Asali inatunzwa vipi

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Mke wangu alinunua asali ya dawa kama lita hivi

Nilionja kidogo sasa leo naimalizia na hajui
Nimekaa sebuleni nalamba kidogo

Na hii sio mara kwanza

Mnaweje kutunza asali
Nawaza tu wale wafanyabiashara wa asali wana roho ngumu

Nimeaibika mimi na mandevu yangu
 
Asali sijawahi kuipenda. Nalambaga kwa kuivumilia nikiwa natibu kikohozi maybe. Tofauti na hapo hulilambishi asali

Too much sweetness [emoji14]
Duuh basi watu tuko tofauti
 
Pole sana
 
Asali sijawahi kuipenda. Nalambaga kwa kuivumilia nikiwa natibu kikohozi maybe. Tofauti na hapo hulilambishi asali

Too much sweetness 😛
Me too,
katika vitu utakaa navyo sigusi ni asali, sijawahi kuipenda sijui kwanini tu..!!
 
Me too,
katika vitu utakaa navyo sigusi ni asali, sijawahi kuipenda sijui kwanini tu..!!
Dah....nyie mnalambaje kwani? Mnatumia kidole? Kijiko? Uma? Msijekuwa mnajichanganya...kuuliza si ujinga 🤣 🤣🤣
 
Dah....asali haijawahi kumuacha mtu salama....
 
Dah....nyie mnalambaje kwani? Mnatumia kidole? Kijiko? Uma? Msijekuwa mnajichanganya...kuuliza si ujinga 🤣 🤣🤣
waulize wanaopenda kuitumia, Mimi ilinikifu mapema sana..!!
 
Dah....nyie mnalambaje kwani? Mnatumia kidole? Kijiko? Uma? Msijekuwa mnajichanganya...kuuliza si ujinga 🤣 🤣🤣
Unalambaje na kidole? Mkubwa hivyo?
Unaweka kwa kijiko.. then unaendelea na kazi yako ya kulamba, ambayo kwa wengine hatuwezi kutokana na asali kuzidi utamu. Inachefua
 
Unalambaje na kidole? Mkubwa hivyo?
Unaweka kwa kijiko.. then unaendelea na kazi yako ya kulamba, ambayo kwa wengine hatuwezi kutokana na asali kuzidi utamu. Inachefua
Kwanza shkamoo,

Mimi nipo nalamba hapa karibu,
 
Unalambaje na kidole? Mkubwa hivyo?
Unaweka kwa kijiko.. then unaendelea na kazi yako ya kulamba, ambayo kwa wengine hatuwezi kutokana na asali kuzidi utamu. Inachefua
Dah....asali inaenda na tango..nimesikia tu...🤣 🤣🤣
 
Kuna siku nikiwa job nilinunua asali lkn kila nikitoka kidogo nikiludi imepungua, mwisho kabisa nikamkuta mwanangu yupo serious analamba. Nilipo muona kumuondolea Soo maana mtu mzima alikua kashaaibika, nikiwa nacheka nilimuuliza "oya mwamba si utaimaliza sasa".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…