Asake kutoka Nigeria

Asake kutoka Nigeria

fundi bishoo

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2018
Posts
14,264
Reaction score
27,132
Mambo vipi wakulungwa?

Aisee huyu jamaa anajua sana aina ya mziki anaoufanya amapiano, halafu anachanganya na fuji sijui na makorokoro gani. Anajua sana kucheza na mdundo, hasa Producer wake huyu anamjulia.

Ukisikiliza ngoma kama Nzanza, Sungba Peace be Unto You, Reasons, Ototo, aisee, jamaa ni wa moto halafu kaja juzi juzi tu ila anakimbiza.

Embu mdau toa maoni yako kama unamfahamu, kama humfahamu ingia YouTube. Niko geto na playlist yake hapa nasahau shida hata kama sina hela mfukoni.
Screenshot_20221015-112005_Instagram.jpg
Ilefo_chameleon..jpg
 
Lazima ajue coz, niliona biography yake amesomea Mambo ya Arts na music bila Shaka....

Huyu ni burnaboy mwingine
Aaah!!! Kumbe aisee jamaa ni noumah yaan spati picha ndo angekua yuko bongo huyu jamaa ni very creative kinoma
 
Mambo vipi wakulungwa?

Aisee huyu jamaa anajua sana aina ya mziki anaoufanya amapiano, halafu anachanganya na fuji sijui na makorokoro gani. Anajua sana kucheza na mdundo, hasa Producer wake huyu anamjulia.

Ukisikiliza ngoma kama Nzanza, Sungba Peace be Unto You, Reasons, Ototo, aisee, jamaa ni wa moto halafu kaja juzi juzi tu ila anakimbiza.

Embu mdau toa maoni yako kama unamfahamu, kama humfahamu ingia YouTube. Niko geto na playlist yake hapa nasahau shida hata kama sina hela mfukoni.View attachment 2387804View attachment 2387805
Kwanza nilikuwa simfahamu, ila wiki iliyopita nililazimika kufuatilia baadhi ya ngoma zake baada ya kuona zinatrend kwenye media platforms mbalimbali, nasikitika sikufanikiwa kuzipenda labda ngoja nijipe muda[emoji3]
 
Kwanza nilikuwa simfahamu, ila wiki iliyopita nililazimika kufuatilia baadhi ya ngoma zake baada ya kuona zinatrend kwenye media platforms mbalimbali, nasikitika sikufanikiwa kuzipenda labda ngoja nijipe muda[emoji3]
🤣🤣 daah kweLi kila mtu ana sikio laKe aisee embu katulie ukila ukishiba skiliza ngoma ya nzanza na reason pamoja na dull afu urudi hap utuambie lbda club bangers huzipendelei
 
[emoji1787][emoji1787] daah kweLi kila mtu ana sikio laKe aisee embu katulie ukila ukishiba skiliza ngoma ya nzanza na reason pamoja na dull afu urudi hap utuambie lbda club bangers huzipendelei
Unajua kuna aina ya nyimbo hadi uzisikilize mara kadhaa ndio unazielewa. Leo nimejitahidi kuzipa sikio nyimbo zake kwa umakini zaidi na nimefanikiwa kuzipenda 4; Sungba, Joha, Dull na Dupe. Natumai zitaongezeka kwa kadri ninavyoendelea kusikiliza. Hii inanikumbusha nilivyochelewa kuwaelewa Omah Lay na Fireboy
 
Unajua kuna aina ya nyimbo hadi uzisikilize mara kadhaa ndio unazielewa. Leo nimejitahidi kuzipa sikio nyimbo zake kwa umakini zaidi na nimefanikiwa kuzipenda 4; Sungba, Joha, Dull na Dupe. Natumai zitaongezeka kwa kadri ninavyoendelea kusikiliza. Hii inanikumbusha nilivyochelewa kuwaelewa Omah Lay na Fireboy
Kabsa mzee yaaN kuna muda unavoiskiliza ndo unazidi kuielewa zaid na zaid mkuu
 
Mambo vipi wakulungwa?

Aisee huyu jamaa anajua sana aina ya mziki anaoufanya amapiano, halafu anachanganya na fuji sijui na makorokoro gani. Anajua sana kucheza na mdundo, hasa Producer wake huyu anamjulia.

Ukisikiliza ngoma kama Nzanza, Sungba Peace be Unto You, Reasons, Ototo, aisee, jamaa ni wa moto halafu kaja juzi juzi tu ila anakimbiza.

Embu mdau toa maoni yako kama unamfahamu, kama humfahamu ingia YouTube. Niko geto na playlist yake hapa nasahau shida hata kama sina hela mfukoni.View attachment 2387804View attachment 2387805
Say "They never see me coming.. jahjahjahh.." in Asake's voice [emoji23]

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom