Africa Football is totally a mess..
Congolese side AS Vita Club have threatened to lodge an official complaint with CAF against Tanzanian club Simba SC for spraying an unknown material in the dressing room before their last round group stages match which was played yesterday at the National Stadium Dar es Salaam.
This is not the first time Simba has been accused of this practice, Al Ahly of Egypt have also complained of the same treatment when they played Simba.
#xtraLive
Vita wala hawana tabu,wanatafakari wamepigwaje. Shida wanapata vyuraHahaha waache kulia lia
Tukiwaita Mbumbumbu mnakasirika. Sasa Yanga inahusikaje hapo?!Walete ushahidi tu.
Yanga wanawapoteza hawa VITA CLUB sana.
Hii dhahama wamejijengea wenyewe kutokana na matendo yao kwa timu wanazocheza nazo wakiwa taifa,halafu wanailamu Yanga!mikia msimu ujao kwenye michuano ya caf wakiwa ugenini hii historia itawahukumuWe unadhani kwa hali ya Kawaida mshabiki wa Mikia aeza anzisha uzi ka huu wakati mtataka kufunika kombe.
Wacheni yasemwe yanayofukuta hukoo. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hawa AS Vita wanadhani kule CAF kuna JECHA! Poor Congolese!DUUH
Kumbe na wewe binamu ulikuwa mpokeaji eee? πππEnzi zile wachezaji tukipewa vifurushi kuweka ndani ya stockings...!! Baada ya dkk 90 !! Tumefubgwa 5-0 khaah
Klabu ya Simba yapangiwa TP Mazembe kwenye robo fainali Ligi ya Mabingwa Africa - JamiiForums
Sema Jean Mark Makusu (tamka Jaa Mak Makusu)πππBaada ya pale wakachooka. Hakukuwa na cha MASUKU wala nani.
Ila wabaya sana nyie. πππ
Walete ushahidi tu.
Yanga wanawapoteza hawa VITA CLUB sana.
Haya malalamiko yameandikwa Facebook tu?