Asali aliyolambishwa Mbowe na Rais Samia ni sawa aliyolambiswa Adam na Eva

Asali aliyolambishwa Mbowe na Rais Samia ni sawa aliyolambiswa Adam na Eva

Joined
Dec 15, 2022
Posts
18
Reaction score
128
Kwa wale Wasomaji wa Biblia wanaungana na mimi, Eva alifanikiwa kumshawishi Adam hata akatenda kile ambacho alikatazwa kukifanya, maneno matamu Eva (ASALI) yalimshawishi Adam kutokumtii Mwenyezi Mungu nakujikuta ameanguka dhambini.

Lakini Pia Delila alifanikiwa kumshawishi na ASALI Samson, Samsoni akasema siri zake zilizogeuka fimbo na kuondoa umaridadi wake.

Asali imetumika kumdhoofisha kamanda wa Freeman Mbowe haoni wala haambiliki kwa Madam President, haoni ugumu wa maisha, haoni deni la taifa wala haoni mfumuko wa bei! Yeye nikushukuru na kupongeza, amebakiza kusema ''Mama anaupiga mwingi''.

Hakika, ''ASALI TAMU, UKWELI UNAONEKANA HARAMU!''
 
Ndio point ya kukandamizia uliyookota sukuma gang. Hivyo hivyo wacha Samson aangamie kwa jicho kwa mtazamo wako, lakini mzigo wa punda utafika na adui ujinga ataanguka tu.
 
Umesema Kweli,


Bt nw mambo mengi yamebadilika,

Mtaani hivi sasa wanaume wengi wanawaingia wanawake wenye pesa Kwa sifa kibao,

Baada ya kufanikiwa kuwapata na kuwasilisi, huwageuka na kuoa wake wengine wawapendao.

Tusubiri.
 
Back
Top Bottom