Naomba nichukue fursa hii kutafuta mwanamke ambaye hakika tutafunga nae ndoa sifa mtoto wakike ni lazima awe 1)MUISLAMU
2)Awe ana shughuli zake binafsi
3)Awe na upendo wa dhati
4) Suala la umri sio sana kipaumbe changu
5)Sichagui kabila wala rangi wala mkoa anaotokea
MIMI hapa sifa zangu ni
1)Mwanaume mwenye miaka 33
2)Nafanya kazi na nimeajiriwa for more details nitamueleza
3)Nina upendo wa dhati
Karibu sana tujenge familia yenye amani na upendo
2)Awe ana shughuli zake binafsi
3)Awe na upendo wa dhati
4) Suala la umri sio sana kipaumbe changu
5)Sichagui kabila wala rangi wala mkoa anaotokea
MIMI hapa sifa zangu ni
1)Mwanaume mwenye miaka 33
2)Nafanya kazi na nimeajiriwa for more details nitamueleza
3)Nina upendo wa dhati
Karibu sana tujenge familia yenye amani na upendo