AS Vita waingia mjini kikomando

Daaaaah wanahama hama hivyo ndio basi tena wameshafungwaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa mchawi sio lazima utembee na matunguli, kuwa na fikra kama zako tu, zinatosha kukuelezea haiba yako!
Inamaana hujui Simba ikifanya vizuri mwakani nchi yetu itaongeza wawakilishi automatic?
Nimeamini kuwa KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA HAKUJAWA SULUHISHO LA UJINGA!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa jinsi Vita walivyo na huo wasiwasi basi ameshafungwa kirahisi kabisa ,maana kila jambo litawapa shaka
 
Aliekuambia tunashida yakwenda huko kwa kupitia migongo ya mikia nanii?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…