Asali ni zaidi ya utajiri

Asali ni zaidi ya utajiri

Chukua glass ya maji weka maji kiasi then chukua asali mimina kidogo kwenye glass,kama haijachakachuliwa itashuka chini bila kujichanganya na maji na itajitenga kabisa,kama imechakachuliwa inajichanganya na maji
Ok asante ndugu je vp kuhusu na ile ya kiberiti?
 
Mizinga 1000 inakaa kwny pori la ukubwa gani?
Tafiti kimakazi ulaya nyumba vijijini zimeachanaje kiumbali ukipata hilo basi nakupa uongezee na hili : mizinga ya nyuki inawekwa kwa kimakundi ,kundi lake kitaalamu linaitwa apiary na kundi(apiary) moja la mizinga idadi ya mizinga haitakiwi kuzidi 30

Umbali kati ya kundi na kundi (apiaries) upo sawa kama vijiji vya ulaya nyumba zimeachanaje kiumbali

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania hatupo serious kabisa.Mi kuna mahala nimenunua heka 23, humo nimekuta mzinga mmoja tu.Eneo lipi karibu na mto, miyombo imejaa tele.
Kuanzia mbeya,Rukwa, katavi,kigoma,Tabora, morogoro,Pwani yote imejaa misitu lakini hakuna ufugaji wa nyuki.
Kuna baadhi ya maeneo serikali imehifadhi tu bila faida badala ingeweka mizinga ili mabwana misiti wahudumie.
Ukweli nu kwamba waafrika hatuna akili, imagine wachina ndio wamiliki hii nchi.
Sioo kwamba soko Tz halipo ila watu wengi kipato Chao kidogo mtu kununua asali Lita sh.10000 anaona bora akanunue mfuko wa unga, asali tunachukulia kama anasa.
 
Nashukuru kwa kuniunga mkono kwa hili nilsemalo,mimi nilienda na nikajionea na hapa najipanga kurudi
[/QUOTE]
Mkuu kwa sasa bei ya mzinga mmoja kwa tabora ni kiasi gani?Na je inawezekana kusafirisha mzinga kutoka Tabora mpaka Morogoro hakuna kizuizi chochote asante.
 
Nina mashaka sana na hii bidhaa maana ingekuwa na soko ingekuwa vurugu sana ila sasa mpaka mtu unasahau kuwa kuna zao linaitwa asali
Kuna Ukweli Kabisa, Nipo Hapa Ngudu~Kwimba Nimekutana Na Mtu Anauza Asali Tena Ya Nyuki Wale Wadogo Ambayo Inapatikana Kwa Shika Sana


Kwenye Maongezi Nikamuuliza Una Kiasi Gani Cha Asali
Anasema Amevuna Mwezi Wa Sita Ndani Ana Litres 140
Soko Ndiyo Changamoto Upande Wake


Anaijaza Kwenye Vifungashio Ambayo Siyo Rasmi Ujazo Wa 200 Ml Anauza Tshs 2000/=
 
Mkuu kwa sasa bei ya mzinga mmoja kwa tabora ni kiasi gani?Na je inawezekana kusafirisha mzinga kutoka Tabora mpaka Morogoro hakuna kizuizi chochote asante.[/QUOTE]Wataalamu wanashauri mizinga utengenezee mizinga ya miti ya eneo unalotaka kufugia kwa ufanisi mzuri
 
Tanzania hatupo serious kabisa.Mi kuna mahala nimenunua heka 23, humo nimekuta mzinga mmoja tu.Eneo lipi karibu na mto, miyombo imejaa tele.
Kuanzia mbeya,Rukwa, katavi,kigoma,Tabora, morogoro,Pwani yote imejaa misitu lakini hakuna ufugaji wa nyuki.
Kuna baadhi ya maeneo serikali imehifadhi tu bila faida badala ingeweka mizinga ili mabwana misiti wahudumie.
Ukweli nu kwamba waafrika hatuna akili, imagine wachina ndio wamiliki hii nchi.
Sioo kwamba soko Tz halipo ila watu wengi kipato Chao kidogo mtu kununua asali Lita sh.10000 anaona bora akanunue mfuko wa unga, asali tunachukulia kama anasa.
Tupe mrejesho umeshavuna asali?
 
