Asalam aleykum

Asalam aleykum

balota

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2014
Posts
355
Reaction score
250
[emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
pamoja wakubwa
 
[emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
pamoja wakubwa
Mkuu umejoin muda mrefu lakini unapiga hodi Leo........

Karibu sana
 
Hahahaah kabisa, na humu kuliko na milango mingi huenda aliingia chumbani kwa wakubwa moja kwa moja
Kule mpaka kibali maalum, mimi nilikuwa nacho nikapokonywa nikasema poa tuu
 
Hahaah sijapita muda kule, ngoja nicheki kama kibali changu bado kinaruhusu kuingia huko.
Mimi niliharibu nilipeleka petition ya maboresho kilichonikuta wee acha tu na mwishowe nikapigwa red card
 
Mimi niliharibu nilipeleka petition ya maboresho kilichonikuta wee acha tu na mwishowe nikapigwa red card
Kumbe ndio yaliyokukuta..........pole. Inabidi nasi tunaohitaji maboresho kule tupige kimya tusije tumbuliwa.......!!!!
 
Kumbe ndio yaliyokukuta..........pole. Inabidi nasi tunaohitaji maboresho kule tupige kimya tusije tumbuliwa.......!!!!
Kule kuache kama kulivyo ingia kimyakimya nenda nao sawa yakikuzidi unasepa kimyakimya
 
Back
Top Bottom