Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Naunga mkono hoja, na kuna ushauri wangu niliompa Mama kumhusu Dr. Hussein Mwinyi kuhusiana na urais wa JMT wa 2025, iwapo sauti hii ni ya kweli Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke nimeshauriWanaJf
Salaam!
Chini ya uongozi wake naiona Zanzibar inayofunguka - naiona Zanzibar inayobadilika - naiona Zanzibar inayokua.
.
Nasema, Hussein Ally Hassan Mwinyi hongera sana kwa kazi na utumishi uliotukuka.
Msakila Kabende
Kakonko
Na hayo anayoyasema ni maendeleo huko Pemba wala hakushikii kamba ni kubovu hakuna analolipeleka.Umeongea utopolo mtupu. Mwinyi alianza vizuri lakini siku zinavyoenda anakwenda kinyume na yale anayoyahubiri.
1. Suali la maridhiano keshaanza kulivunja kwa kumchagua mkurugenzi anaepigiwa kelele na wapinzani. Kafanya jeuri kubwa kumteua. Lakini pia maridhiano makubwa huonekana wakati wa uchaguzi na kuna uchaguzi tayari zishaanza kuvurugwa kama uchaguzi wa Amani. Uchaguzi mkuu ukifika ndioo tutajua mbivu na mbichi.
2. Hio miradi ya kimkakati unayosema hakuna hata mmoja ulokua realistic. Hilo daraja la kutoka Dar mpaka znz ni ndoto za alinacha. Hizo barabara za mitaani ziko maeneo ya CCm tu, huku mjini ni vumbi tupu na mashimo. Inaonesha mji wa znz huujui. Njoo malindi kwenye mataa uone hali ya barabara ni kama somalia au Afghanistan.
3. Hilo la kutopenda kutukuzwa nalo halina mashiko kwani anasifiwa na kupigiwa debe na chawa wake kama kawaida. Tokea lini chakula kikakosa nzi
For sure si kama Dugange Tamisemi mwaka mmoja ajali na .....Very humble guy namkubali sana ukimsikiliza ata anavyoongea unamuona anamaanisha anayoyasema Allah amuhifadhi Kaka yetu huyu.
Mwandike kwa mtizamo wako afu wadau wasemeDada yake je?
Naye Hussein hatakuwa na shukurani kama hataanza kumuandaa mwanaye aje kuwa rais wa bara.WanaJF
Salaam!
Maji hufuata mkondo wake - Rais wa awamu ya pili wa JMT alijizaa mfano wake. Hussein Ally Hassan Mwinyi (Rais wa sasa wa nchi ya Zanzibar) ni kiongozi shupavu na mwadilifu sana!
Chini ya uongozi wake naiona Zanzibar inayofunguka - naiona Zanzibar inayobadilika - naiona Zanzibar inayokua.
Aidha, rekodi zake akiwa Waziri wa Serikali ktk JMT kwa nafasi ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa sikuwahi kusikia, kuona ama kupata taarifa inayomtuhumu na ufisadi wa mali na rasilimali za taifa. Hii inanisukuma kumpa "BIG Up". Mengine nayompongeza ni:-
(a). Kukubali maridhiano kati ya Serikali yake na upinzani hususan ACT Wazalendo. Kwa utamaduni wa CCM si rahisi kukubali kufanya kazi ya ujenzi wa taifa kwa kushare madaraka!
(b). Miradi ya mikakati ya utafiti na uchimbaji mafuta, ujenzi wa barabara au daraja toka Zanzibar mkp Dar, ujenzi wa barabara za mitaani, utoaji mikopo kwa Jamii ya wazanzibar, uwajibishaji viongozi wazembe - kama aliyepata ajari tz akaachwa tu nk hivi ni baadhi ya vitu vinavyovutia sana.
(c). Kutopenda kutukuzwa - wapo viongozi wanapenda utukifu uliopitiliza, wanaofumbia uovu hasa ufujaji mali za umma (rejea taarifa za CAG) zinavyofunikwa na baadhi ya viongozi.
Nasema, Hussein Ally Hassan Mwinyi hongera sana kwa kazi na utumishi uliotukuka.
Msakila Kabende
Kakonko
Future is elusive! It may and or notNaye Hussein hatakuwa na shukurani kama hataanza kumuandaa mwanaye aje kuwa rais wa bara.
Kiukweli jamaa anajitahidi..WanaJF
Salaam!
Maji hufuata mkondo wake - Rais wa awamu ya pili wa JMT alijizaa mfano wake. Hussein Ally Hassan Mwinyi (Rais wa sasa wa nchi ya Zanzibar) ni kiongozi shupavu na mwadilifu sana!