Tabora asali yake ilishuka thamani sababu nyuki walikua wanatumia maua ya tumbaku kutengeneza asali,ila walizuia ulimaji wa tumbaku
Swali la ufahamu: HV kwa nini TaBora kunatoka sn asali kuliko mikoa mingine ya Tz? Kuna mazingira gan wezeshi ambayo hayapatkan sehem nyingne?
 
Mkuu kwa sasa bei ya mzinga mmoja kwa tabora ni kiasi gani?Na je inawezekana kusafirisha mzinga kutoka Tabora mpaka Morogoro hakuna kizuizi chochote asante.
Asante kwa ufafanuzi sema huku morogoro mzinga mmoja ni bei kubwa sana maana unafika 40000 sasa hapo ni parefu sana ndiyo ni kaona ni heri kununua ya huko tabora maana bei yake itakua nzuri.
 
Mkuu kwa sasa bei ya mzinga mmoja kwa tabora ni kiasi gani?Na je inawezekana kusafirisha mzinga kutoka Tabora mpaka Morogoro hakuna kizuizi chochote asante.
Ina maana ukitumia miti ya mkoa mwengine itakua vigumu nyuki kutengeneza asali?
 
Ina maana ukitumia miti ya mkoa mwengine itakua vigumu nyuki kutengeneza asali?
Kwa mujibu wa wataalamu ndivyo inavyosemekan. Kuna mjadala Uko huko club house kama unaendelea kufuga ni PM siku ukiianza tu nakutumia link. Hakika utajifunza mengi huko.
 
Swali la ufahamu: HV kwa nini TaBora kunatoka sn asali kuliko mikoa mingine ya Tz? Kuna mazingira gan wezeshi ambayo hayapatkan sehem nyingne?
Ni sawa na kuuliza kwa nini njombe kuna mbao sana au kwa nini mwanza kuna samaki wengi. Nafikiri umepata jibu.
 
Nawasalimu wakubwa kwa wadogo ktk jukwaa hili,
Kuna kipindi nilileta uzi kuuliza mazingira ya Tabora yalivyo kwani mke wangu alipangiwa kazi mkoa huo,mwaka jana mwezi wa 12 nilienda kumtembelea kipenzi changu wilayani sikonge kijiji sitotaja kwa ajili ya kuficha uhalisia wangu,naweza kufahamika mapema kwa watu waliomo humu na wanaishi kule.

Nilipokua kule kuna watu waliniagiza ASALI mbichi kama 3 hivi,hivyo nilipokaribia kuondoka niliamua kutafuta kwa wenyeji wa pale,nilitaka kununua ambayo imechujwa lkn kuna mdau akanmbia ninunue ambayo haijachujwa kwani inauzwa shlingi 80000 kwa ndoo ya lita 20,ambayo ukiichuja inatoa asali lita 10 iliyochujwa na safi kwa matumi.

Nilinunua ndoo mbili kwa shilingi 160000,ili nikitegemea nichuje nipate lita 20 niwapelkee wadau walioniagiza,ajbu kwenye ndoo hizo mbili nilipata lita kama 28 hivi badala ya 20 ikawa faida kwangu,ktk zile ndoo mbili yale makapi(masega) nilipata kama ndoo moja iliyojaa ya lita 20,ambayo nayo ni dili make wanayauza kwa kilo moja shilingi 3000,lakini ukiyapika unapa NTA kama kilo 3 hivi,ambayo kwa kule kilo ya NTA ni 10000/12000 hivyo kwa kilo 3 ni 30000.

