa EAC wanachanganya nchi zote pamoja na kusema, mapato ni X, loss/faida ni Y. Kwahivyo hakuna uwazi wa kujua nchi gani ilileta faida kubwa kuliko nyingine. Wakitangaza Airtel EAC imepata loss, utakuta ni Airtel Tz na Ke ndo zilichangia loss kubwa lakini Airtel UG ilikua na faida lakini wanaificha hapo ndani ya loss ya EAC kusababisha serekali ya Uganda kukosa mgawanyo wa hilo pato la Airtel Ug
Hii dunia ina watu wajinga , unakaribia kuwa kiongozi wao
 
Back
Top Bottom