Chini ya uongozi wake naiona Zanzibar inayofunguka - naiona Zanzibar inayobadilika - naiona Zanzibar inayokua.
Aidha, rekodi zake akiwa Waziri wa Serikali ktk JMT kwa nafasi ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa sikuwahi kusikia, kuona ama kupata taarifa inayomtuhumu na ufisadi wa mali na rasilimali za taifa. Hii inanisukuma kumpa "BIG Up". Mengine nayompongeza ni:-
(a). Kukubali maridhiano kati ya Serikali yake na upinzani hususan ACT Wazalendo. Kwa utamaduni wa CCM si rahisi kukubali kufanya kazi ya ujenzi wa taifa kwa kushare madaraka!
(b). Miradi ya mikakati ya utafiti na uchimbaji mafuta, ujenzi wa barabara au daraja toka Zanzibar mkp Dar, ujenzi wa barabara za mitaani, utoaji mikopo kwa Jamii ya wazanzibar, uwajibishaji viongozi wazembe - kama aliyepata ajari tz akaachwa tu nk hivi ni baadhi ya vitu vinavyovutia sana.
(c). Kutopenda kutukuzwa - wapo viongozi wanapenda utukifu uliopitiliza, wanaofumbia uovu hasa ufujaji mali za umma (rejea taarifa za CAG) zinavyofunikwa na baadhi ya viongozi.
Nasema, Hussein Ally Hassan Mwinyi hongera sana kwa kazi na utumishi uliotukuka.
Msakila Kabende
Kakonko
Yes,Kiukweli jamaa anajitahidi..
Huu wakwetu amedondokewa na dodo kwa Bahati ndo maana Hajui hili wala lile ajui ashike wapi na achie wapiWanaJF
Salaam!
Maji hufuata mkondo wake - Rais wa awamu ya pili wa JMT alijizaa mfano wake. Hussein Ally Hassan Mwinyi (Rais wa sasa wa nchi ya Zanzibar) ni kiongozi shupavu na mwadilifu sana!
Chini ya uongozi wake naiona Zanzibar inayofunguka - naiona Zanzibar inayobadilika - naiona Zanzibar inayokua.
Aidha, rekodi zake akiwa Waziri wa Serikali ktk JMT kwa nafasi ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa sikuwahi kusikia, kuona ama kupata taarifa inayomtuhumu na ufisadi wa mali na rasilimali za taifa. Hii inanisukuma kumpa "BIG Up". Mengine nayompongeza ni:-
(a). Kukubali maridhiano kati ya Serikali yake na upinzani hususan ACT Wazalendo. Kwa utamaduni wa CCM si rahisi kukubali kufanya kazi ya ujenzi wa taifa kwa kushare madaraka!
(b). Miradi ya mikakati ya utafiti na uchimbaji mafuta, ujenzi wa barabara au daraja toka Zanzibar mkp Dar, ujenzi wa barabara za mitaani, utoaji mikopo kwa Jamii ya wazanzibar, uwajibishaji viongozi wazembe - kama aliyepata ajari tz akaachwa tu nk hivi ni baadhi ya vitu vinavyovutia sana.
(c). Kutopenda kutukuzwa - wapo viongozi wanapenda utukifu uliopitiliza, wanaofumbia uovu hasa ufujaji mali za umma (rejea taarifa za CAG) zinavyofunikwa na baadhi ya viongozi.
Nasema, Hussein Ally Hassan Mwinyi hongera sana kwa kazi na utumishi uliotukuka.
Msakila Kabende
Kakonko
Sawa bibi ... si bora huyo kuliko wa kwetu ..hilo nalo kalitazameniUmeongea utopolo mtupu. Mwinyi alianza vizuri lakini siku zinavyoenda anakwenda kinyume na yale anayoyahubiri.
1. Suali la maridhiano keshaanza kulivunja kwa kumchagua mkurugenzi anaepigiwa kelele na wapinzani. Kafanya jeuri kubwa kumteua. Lakini pia maridhiano makubwa huonekana wakati wa uchaguzi na kuna uchaguzi tayari zishaanza kuvurugwa kama uchaguzi wa Amani. Uchaguzi mkuu ukifika ndioo tutajua mbivu na mbichi.
2. Hio miradi ya kimkakati unayosema hakuna hata mmoja ulokua realistic. Hilo daraja la kutoka Dar mpaka znz ni ndoto za alinacha. Hizo barabara za mitaani ziko maeneo ya CCm tu, huku mjini ni vumbi tupu na mashimo. Inaonesha mji wa znz huujui. Njoo malindi kwenye mataa uone hali ya barabara ni kama somalia au Afghanistan.