UTAJIRI ULIPPO-
Katika uchunguzi wangu ASALI kule inavunwa kwa wingi mwezi wa 6/7 ambapo ndoo ya lita 20 inauzwa mpaka 40000/35000 kwa ndoo moja,na inapanda bei kuanzia mwezi wa 10 nakuendelea mpaka wa 3/4/5 wanapoanza kuvuna tena, mimi nimenunua asali kipindi ambacho imepanda bei.

NAENDELEA HAPA..
Sasa kama unamtaji nenda tabora mwezi wa 6au 7 tafuta sehemu wanazovuna asali,kipindi hicho utanunua kwa 40000 mpaka 35000 kwa ndoo ya lita 20, na nzuri nunua ambayo haijachujwa kabisa ndio faida zaidi,tafuta sehemu au chumba cha kupanga chenye ukubwa wa kutosha kutegemea na kiasi unachohitaji,kule vyumba bado bei nafuu sana vya kupanga kwa mwezi haizidi 20000,lipia miezi mitano au sita then chukua ndoo zako za asali paki humo nenda kaendelee na shuguli zako.

Iikifika mwezi wa kumi mpaka kumi na moja nenda kauze pale pale asali yako ndoo moja kwa shilingi 80000 na zaidi,wala usihangaike kutafuta soko lilipo,miezi hiyo kule asali hakuna na inapatikana kwa shida kweli kweli,wanunuzi wapo wakutosha 24/7hrs,wanakutafuta wewe,sio wewe kuwatafuta.

Kama pia unaweza na unasoko tofauti na kuuza kule basi fatilia maliasili wakupe utaratibu wa nini cha kufanya kusafirisha asali.

Kwa maana ukiweka mtaji wa 2m baada ya miezi 4 unapata 4m,ukiweka 5m baada ya miezi hiyo ni 10m,kwa maana kua unanunua asali kwa 40000 kwa ndoo,then unakuja kuuza kwa 80000 kwa ndoo ni mara mbili ya ulichokiweka.
Ukiamua kuchuja mwenyewe kuna faida zaidi kwan yale makapi unatengeneza NTA kwa kuipika utauza 10000 kwa kilo moja.

NJIA NYINGINGINE..
Tafuta pori kule kodi au nunua kwani bado kule ni bei nafuu,unaweza kupata pori hata kwa laki tatu mpaka tano kutegemea na ukubwa na mtu anaekuuzia,chonga mizinga yako ambayo unauwezo nayo,kule mizinga wanachonga kwa 2000 pamoja na kupandisha juu ya miti,hivyo ukichonga mizinga 1000 x kuchonga na kupandisha 2000=2,000,000 jumla kwa idadi ya mizinga 1000.

Ikumbukwe kua mzinga mmoja kwa miezi tajwa hapo juu unaweza kuta kila mzinga unatoa ndoo moja ya asali ambayo haijachujwa,hivyo kwa kipindi cha mwezi wa 3 mpaka 6 kuna maua ambayo nyuki hupendelea kuyatumia ndio msimu wake wa kustawi hivyo uzalishaji unakua mkubwa tofautisha na miezi mingine.

Basi tufanye umehangaika wee ukapata ndoo zako 400 badala ya ndoo 1000,na hii ni makadirio ya chini kabisa na haiwezi kua hivyo hata ukose vipi make nikipindi ambacho uzalishaji ni mkubwa sana kule, chukua hizo ndoo 400 tunza,njoo uza mwezi wa 10/11 kwa 80,000 kila ndoo.hivyo ndoo 400 x 80,000=32,000,000m.

Ukisafirisha unaweza kupata zaidi ya hapo,mimi ndio nimeanza kufanya hivyo sio mjuzi sana bado najifunza,nikivuna ntaleta mlejesho nini kimetokea.

SIKU NJEMA KWENU WOTE.
Mkuu tupe mrejesho
 
Back
Top Bottom