3. Hilo la kutopenda kutukuzwa nalo halina mashiko kwani anasifiwa na kupigiwa debe na chawa wake kama kawaida. Tokea lini chakula kikakosa nzi
Siyo kwa chama cha CCM ambako viongozi wanawarithisha uongozi watoto na ndugu zao.Future is elusive! It may and or not
Ni kwelikabisa mwinyi alizaa na akalea 8la sio makamba na mzee nauye 🤣🤣🤣WanaJF
Salaam!
Maji hufuata mkondo wake - Rais wa awamu ya pili wa JMT alijizaa mfano wake. Hussein Ally Hassan Mwinyi (Rais wa sasa wa nchi ya Zanzibar) ni kiongozi shupavu na mwadilifu sana!
Chini ya uongozi wake naiona Zanzibar inayofunguka - naiona Zanzibar inayobadilika - naiona Zanzibar inayokua.
Aidha, rekodi zake akiwa Waziri wa Serikali ktk JMT kwa nafasi ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa sikuwahi kusikia, kuona ama kupata taarifa inayomtuhumu na ufisadi wa mali na rasilimali za taifa. Hii inanisukuma kumpa "BIG Up". Mengine nayompongeza ni:-
(a). Kukubali maridhiano kati ya Serikali yake na upinzani hususan ACT Wazalendo. Kwa utamaduni wa CCM si rahisi kukubali kufanya kazi ya ujenzi wa taifa kwa kushare madaraka!
(b). Miradi ya mikakati ya utafiti na uchimbaji mafuta, ujenzi wa barabara au daraja toka Zanzibar mkp Dar, ujenzi wa barabara za mitaani, utoaji mikopo kwa Jamii ya wazanzibar, uwajibishaji viongozi wazembe - kama aliyepata ajari tz akaachwa tu nk hivi ni baadhi ya vitu vinavyovutia sana.
(c). Kutopenda kutukuzwa - wapo viongozi wanapenda utukifu uliopitiliza, wanaofumbia uovu hasa ufujaji mali za umma (rejea taarifa za CAG) zinavyofunikwa na baadhi ya viongozi.
Nasema, Hussein Ally Hassan Mwinyi hongera sana kwa kazi na utumishi uliotukuka.
Msakila Kabende
Kakonko
Makamba na Nnauye ni wajanja wajanja sanaNi kwelikabisa mwinyi alizaa na akalea 8la sio makamba na mzee nauye 🤣🤣🤣
SawasawaNi kweli shekhe
Je kwanini hakumaliza chuo Muhimbili ? na je alihudhuria mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria ? ni ujinga sana kuamini viongozi ni lazima wawe watoto wa viongozi .WanaJF
Salaam!
Maji hufuata mkondo wake - Rais wa awamu ya pili wa JMT alijizaa mfano wake. Hussein Ally Hassan Mwinyi (Rais wa sasa wa nchi ya Zanzibar) ni kiongozi shupavu na mwadilifu sana!
Chini ya uongozi wake naiona Zanzibar inayofunguka - naiona Zanzibar inayobadilika - naiona Zanzibar inayokua.
Aidha, rekodi zake akiwa Waziri wa Serikali ktk JMT kwa nafasi ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa sikuwahi kusikia, kuona ama kupata taarifa inayomtuhumu na ufisadi wa mali na rasilimali za taifa. Hii inanisukuma kumpa "BIG Up". Mengine nayompongeza ni:-
(a). Kukubali maridhiano kati ya Serikali yake na upinzani hususan ACT Wazalendo. Kwa utamaduni wa CCM si rahisi kukubali kufanya kazi ya ujenzi wa taifa kwa kushare madaraka!
(b). Miradi ya mikakati ya utafiti na uchimbaji mafuta, ujenzi wa barabara au daraja toka Zanzibar mkp Dar, ujenzi wa barabara za mitaani, utoaji mikopo kwa Jamii ya wazanzibar, uwajibishaji viongozi wazembe - kama aliyepata ajari tz akaachwa tu nk hivi ni baadhi ya vitu vinavyovutia sana.
(c). Kutopenda kutukuzwa - wapo viongozi wanapenda utukifu uliopitiliza, wanaofumbia uovu hasa ufujaji mali za umma (rejea taarifa za CAG) zinavyofunikwa na baadhi ya viongozi.
Nasema, Hussein Ally Hassan Mwinyi hongera sana kwa kazi na utumishi uliotukuka.
Msakila Kabende
Kakonko
Mbn hujengi hoja mkuu - kutomaliza chuo Muhimbili kunampunguzia sifa ya uadilifu kwa jamii?Je kwanini hakumaliza chuo Muhimbili ? na je alihudhuria mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria ? ni ujinga sana kuamini viongozi ni lazima wawe watoto wa viongozi .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app